Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

Alichoandika Paschal ni kile alichokiona katika viwanja vya ndege vya nchi alizotembelea! Hali ya uwanja wa ndege inatoa taswira ya nchi husika Wana ustaarabu wa aina gani.
Sasa wewe unatutajia watu wasiooga wenye magaga miguuni ambao kiuhalisia ni watu wa vijijini wavaa yeboyebo ambao uchumi wao unategemea aidha ashinde porini akiwinda na au akichunga mifugo yake au ashinde shambani akihangaika na jembe la mkono!
Mtu wa aina hii inapokuwa kiasi kidogo Cha maji anayoyapata anatenga kiasi kwa ajili ya kujisafisha viungo vyake vya siri baada ya kujisaidia ili isije mabaki ya haja ndogo yakabaki kwenye mwili wake na kimharibia ibada yake mtu huyu ni wakupongezwa kwa namna anavyojitahidi kuwa msafi katika mazingira magumu!
Kwa kumaliza nasema kwamba
KWETU SISI WAISLAMU USAFI WA MOYO, MEILI, MAVAZI NA MAZINGIRA YA KUFANYIA IBADA NI SEHEMU MUHIMU SANA YA MAFUNDISHO YA DINI YETU TUNAYOFUNDISHWA MADRASA NA MISIKITINI.
 
. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾Hapa nadhani matumizi ya maji au TP ni jambo la kimapokea zaidi na sidhani kama ni alama ya usafi katika ujumla wake
Kuna matumizi na matumizi sahihi ya kwenye kila kitu
Kuna watu wanatumia maji na bado wanabaki na uchafu na kuna watu wanatumia TP na wanajisafisha vilivyo
 
Hii ni mbaya zaidi kwa wanawake, wanawake wasiotumia maji wanapokwenda chooni wana harufu mbaya kuliko wale wanaojisafisha kwa maji.
Waislamu sio kwamba hawatumii tishu, wanatumia maji kisha wanajikausha na tishu. Hapo usafi unakamilika
 
Umepimaje kaka
 
Hii story ina walakini, familia nyingi za Kitanzania TP ni luxury, hawana hizo pesa za kuchezea kununua TP
Nazungumzia huko kwetu wilayani Ngara mkoani Kagera.
Wakristo wa maeneo hayo hawakuwa wakitumia maji wala pia hawatumii tp.
Labda mapadri wa kizungu kwa kuwa kule kuna Jimbo kubwa sana la kanisa katoliki.
Wale washubi na wahangaza akishajisaidia anavaa nguo na kusepa kwenda kuendelea na mishe zake. Hana muda wa kujisafisha kwa njia yoyote. Akiwa mwenye kujali sanasana atatumia majani ya miembe.
Sasa ndio baadhi ya vijana wakawa wanawashangaa sana waislamu wanavyoingia na makopo ya maji chooni wakidhani wakimaliza kujisaidia wanakunywa maji huko huko chooni wakati yale yalikuwa maji ya kujisafisha baada ya kujisaidia.
 
waarabu VS wazungu(mabeberu)

***kwamba waarabu ni watu wazuri sana na wazungu ni mabeberu wabaya sana.
***wazungu(ukristo) =wachafu vs waarabu wasafi+wazuri.

HAWA WAZUNGU TUNATEGEMEA SANA MISAADA NA MIKOPO YAO WANAYOTUPATIA
Kwa hisani ya watu wa zungu mpaka vyoo wametujengea kwenye shule zetu baadhi ya maeneo .
Kwenye afya pia wanatusaidia sana ,maneo mengi wamekuwa wakitusaidia kwa miaka mingi hawa WAZUNGU/MABEBERU.
Hata walipotuletea dini UKRISTO walijenga na shule za mission na hospitali za mission ambazo walisoma dini zote waislamu na wakristo na walitibiwa watu wa dini zote mpaka leo.Sasa kama walifundisha watu wasitawaze uchafu mbona dini zote walisoma shule zao za mission na kutibiwa hospitali zao.
 
Wenzenu kutumia maji ni mfumo wao wa maisha wanaofundishana majumbani.
Wenzetu akina nani?! Si ndio hao ambao wamewahi kuniuliza ikiwa waislamu wakifikwa chooni lazima wapate kiu ya maji?! Nina umri wa miaka 47 na miaka 20 nimeishi na jamii ya wakristo huko kwetu Rulenge wilayani Ngara mkoani Kagera.
Mama yangu (Allaah amrehemu) alisilimu miaka michache kabla mimi sijazaliwa kwa hiyo wajomba zangu na familia zao Bado ni wakristo.
Swala la wakristo kujisafisha kwa maji baada ya kujisaidia limeanza siku za karibuni na ni kwa wakristo wanaoishi miji ya pwani kama Dar, ZNZ , Tanga na Mtwara.
Wakristo waliopo Vijijini kama huko marangu Kilimanjaro au Uyole huko Mbeya hawana habari ya kujisafisha na maji.
 
Kwa huu uzi ulivyo na logic yake ni hakika kuwa huyu Pascal Mayalla ana akili ndogo sana 🙄🙄 toilet paper siyo ukristo wala uislam ni mambo ya mageuzi ya kiuchumi kisayansi na kitekinolojia ...wakristo na waislamu wote walikuwa wanatumia maji miaka ya kale ...hivyo mada imekosewa kilogic ilitakiwa kusema wakristo wameacha kutumia maji kujisafisha na kutumia toilets paper wakati waislam wanaendeleza kutumia kutumia maji...mleta uzi kashindwa kujua kuwa zama zimebadilika sikuizi watu wanatumia toilets paper kisha wanatumia na maji pia..... ndiyo maana hata ujenzi wa vyoo vya kisasa kuna kijibomba cha kisasa cha kukishika mkononi cha kujisafishia tofauti na kutumia kopo... hata kwenye vyoo vya sgr kipo hicho kijibomba ....kazi ya toilet paper siyo kujisafishatu bali na kujikausha majimaji hivyo ni sahihi kutumia maji na toilet paper kwa,pamoja ...kanuni ni moja mbili tatu yaani ukishatoka kujisaidia tumia toilet paper kisha maji kisha tumia tena toilet paper kujikausha maji...badala ya kuponda toilet paper ni vizuri kufuata huu mfumo ulio sahihi zaidi ya kutumia maji tu au kutumia toilet paper tu ...hivyo tuwa fundishe wanao tumia maji tu na wanao tumia toilet paper tu kutumia vyote viwili kwa hiyo formation niliyo sema ya 1..2..3

💥💥THREAD CLOTHER📌📌📌📌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…