Ubarikiwe sana,taa yangu inawaka kila sekunde imejaa mafuta mafuta hayapungui maana imeandikwa mwanamke atamlinda mume wake kwa maombi mimi ni mlinzi wa mume wangu kwa ilo sina shaka
Acha kupotosha Imani Sahihi inayofichwa.
Hujiulizi Ibrahimu angekua na mihamko ya kingono Kwa nini alikaa miaka mia moja bila kuoa Mwanamke Mwingine na kuzaa .?
Kwa nini hakuoa mapema tu akiwa kijana na kuzaa?
Kwa nini alikaa na MKE wake Sara mpaka wakazeeka na hakumsaliti kwenda kuoa MKE mwingine mpaka akafikisha miaka mia moja ? Kwa nini alisubiri mpaka Mkewe ndiye akamlazimisha amwingilie Hause Girl na amzalie mtoto.? Hapo huoni kuwa Yule alikua ni Nabii mwenye Imani sana na mwadilifu Kwa kiwango Cha juu sana.
Unafikiri waliomwita baba Wa Imani walikurupuka tu?
Manabii wakubwa wote walizaliwa na wanawake WASIOKUA na uzazi Wa kuzaa Zaa Watoto wengi ikiwemo Yesu.
Yesu hakuwa na Ndugu Wa mama mmoja zaidí ya Binam zake na Watoto Wa Joseph Kwa mamá Mwingine.
Kwa Mila za kiyahudi watoto Wa baba mmoja ni ndugu halisi Wa Damu. Kama walivyo watoto Wa mama mmoja.
Sio Wote Mkuu Usiseme wite sema asilimia kubwaJamani Yesu ni Mwana Wa Mungu.
Yesu ni zaidí ya Nabii.
Yesu ni zaidí ya wafalme Wa Dunia .
Yesu ni Zaidí ya Uzao wote Wa Adamu Wa Kale.
Sasa jiulizeni ni Nabii Yupi mkuu alitakiwa na Mwanamke mwenye uzao Wa watoto wengi kwenye Biblia?
Manabii wote wakiotengwa Tangu tumboni mwa mama Zao walizaliwa peke Yao Tena mara nyingine na wanawake walioonekana kuwa Tasa lakini baba Zao walikuwa na Watoto wengine Kwa mama wengine.
Tafakarini. Haya.
Hawataki watu wajue kuwa Joseph alikua ni mume Wa wanawake wengi Wa ndoa Halali Kwa mujibu Wa Mila na Tamaduni za kiyahudi. Kwa Warumi wake wengi haikubaliki ndio Maana hawakuzingatia hiyo historia.
Ni kweli mimi nimepitishwa kwenye ndoa kusudi niweze kuwashauri wengine na kuwaombea pia ndoa inachangamoto kubwa sana ni kuzidi kuomba maana tumeambiwa ombeni bila kukoma kila saa ni kuomba.Ubarikiwe sana,
Pia usisahau kugombea na ndoa za wengine ambapo ndoa zao hazielewiki, zenye nagomvi, waombewe na kuwashauri hasa WALIO karibu Yako,
Maana jirani Yako akiwa salama, usalama wako itaongezeka pia.
Lakini nimefurahi Kupata comment ya aina Yako, maana wengi wananishambulia, jambo ambalo linaonyesha kipengele Cha ndoa kina Hali Tete Kwa sasa.
Amen
Yaani ukiongea hivi napenda sana kwa sababu mtu anayeshauri kuhusu Ndoa nampenda na namuona matured iwe kidini (Kama nikisema iwe hivyo) au ki Nature ila kwingine huwa tunapishana ila kuna mambo uko vizuri snaa..Ubarikiwe sana,
Pia usisahau kugombea na ndoa za wengine ambapo ndoa zao hazielewiki, zenye nagomvi, waombewe na kuwashauri hasa WALIO karibu Yako,
Maana jirani Yako akiwa salama, usalama wako itaongezeka pia.
Lakini nimefurahi Kupata comment ya aina Yako, maana wengi wananishambulia, jambo ambalo linaonyesha kipengele Cha ndoa kina Hali Tete Kwa sasa.
Amen
Mkuu Mungu yupo kweli, ila wanadamu ndiyo WANAMUABUDU Mungu ambaye ni wa uongo. Hii mifumo ya kibinadamu kuhusu suala la Mungu achana nayo. Mtafute Mungu wako utampata.Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea.
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu.
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani.
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima.
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously ?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani.
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”.
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu.
