Maji ni opt no 1 kwa waislamu na uislamu ktk kujiswafi mkuu.Kwamba waislamu hawatumii tissu paper!!? Ila Mayalaaaa .....
Nenda makanisa yaliyopo Tz, nenda kwenye vyoo vyao, utamaduni ni maji, japo imani ni ya Kikristo.Dini ndio utamaduni wenyewe huo, huwezi tenganisha dini/imani na utamaduni.
Alichoandika Paschal ni kile alichokiona katika viwanja vya ndege vya nchi alizotembelea! Hali ya uwanja wa ndege inatoa taswira ya nchi husika Wana ustaarabu wa aina gani.PASKALI I never thought ungekuja na mada ya namma hii.. Well pengine ni aina yako ya uandishi lakini kwa mtazamo wangu utafiti wako una walakini mkubwa
Mimi ni mtembezi sana na nakutana na watu wao kaliba zote.. Wa hali za juu
Was hali za kati
Wa hali za kishua
Wa hali za kawaida
Wa hali za chini
Wa kabila mbali mbali
Wa imani tofauti
Wa mataifa tofauti na mbali mbali
Ishu ya usafi ni swala la binafsi sana lisilohusiana kabisa na dini
Matumizi ya maji kwenye dini kwa ajili ya kujitakasa na kujiswafi ni tofauti kabisa na ulichoandika hapa
Nimeshakutana na watu wengi sana ni wasafi sana wa mwili kiasi kwamba hata akikojoa anajitawadha.. Lakini haohao
Wamefuga minywele ya aina zote
Wana magaga
Hawaogi mwili mzima
Sehemu wanazoishi ni majanga kwa uchafu
Sehemu wanazolala acha tu
Vyoo vyao nknk
Ok ..haya .. wapi pamesemwa tissue ni option namba Moja Kwa wakristu!??..... Kwa hiyo kabla ya hizi dini kuwepo wanadamu walikuwa wanatumia nini!?? .....Maji ni opt no 1 kwa waislamu na uislamu ktk kujiswafi mkuu.
. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾Hapa nadhani matumizi ya maji au TP ni jambo la kimapokea zaidi na sidhani kama ni alama ya usafi katika ujumla wakeNi kawaida hata nabii huwa hajisifu ila wewe ni miongoni ma GT wachache wa ukweli humu jf.
Issue sio matumizi ya maji na TP, the issue ni dini zote ni watoto wa baba mmoja na na wanatumia sheria moja ya Musa ambayo imeelekeza matumizi ya maji, nchi za Kiislamu zote wanatumia maji, nchi za Kikristo wanatumia TP only kwenye public toilets, why wakati inajulikana wazi usafi ni kwa maji tiririka, hizo tp zimetokea wapi?. Nchi za Kiislamu zina maji na tp, nchi za Kikristo zinashindwa nini kuweka maji na TP ili kuwa consderate kwa Waislamu na watu wenye preference ya kutumia maji?.
P
Kwetu sisi waislamu, dini ndio utamaduni na utamaduni ndio dini yenyewe.Nimesoma heading tu. Tofautisha dini na tamaduni. Hapa Tz, bila kujali dini, utamaduni wetu ni maji
Wameanza kuweka siku za karibuni kwa kuwaiga waislamu.Nenda makanisa yaliyopo Tz, nenda kwenye vyoo vyao, utamaduni ni maji, japo imani ni ya Kikristo.
Watanzania tumechanganya baadhi ya tamaduni za kikristo na kiislam na tunaishi bila shida, kuna baadhi ya nchi zilizotawaliwa na wazungu/wakristo tu ukienda utaelewa nini tunaongea.Nenda makanisa yaliyopo Tz, nenda kwenye vyoo vyao, utamaduni ni maji, japo imani ni ya Kikristo.
Umepimaje kakaWanabodi,
Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.
Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.
Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.
Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.
Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.
Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.
Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.
Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.
Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.
Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.
Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.
Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.
Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.
Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.
WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.
Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo
- Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo
- Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?
- Je, wajua Wakristo huwasindikiza Waislamu Kufunga Ramadhan? Leo ni Jumatano ya Majivu, Wakristo tutafunga siku 40, vipi Waislamu Mtatusindikiza?
- Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.
Paschal anasema airport za nchi za kiarabu Bomba za maji zipo hadi vyooni!Airports na Hotel kubwa za nje huwa hakuna bomba chooni za kujisafishia makalio au ndoo za maji, kuna TP tu
Nazungumzia huko kwetu wilayani Ngara mkoani Kagera.Hii story ina walakini, familia nyingi za Kitanzania TP ni luxury, hawana hizo pesa za kuchezea kununua TP
Wenzetu akina nani?! Si ndio hao ambao wamewahi kuniuliza ikiwa waislamu wakifikwa chooni lazima wapate kiu ya maji?! Nina umri wa miaka 47 na miaka 20 nimeishi na jamii ya wakristo huko kwetu Rulenge wilayani Ngara mkoani Kagera.Wenzenu kutumia maji ni mfumo wao wa maisha wanaofundishana majumbani.
Kwa huu uzi ulivyo na logic yake ni hakika kuwa huyu Pascal Mayalla ana akili ndogo sana 🙄🙄 toilet paper siyo ukristo wala uislam ni mambo ya mageuzi ya kiuchumi kisayansi na kitekinolojia ...wakristo na waislamu wote walikuwa wanatumia maji miaka ya kale ...hivyo mada imekosewa kilogic ilitakiwa kusema wakristo wameacha kutumia maji kujisafisha na kutumia toilets paper wakati waislam wanaendeleza kutumia kutumia maji...mleta uzi kashindwa kujua kuwa zama zimebadilika sikuizi watu wanatumia toilets paper kisha wanatumia na maji pia..... ndiyo maana hata ujenzi wa vyoo vya kisasa kuna kijibomba cha kisasa cha kukishika mkononi cha kujisafishia tofauti na kutumia kopo... hata kwenye vyoo vya sgr kipo hicho kijibomba ....kazi ya toilet paper siyo kujisafishatu bali na kujikausha majimaji hivyo ni sahihi kutumia maji na toilet paper kwa,pamoja ...kanuni ni moja mbili tatu yaani ukishatoka kujisaidia tumia toilet paper kisha maji kisha tumia tena toilet paper kujikausha maji...badala ya kuponda toilet paper ni vizuri kufuata huu mfumo ulio sahihi zaidi ya kutumia maji tu au kutumia toilet paper tu ...hivyo tuwa fundishe wanao tumia maji tu na wanao tumia toilet paper tu kutumia vyote viwili kwa hiyo formation niliyo sema ya 1..2..3Wanabodi,
Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.
Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.
Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.
Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.
Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.
Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.
Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.
Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.
Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.
Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.
Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.
Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.
Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.
Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.
WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.
Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo
- Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo
- Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?
- Je, wajua Wakristo huwasindikiza Waislamu Kufunga Ramadhan? Leo ni Jumatano ya Majivu, Wakristo tutafunga siku 40, vipi Waislamu Mtatusindikiza?
- Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.