Je wajua: Mbunge Jumanne Kishimba ndiye mmiliki wa Dar Free Market na Imalaseko Supermarket

Je wajua: Mbunge Jumanne Kishimba ndiye mmiliki wa Dar Free Market na Imalaseko Supermarket

sijakataa kuhongwa ila kusema kahongwa V8 hiyo hapana aise , labda kama kahongwa pesa ndefu zaidi
Ni sawa na mtu anaemiliki milion 100 alafu useme unamuhonga tsh elf 40
huwezi mshawishi kwa kiwango hicho cha pesa
Kwa hiyo kwa Msukuma milioni 500 si chochote? Maana V8 yake amesema thamani yake ni 500mil. Km is northing kwake, hawezi kuwa tajiri
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Juzi nimefuatwa na wazee fulani...wakanitania kuwa 2025 nichukue "fomu" nimpe changamoto kaka Silaa....nikawajibu....pesa sina ya mchakato....ningekuwa nazo....ningekabiliana na kamarada Jerry ndani ya chama [emoji1787][emoji1787]

#MamaAnaupigaMwingi[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Jaribu mkuu yanaweza tokea ya magufuli wanaachwa walioshika namba za mbele unachukuliwa ww wa mwisho has a ikionekana hao wa mbele wamemwaga sana noti, pia ukikosa ubunge na una CV iliyotulia unaweza pata bahati ya kuteuliwa ukuu wa wilaya,DAS, mkurugenzi n.k, so jipange upambane.
 
Wabongo bhana huyo Mzee Kishimba si wengine ndio tunatafuta sehemu za kushika miaka ya 1998 huyo jamaa anaangiza Maziwa na Sukari kutoka Zimbabwe kiwango cha magari anayopakia hakihesabiki leo hii 2023 unamzungumzia kwenye Supermarket kweli? Unadhani ndio mafanikio yake huyo Mzee ni Tajiri na kichwa pia anacho...
Sasa umekasirika na nini hapo? kwasababu wewe unajua unadhani Tanzania nzima wanamjua hivyo? wengine wanamjua kama Mbunge tu mambo yake binafsi mengine hawajui kwahiyo acha kila mtu ajue kwa nafasi yake
 
Jaribu mkuu yanaweza tokea ya magufuli wanaachwa walioshika namba za mbele unachukuliwa ww wa mwisho has a ikionekana hao wa mbele wamemwaga sana noti, pia ukikosa ubunge na una CV iliyotulia unaweza pata bahati ya kuteuliwa ukuu wa wilaya,DAS, mkurugenzi n.k, so jipange upambane.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Shukran mkuu[emoji120]... haya "mkufunzi" wa "kareti".....

Siasa ina mambo mengi sana...pia inahitaji fedha ya ushawishi(si lazima rushwa).

Peace & Love[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
kweli bwana nimempigia mshkaji wa Rock city nikamwambia anitajieji wafanyabiasha wakubwa watatu tu,jamaa kaanza na Jumanne Kishimba😅😂
 
Sasa umekasirika na nini hapo? kwasababu wewe unajua unadhani Tanzania nzima wanamjua hivyo? wengine wanamjua kama Mbunge tu mambo yake binafsi mengine hawajui kwahiyo acha kila mtu ajue kwa nafasi yake
Duuh punguza kula ugali mkuu unadumaza ubongo na dharau za kijinga nimekasilika wapi nimeongea tu jinsi alivyoanza kupambana kitambo wewe hapo ushaleta uswahili wako wa porini...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Shukran mkuu[emoji120]... haya "mkufunzi" wa "kareti".....

Siasa ina mambo mengi sana...pia inahitaji fedha ya ushawishi(si lazima rushwa).

Peace & Love[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ndivyo hivyo mkuu, kuna jamaa yetu alishika nafasi ya nne, alikua kapuku baba Fundi cherehani ila magu alimbeba kwa kua washindani wake wrote walikua vibopa na walitembeza mtonyo, hakuna na gari nyumba wala mke, now the man is rich anamilki shell Dom na huku biashara kadhaa, kaoa Bonge la harusi mwaka Jana, anatembelea fortuned Kali so sometimes unaweza jaribu na ukatusua kimasihara cha msingi anza kujenga timu mapema
 
Ndiyo unajua leo? Mbona Majengo yake mengi tu ameweka Sanamu la Sato? Imalaseko mbona kitambo sana 90's anamiliki.
 
kuna wafanyabiashara wengi wanapata hadha kutoa mizigo yao bandarini kutokana na urasimu pamoja na kutumia muda mrefu kusubiri mizigo kutolewa wanabariki bandari kupewa mwekezaji.

ila wafanyabiashara wachache wakwepa kodi wenye mafungamano na viongozi kwenye biashara zao nao waapinga kwa nguvu kubwa.
Mchango wako huuu umebeba majibu ya maswali mengi sana ,ni maelezo yakawaida kabisa ila yenye ujumbe mzito ulio shiba, na huo ndio ukweli halisi kati ya upande unao pinga na upande uanao unga mkono
 
We ndiyo umejuwa leo hii habari

Ova
wewe uliekuwa unajua tangu zamani mbona hukutuabarisha humu....sometime acha ujuaji bro sisi wengine hatunaga vijiwe wala watu wa kupiga nao umbea so JF ndiyo sehemu yetu pekee ya kupata serious na formal news na umbea pia.

Be calm bro.
 
Wabongo bhana huyo Mzee Kishimba si wengine ndio tunatafuta sehemu za kushika miaka ya 1998 huyo jamaa anaangiza Maziwa na Sukari kutoka Zimbabwe kiwango cha magari anayopakia hakihesabiki leo hii 2023 unamzungumzia kwenye Supermarket kweli? Unadhani ndio mafanikio yake huyo Mzee ni Tajiri na kichwa pia anacho...
Tajiri yangu huyu mzee nilikua namuuzia dhahabu enzi zile kabla hajafungua duka la stendi ya Mwanza, ni mzee ana roho nzuri mkweli na ana msaada sana kama utafanya nae kazi kwa uaminifu
 
Tajiri yangu huyu mzee nilikua namuuzia dhahabu enzi zile kabla hajafungua duka la stendi ya Mwanza, ni mzee ana roho nzuri mkweli na ana msaada sana kama utafanya nae kazi kwa uaminifu
Ni kweli ana roho nzuri mimi sikufanya nae biashara yeyote ndio kwanza nilikua na mawazo ya SA hata mtaji sina nilikua naishi maeneo karibu na wao wakija Harare alikua anatutafuta vijana anatupa njia za maisha Mzee yupo poa sana sana...
 
Back
Top Bottom