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
Asante. Jibu la utapeli wako hilo hapo
Mungu azidi kuibariki ndoa Yako, mpate maisha marefu yenye kheri,awape afya njema hata katika Ule umri wa uzee.Ni kweli mimi nimepitishwa kwenye ndoa kusudi niweze kuwashauri wengine na kuwaombea pia ndoa inachangamoto kubwa sana ni kuzidi kuomba maana tumeambiwa ombeni bila kukoma kila saa ni kuomba.
Tatizo mukiulizwa mnaleta mlivyokalilishwa.Mkuu Mungu yupo kweli, ila wanadamu ndiyo WANAMUABUDU Mungu ambaye ni wa uongo. Hii mifumo ya kibinadamu kuhusu suala la Mungu achana nayo. Mtafute Mungu wako utampata.
Ameeeeeeeeeeeeen, Napokea baraka katika jina la Yesu aliye hai AmeeeeeeeeeeeeeeeeeeenMungu azidi kuibariki ndoa Yako, mpate maisha marefu yenye kheri,awape afya njema hata katika Ule umri wa uzee.
Ndoa yenu iwe ya kupigiwa mfano na JAMII yote inayowazunguka,
Na wengi wavutwe Kwa Yesu Kwa ushuhuda wenu.
Amen
Mkuu Ibrahim alikuwa ana pigana miti na Sara daily .angekuwa hataki ngono asingeoa.ila alikuwa mwaminifu sababu ya uchamungu.hata leo kuna wakristo wengi wana mke mmoja tu na hawazai nje nikiwemo mmAcha kupotosha Imani Sahihi inayofichwa.
Hujiulizi Ibrahimu angekua na mihamko ya kingono Kwa nini alikaa miaka mia moja bila kuoa Mwanamke Mwingine na kuzaa .?
Kwa nini hakuoa mapema tu akiwa kijana na kuzaa?
Kwa nini alikaa na MKE wake Sara mpaka wakazeeka na hakumsaliti kwenda kuoa MKE mwingine mpaka akafikisha miaka mia moja ? Kwa nini alisubiri mpaka Mkewe ndiye akamlazimisha amwingilie Hause Girl na amzalie mtoto.? Hapo huoni kuwa Yule alikua ni Nabii mwenye Imani sana na mwadilifu Kwa kiwango Cha juu sana.
Unafikiri waliomwita baba Wa Imani walikurupuka tu?
Manabii wakubwa wote walizaliwa na wanawake WASIOKUA na uzazi Wa kuzaa Zaa Watoto wengi ikiwemo Yesu.
Yesu hakuwa na Ndugu Wa mama mmoja zaidí ya Binam zake na Watoto Wa Joseph Kwa mamá Mwingine.
Kwa Mila za kiyahudi watoto Wa baba mmoja ni ndugu halisi Wa Damu. Kama walivyo watoto Wa mama mmoja.
Huu ujinga mnajaziwaga wapi? Kuna sheli ya pumba na uongo?Acha kupotosha Imani Sahihi inayofichwa.
Hujiulizi Ibrahimu angekua na mihamko ya kingono Kwa nini alikaa miaka mia moja bila kuoa Mwanamke Mwingine na kuzaa .?
Kwa nini hakuoa mapema tu akiwa kijana na kuzaa?
Kwa nini alikaa na MKE wake Sara mpaka wakazeeka na hakumsaliti kwenda kuoa MKE mwingine mpaka akafikisha miaka mia moja ? Kwa nini alisubiri mpaka Mkewe ndiye akamlazimisha amwingilie Hause Girl na amzalie mtoto.? Hapo huoni kuwa Yule alikua ni Nabii mwenye Imani sana na mwadilifu Kwa kiwango Cha juu sana.
Unafikiri waliomwita baba Wa Imani walikurupuka tu?
Manabii wakubwa wote walizaliwa na wanawake WASIOKUA na uzazi Wa kuzaa Zaa Watoto wengi ikiwemo Yesu.
Yesu hakuwa na Ndugu Wa mama mmoja zaidí ya Binam zake na Watoto Wa Joseph Kwa mamá Mwingine.
Kwa Mila za kiyahudi watoto Wa baba mmoja ni ndugu halisi Wa Damu. Kama walivyo watoto Wa mama mmoja.
Swali rahisi tu:Salaam / Shalom!!
INTRODUCTON.
(Mwanzo 2:18,21-24) na (Mathayo 19:3-9).
NDOA ni muunganiko wa KIMWILI kati ya mume mmoja na mke mmoja KIMWILI na kiroho.
Asili ya NDOA ni Mbinguni, NDOA ni usafi, NDOA ni utakatifu.
