Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Katiba mbovu imeanza awamu hii? Wakati wa Paroko hamkuliona hilo?. Wagalatia acheni husda! Mmepaniki!Kwa katiba tuliyo nayo mhe Samia anaweza kuteua familia yake yote na kuipa vyeo tofauti tofauti. Anaweza kumpa mtu yeyote cheo cha aina yeyote muda wowote. Uwe unataka ama hutaki.
Kwa mfano anaweza kuamua kumteua:-
- Mumewe kuwa waziri wa fedha.
- Mwanawe kuwa mhazini mkuu wa serikali
- Mjukuu wake kuwa gavana wa BoT
- Jirani yake kuwa IGP
Usisahau pia ana uwezo wa kuamuru achotewe kiasi chochote cha fedha afanyie kazi zake binafsi.
Katiba gani hii? No! No! No! Not at all!.
Tunahitaji katiba mpya.
Vetting ni utopolo gani?? Nafasi zote nyeti US lazima watu wake wathibitishwe na kamati husika za bunge la Seneti. Hadi bodi ya posta inathibitishwa na seneti. Washauri wa Rais Marekani sio watumishi Rasmi wa umma.
Bora tu ukae kimya. Yaani mtu kuwa karibu na rais siyo nafasi nyeti?
Hivi unaelewa kweli unachoongea!!?
Mtu wa karibu zaidi na Rais ni mpishi wake.
Na anachochotewa CAG hana udhibiti nacho. Ndio matokeo ya rais kugawa pesa kwenye misafara yake kama tissue paper.Kwa katiba tuliyo nayo mhe Samia anaweza kuteua familia yake yote na kuipa vyeo tofauti tofauti. Anaweza kumpa mtu yeyote cheo cha aina yeyote muda wowote. Uwe unataka ama hutaki.
Kwa mfano anaweza kuamua kumteua:-
- Mumewe kuwa waziri wa fedha.
- Mwanawe kuwa mhazini mkuu wa serikali
- Mjukuu wake kuwa gavana wa BoT
- Jirani yake kuwa IGP
Usisahau pia ana uwezo wa kuamuru achotewe kiasi chochote cha fedha afanyie kazi zake binafsi.
Katiba gani hii? No! No! No! Not at all!.
Tunahitaji katiba mpya.
Mbona wako kamteua mine wa mwanae kuwa waziri husemi?Trump alimteua mkwe wake, yaani mume wa binti yake kuwa mashauri wake. Pia kijana wake aliteuliwa.
Tofauti ya huyo mama na Magufuli ni mavazi, mmoja alibaba suruali, mwingine anavaa skirt.Katiba iliyopo ni mbovu kiasi kwamba makamu wa Rais au Rais anaweza kutamka maneno kama haya bila aibu,haya,soni usoni wala woga![emoji116]WTF!!!
View attachment 1843648
Mbona wako kamteua mine wa mwanae kuwa waziri husemi?
Ni kweli, lakini pia ukiangalia kuwa katiba nzuri inataka usawa kwa raia wote; haina maana kuwa watoto na ndugu wa rais siyo sawa na raia wengine wanaoweza kuteuliwa na rais.Kwa katiba tuliyo nayo mhe Samia anaweza kuteua familia yake yote na kuipa vyeo tofauti tofauti. Anaweza kumpa mtu yeyote cheo cha aina yeyote muda wowote. Uwe unataka ama hutaki.
Kwa mfano anaweza kuamua kumteua:-
- Mumewe kuwa waziri wa fedha.
- Mwanawe kuwa mhazini mkuu wa serikali
- Mjukuu wake kuwa gavana wa BoT
- Jirani yake kuwa IGP
Usisahau pia ana uwezo wa kuamuru achotewe kiasi chochote cha fedha afanyie kazi zake binafsi.
Katiba gani hii? No! No! No! Not at all!.
Tunahitaji katiba mpya.
Bahati mbaya wewe ni kipofu na kiziwi. Utasongaje mbele wakati katiba haina uwezo wa kukulinda? Katiba inayo mpa rais uwezo wa kufanya lolote na asiulizwe?Na mimi na sisitiza katiba ni zuri, hao wenye katiba nzuri wakoje ukilinganisha na sisi ,katiba cannot garantee you good on the tablet
Work had usifuate mkumbwa mtu kupanua mdomo na wew unamuuigilizia
Na ikitokea akaondoka anaingia makamu alieteuliwa na rais aliye okota dodo chini ya mwarobaini.Huwezi kujua hao wenye katiba nzuri wanakuzidi nini hadi kwanza unue kama hii katiba sio nzuri. Ukishajua hilo ndio unaweza kuelewa.
Jambo la pili, nataka nikupe mfano mdogo tu wa hii katiba ubovu wake ulipo. Kwenye kifo cha Magufuli hapa ndio hii katiba imeonyesha jinsi ilivyo ya hovyo.
