- Thread starter
- #41
Kukataa NDOA ni maagizo ya kishetani,Wanaosema kataa ndoa ,wengi hawamaanishi kile wasemacho hapa jukwaani wengi ,wameoa na wanaishi na wake zao, na inawezakana hawana sauti ndani ya nyumba.
Wanaoshabikia, wanamtumikia shetani Kwa kujua na wengine fuata mkumbo!!