Kila mtu aliyezaliwa Huwa anae mtu mmoja ambaye Huwa ndiye ubavu wake. Na hao kukutana, ni Hadi wamwombe Mungu, Kuzini kabla ya Kuoa kunamweka mtu katika position ya Kuoa au Kuolewa na mtu mume au mke asiye ubavu wako sahihi.
Matatizo mengi ya NDOA na magomvi ni sababu ya Kuoa au Kuolewa na mtu asiye chaguo Kutoka Kwa MUNGU.
Mwanaume anapofikia uamuzi wa Kuoa, shetani huleta wanawake wengi karibu Yako, na Mungu Huwa tayari amemleta mtu sahihi, ukiitumia macho ya MWILI kuchagua mke, utaangukia Kuoa uliyeletewa na shetani, ndomana Kila aliyeoa Huwa na simulizi, hujikuta katika wakati ambapo huhitaji achague, wakati kiuhalisia, atokaye Kwa Mungu, ubavu wako Huwa ni MMOJA tu!!!
Utaniuliza, kwanini wanawake ni wengi kuliko wanaume, kwamba tukioana mke mmoja, mume mmoja, wanawake watabaki bila waume, Hilo Lina sababu na majibu yake, Si Leo.
Utaniuliza pia ikiwa aliumbwa Adam mmoja na Hawa mmoja, kwanini idadi ya wanawake iwe kubwa kuliko wanaume? Hilo nalo majibu yake Si Leo!!
Ulimwengu wa Giza NDOA Yao ni kinyume na NDOA aliyoasisi Mungu, Ulimwengu wa Giza hakuna NDOA, wachawi, mama na mwanae wanajamiiana, USHOGA ,USAGAJI,kujamiiana na wanyama na Kila UOVU,umeanzia katika Ulimwengu wa Giza,Kisha kuletwa duniani, huko hawana mipaka, ni tafrani tupu.
Ili kuivuruga Dunia, Ulimwengu wa Giza hufanya jitihada juu chini Ili kwenda kinyume na maagizo ya Mungu Ili watu wasioane na kufikia baraka za wawili wanapoungana katika NDOA Takatifu.
Ibilisi na shetani ajua akivuruga NDOA Takatifu atavuruga uzao wa mwanadamu, sababu watoto wakipatikana na kutunzwa vizuri katika taasisi aliyoasisi Mungu, watazaliwa watoto watakaomcha Mungu.
MADA: NINI HUTOKEA WAWILI, MUME NA MKE WANAPOUNGANA NA KUWA MWILI MMOJA KIMWILI NA KIROHO?
Katika mwili, anaposimama Mchungaji kufungisha NDOA Takatifu kati ya mke na mume KIMWILI,
Pia, Katika Ulimwengu wa Roho pia wawili Hawa huunganika, Mungu akiwa shahidi.
Muunganiko huo hutokea Kwa Mfano wa nyota mbili zenye uelekeo tofauti angani, zinapokutana na kupata crash, nyota na Nuru kubwa huzaliwa sababu ya muunganiko huo. Na mng'ao huongezeka sana, sababu nyota mbili kuungana na kuwa moja kubwa inayong'aa zaidi.
Mamajusi, alipozaliwa Yesu, wao waliona Nyota yake, na ilionyesha nini Yesu amebeba, lakini Kwa watakatifu, hatuchunguzi Nyota, sisi huomba Mungu atuzidishie mafanikio Kutoka KIBALI tulichozaliwa nacho.
Kila mtu ana KIBALI, KIBALI Kutoka Kwa MUNGU ndiyo Bahati na mafanikio ya mtu huzaliwa nazo Toka tumboni, Mtu mume na mke sahihi wanapoungana katika NDOA Takatifu huunganisha KIBALI Cha mke na KIBALI Cha mme na kuwa kitu kimoja. Nguvu na uwezo wa mafanikio ya mke na mume sahihi Huwa hayazuiliki, baraka Huwa ni mara mbili, na hatua zao Huwa za haraka sana.
Narudia, hakuna mchawi au Pepo awezaye kuzuia mafanikio ya mtu mume na mke waliofunga NDOA sahihi Walio mwili mmoja, kuwatenganisha hao ni Hadi uvunje NDOA kwanza ndipo uweze kuwatenganisha.
Mafanikio Yako kijana yapo katika NDOA, watoto na uzao sahihi umo katika NDOA sahihi, jambo muhimu la kuzingatia, ni upate Mume au mke sahihi aliye Ubavu wako.
HITIMISHO
NDOA na iheshimiwe na watu wote, vijana wajitunze na kutunza bikira zao kabla ya Kuoa na Kuolewa Ili kupata baraka za NDOA.