Ni ya hovyo kwa msingi kwamba tutaongozwa na mtu ambae hatukumchagua wala kusikiliza sera zake na hoja zake yeye kama yeye kwa miaka 5. Unatakiwa kujua kua kwenye uchaguzi ambae hua anachaguliwa ni rais, makamo wa rais yuko pale tu kama kukamilisha logistics lakini hua sio wa muhimu na ndio maana nchi nyingine anagombea rais mwenyewe kisha akishinda anateua makamo wa rais.
Kwa katiba nzuri tulipaswa kuitisha uchaguzi ndani ya muda flani tuchague tena rais mwingine na sio hii ya kuokota embe kwenye mnazi. Assume hii nchi urais ukiwa miaka 10 term 1, watu wataongozwa na mtu ambae hawakumchagua kwa miaka 10, hiyo ni hatari sana. Ndio maana unaona hata sasa mama hajui anachokifanya maana ni suprise kwake.
Katiba mpya itazuia mtanzania asiteuliwe kushika nyadhifa hizo kama ana qualify eti kwa sababu ana unasaba na raisi? Rais Kenedy wa Marekani alimteua mdogo wake kuwa mwana sheria mkuu wa serikali! Vipi hapo? Maana mnapendaga kupiga USA!Kwa katiba tuliyo nayo mhe Samia anaweza kuteua familia yake yote na kuipa vyeo tofauti tofauti. Anaweza kumpa mtu yeyote cheo cha aina yeyote muda wowote. Uwe unataka ama hutaki.
Kwa mfano anaweza kuamua kumteua:-
- Mumewe kuwa waziri wa fedha.
- Mwanawe kuwa mhazini mkuu wa serikali
- Mjukuu wake kuwa gavana wa BoT
- Jirani yake kuwa IGP
Usisahau pia ana uwezo wa kuamuru achotewe kiasi chochote cha fedha afanyie kazi zake binafsi.
Katiba gani hii? No! No! No! Not at all!.
Tunahitaji katiba mpya.
Ndiyo maana katiba ya Marekani imebadilishwa mara 27. Sasa kwann CCM hawataki tuibadili ya kwetu ikiwa tunaona Kuna mapungufu?Rais Kenedy wa Marekani alimteua mdogo wake kuwa mwana sheria mkuu wa serikali! Vipi hapo? Maana mnapendaga kupiga USA!
Je! Hao waliokataliwa na seneti walikuwa na unasaba na Rais?US mara nyingi sana wateuliwa wa Rais wamewahi kukataliwa na Seneti au Rais kubadilisha wateuliwa baada ya kugundua Seneti haitawapitisa.
Unataka mifano hapa au unaweza Google mwenyewe?
Hivi kwa Trump ilikuwajeKwa katiba tuliyo nayo mhe Samia anaweza kuteua familia yake yote na kuipa vyeo tofauti tofauti. Anaweza kumpa mtu yeyote cheo cha aina yeyote muda wowote. Uwe unataka ama hutaki.
Kwa mfano anaweza kuamua kumteua:-
- Mumewe kuwa waziri wa fedha.
- Mwanawe kuwa mhazini mkuu wa serikali
- Mjukuu wake kuwa gavana wa BoT
- Jirani yake kuwa IGP
Usisahau pia ana uwezo wa kuamuru achotewe kiasi chochote cha fedha afanyie kazi zake binafsi.
Katiba gani hii? No! No! No! Not at all!.
Tunahitaji katiba mpya.
Kwa hiyo Yule Jamaa yetu alikuwa Yuko katika raiti tiraki kuteua ndugu na marafiki Siyo? Hasa Ile kanda pendwa?Kwa katiba tuliyo nayo mhe Samia anaweza kuteua familia yake yote na kuipa vyeo tofauti tofauti. Anaweza kumpa mtu yeyote cheo cha aina yeyote muda wowote. Uwe unataka ama hutaki.
Kwa mfano anaweza kuamua kumteua:-
- Mumewe kuwa waziri wa fedha.
- Mwanawe kuwa mhazini mkuu wa serikali
- Mjukuu wake kuwa gavana wa BoT
- Jirani yake kuwa IGP
Usisahau pia ana uwezo wa kuamuru achotewe kiasi chochote cha fedha afanyie kazi zake binafsi.
Katiba gani hii? No! No! No! Not at all!.
Tunahitaji katiba mpya.
Ndiyo. Kwa likatiba letu hili hata angejaza ndugu wa mkewe serikali nzima Ni sawa tuKwa hiyo Yule Jamaa yetu alikuwa Yuko katika raiti tiraki kuteua ndugu na marafiki Siyo? Hasa Ile kanda pendwa?
Samia ni Magufuli wa kike.Tofauti ya huyo mama na Magufuli ni mavazi, mmoja alibaba suruali, mwingine anavaa skirt.