Ukiwasoma vizuri utagundua Allah yupo seriously zaidi.Kwa jicho la kibinadamu kwa Allah inaonekana ni offer nzuri zaidi. Mabikra 72, mito ya pombe tamu isiyokauka...
Kwa Yahweh huku ni kuimba na kuabudu 24/7.
Na bado hujazungukia kwa Wahindu kule. Sijui wao wanasemaje....
Choose carefully! [emoji16]
Mimi niko kwa Mungu na siyo kwa Allah mkuu...Acha tu mabikra 72 na mito ya pombe inipite! 😁Ukiwasoma vizuri utagundua Allah yupo seriously zaidi.
Hawajui Mungu wa kweli ni yupi afu wanataka kutushauri.Ukiwasoma vizuri utagundua Allah yupo seriously zaidi.
pia inatakiwa ukae kwenye usafi husitende dhambi na kuomwomba Mungu maana Mungu hakai mahala pachafu yeye ni mtakatifu Ni Mungu Mtakatifu na msafi muombe Mungu atakutendea atakupa mwenza wako maana mwenza anaanzia Rohoni kwenye ulimwengu wa Roho na pia ndoa inaanzia Rohoni ndo inakuja mwilini ukiona mwenza wako ulimwengu wa Roho wa Mungu aliye hai unamkubali basi huyo atakuwa ametoka kwa Mungu AmeniKupitia maombi utamtambua Ukiomba Mungu atakupa ndiyo au maono kukuonesha uyo mtu ni sahihi au sio sahihi
Utaonga sadaka kwa wake zako badala ya kuleta kanisani.mchungaji akale wapiYakobo alikuwa na mke zaidi ya mmoja,Ibrahim alikuwa na wake wawili,suleiman nae hivyo hivyo kifupi manabii wengi walikuwa na wake zaidi ya mmoja...nyinyi wakristo kwanini hamtaki tuwe na wake zaidi ya mmoja?
Ukiachana na hilo dini kabla hazijafika africa mababu zetu walikuwa na wanawake zaidi ya mmoja,kwanini nyinyi wachungaji hamtaki tuoe mke zaidi ya mmoja?
Kwenye Bible Mtume Paulo hakuoa, vivyo hivyo Yesu na Yohana mbatizaji. Unaweza usioe lakini pia usifanye zinaa, Kama huwezi kuvumilia basi jipatie mke utulieVijana eleweni, NDOA ni agizo la Mungu.
Kutokuoa ni kudhibiti uzao, au kuleta mtafaruku katika JAMII Kwa watoto kuelewa na mzazi mmoja.
Mungu atusaidie.
Manabii walioweka nadhiri ya Kutoa wapo Hadi sasa, sisi Hilo halituhusu.Kwenye Bible Mtume Paulo hakuoa, vivyo hivyo Yesu na Yohana mbatizaji. Unaweza usioe lakini pia usifanye zinaa, Kama huwezi kuvumilia basi jipatie mke utulie
Zipo ila ni chache sana Mwenyezi Mungu atusaidie sisi wakosefuHivi siku hizi kuna ndoa Takatifu kweli?
maana tukesema hatuna dhambi twajidanganyaZipo ila ni chache sana Mwenyezi Mungu atusaidie sisi wakosefu
Zipo NDOA takatifu hata Leo.Hivi siku hizi kuna ndoa Takatifu kweli?
Utakatifu ni vazi apewalo mtu baada ya kumwamini Yesu kuwa BWANA na Mwokozi.maana tukesema hatuna dhambi twajidanganya
Ndio UKWELI,Aisee
Kwanini tutumie biblia kama reference,tuna uhakika gani kwamba yaliyoandikwa yanaukweli?
Kama MUNGU anajua maisha yetu tangu kabla ya kuzaliwa mpaka kufa,hii inamaanisha kwamba kivyovyote vile tutakavyoishi i.e katika utakatifu/dhambi hakutabadilisha hatima zetu, niliwa na maana ya kwamba kama MUNGU alipanga wewe ni wa motoni basi hata kama utaishi maisha yako yote pasi na kutenda dhambi still utaenda motoni and vice verse