Usipojitunza, usipotunza Bikra Yako, utapata wa kufanana nae, Pipa na mfuniko.
Kwa Leo niishie hapa.
Mungu na Awabariki.
NOTE: Ikiwa hujampokea Yesu kuwa BWANA na Mwokozi wa maisha ya, fuatisha Sala ifuatayo:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO,NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE NA NIMEDHAMIRIA KUZIACHA, NIPE UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI,FUTA JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, NA ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA. AMEN
Karibuni.
Amen
Umewahi kuota ndoto?Swali rahisi tu:
Huko kwenye ulimwengu wa roho ni wapi? Mtu kama mimi ambaye sijaokoka nawezaje kufika huko?
Kama tukio halisi kabisa lilitokea? Mh!Umewahi kuota ndoto?
Na unaweza kunisimulia ndoto ulizoota ambazo unazikumbuka ambazo ulipoamka Uliona ni kama tukio halisi kabisa lilitokea?
Yakobo aliyekuwa na wake wanne na bado alikuwa rafiki mkubwa wa Mungu ,Sulleiman wanawake 1000Salaam / Shalom!!
INTRODUCTON.
(Mwanzo 2:18,21-24) na (Mathayo 19:3-9).
NDOA ni muunganiko wa KIMWILI kati ya mume mmoja na mke mmoja KIMWILI na kiroho.
Asili ya NDOA ni Mbinguni, NDOA ni usafi, NDOA ni utakatifu.
Kila mtu aliyezaliwa Huwa anae mtu mmoja ambaye Huwa ndiye ubavu wake. Na hao kukutana, ni Hadi wamwombe Mungu, Kuzini kabla ya Kuoa kunamweka mtu katika position ya Kuoa au Kuolewa na mtu mume au mke asiye ubavu wako sahihi.
Matatizo mengi ya NDOA na magomvi ni sababu ya Kuoa au Kuolewa na mtu asiye chaguo Kutoka Kwa MUNGU.
Mwanaume anapofikia uamuzi wa Kuoa, shetani huleta wanawake wengi karibu Yako, na Mungu Huwa tayari amemleta mtu sahihi, ukiitumia macho ya MWILI kuchagua mke, utaangukia Kuoa uliyeletewa na shetani, ndomana Kila aliyeoa Huwa na simulizi, hujikuta katika wakati ambapo huhitaji achague, wakati kiuhalisia, atokaye Kwa Mungu, ubavu wako Huwa ni MMOJA tu!!!
Utaniuliza, kwanini wanawake ni wengi kuliko wanaume, kwamba tukioana mke mmoja, mume mmoja, wanawake watabaki bila waume, Hilo Lina sababu na majibu yake, Si Leo.
Utaniuliza pia ikiwa aliumbwa Adam mmoja na Hawa mmoja, kwanini idadi ya wanawake iwe kubwa kuliko wanaume? Hilo nalo majibu yake Si Leo!!
Ulimwengu wa Giza NDOA Yao ni kinyume na NDOA aliyoasisi Mungu, Ulimwengu wa Giza hakuna NDOA, wachawi, mama na mwanae wanajamiiana, USHOGA ,USAGAJI,kujamiiana na wanyama na Kila UOVU,umeanzia katika Ulimwengu wa Giza,Kisha kuletwa duniani, huko hawana mipaka, ni tafrani tupu.
Ili kuivuruga Dunia, Ulimwengu wa Giza hufanya jitihada juu chini Ili kwenda kinyume na maagizo ya Mungu Ili watu wasioane na kufikia baraka za wawili wanapoungana katika NDOA Takatifu.
Ibilisi na shetani ajua akivuruga NDOA Takatifu atavuruga uzao wa mwanadamu, sababu watoto wakipatikana na kutunzwa vizuri katika taasisi aliyoasisi Mungu, watazaliwa watoto watakaomcha Mungu.
MADA: NINI HUTOKEA WAWILI, MUME NA MKE WANAPOUNGANA NA KUWA MWILI MMOJA KIMWILI NA KIROHO?
Katika mwili, anaposimama Mchungaji kufungisha NDOA Takatifu kati ya mke na mume KIMWILI,
Pia, Katika Ulimwengu wa Roho pia wawili Hawa huunganika, Mungu akiwa shahidi.
Muunganiko huo hutokea Kwa Mfano wa nyota mbili zenye uelekeo tofauti angani, zinapokutana na kupata crash, nyota na Nuru kubwa huzaliwa sababu ya muunganiko huo. Na mng'ao huongezeka sana, sababu nyota mbili kuungana na kuwa moja kubwa inayong'aa zaidi.
Mamajusi, alipozaliwa Yesu, wao waliona Nyota yake, na ilionyesha nini Yesu amebeba, lakini Kwa watakatifu, hatuchunguzi Nyota, sisi huomba Mungu atuzidishie mafanikio Kutoka KIBALI tulichozaliwa nacho.
Kila mtu ana KIBALI, KIBALI Kutoka Kwa MUNGU ndiyo Bahati na mafanikio ya mtu huzaliwa nazo Toka tumboni, Mtu mume na mke sahihi wanapoungana katika NDOA Takatifu huunganisha KIBALI Cha mke na KIBALI Cha mme na kuwa kitu kimoja. Nguvu na uwezo wa mafanikio ya mke na mume sahihi Huwa hayazuiliki, baraka Huwa ni mara mbili, na hatua zao Huwa za haraka sana.
Narudia, hakuna mchawi au Pepo awezaye kuzuia mafanikio ya mtu mume na mke waliofunga NDOA sahihi Walio mwili mmoja, kuwatenganisha hao ni Hadi uvunje NDOA kwanza ndipo uweze kuwatenganisha.
Mafanikio Yako kijana yapo katika NDOA, watoto na uzao sahihi umo katika NDOA sahihi, jambo muhimu la kuzingatia, ni upate Mume au mke sahihi aliye Ubavu wako.
HITIMISHO
NDOA na iheshimiwe na watu wote, vijana wajitunze na kutunza bikira zao kabla ya Kuoa na Kuolewa Ili kupata baraka za NDOA.
Usipojitunza, usipotunza Bikra Yako, utapata wa kufanana nae, Pipa na mfuniko.
Kwa Leo niishie hapa.
Mungu na Awabariki.
NOTE: Ikiwa hujampokea Yesu kuwa BWANA na Mwokozi wa maisha ya, fuatisha Sala ifuatayo:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO,NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE NA NIMEDHAMIRIA KUZIACHA, NIPE UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI,FUTA JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, NA ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA. AMEN
Karibuni.
Amen
Kupitia maombi utamtambua Ukiomba Mungu atakupa ndiyo au maono kukuonesha uyo mtu ni sahihi au sio sahihiUtamtambuaje huyo wa ubavu wako aliye sahihi ?... Mke/mume sahihi ?
Ndio,Kama tukio halisi kabisa lilitokea? Mh!
Ndoto zangu nyingi ni za kuruka juu huko na kutua japo mara moja moja huwa napata shida ya kutua hasa nikiwa nimezidisha ugali au kama nimekula kwa kuchelewa sana. Pia kupigana na watu ambao siwajui...mara nyingi nawakanda japo mara moja moja huwa wananizidi naanza kukimbia mbio halafu naamka nikiwa nimelowa jasho hatari huku natweta.
Na mara chache chache niko chuoni au shuleni masomoni mara zali natandikwa viboko au nazusha varangati mpaka nafukuzwa au naambiwa kwenda kuwaleta wazazi.
Ndoto hizi ndiko huko kwenye ulimwengu wa roho? 😳
Pia umegusia ndoto za kuota uko shuleni.Kama tukio halisi kabisa lilitokea? Mh!
Ndoto zangu nyingi ni za kuruka juu huko na kutua japo mara moja moja huwa napata shida ya kutua hasa nikiwa nimezidisha ugali au kama nimekula kwa kuchelewa sana. Pia kupigana na watu ambao siwajui...mara nyingi nawakanda japo mara moja moja huwa wananizidi naanza kukimbia mbio halafu naamka nikiwa nimelowa jasho hatari huku natweta.
Na mara chache chache niko chuoni au shuleni masomoni mara zali natandikwa viboko au nazusha varangati mpaka nafukuzwa au naambiwa kwenda kuwaleta wazazi.
Ndoto hizi ndiko huko kwenye ulimwengu wa roho? 😳
Hayo humpata mtu endapo atachagua Mke sie sahihi....sifa kuu Moja wapo ya Mke au Mume anayetoka Kwa Mungu hua ni Mcha Mungu mke anakua mwenye kumtii mumewe na mume anakuwa mwenye upendo wa dhati Kwa mkeweIla ndoa ni chanzo cha utumwa kwetu wanaume. Ndio chanzo cha kutumaliza hata tusiishi miaka mingi duniani. Ndio chanzo cha msongo wa mawazo na tuzeeke vibaya
Soma (Marko sura ya 10-12)Yakobo aliyekuwa na wake wanne na bado alikuwa rafiki mkubwa wa Mungu ,Sulleiman wanawake 1000
umeandika vitu vingi ambavyo havina uhalisia
hata Musa hakuwa na mke mmoja