Anipe,na aniconvince. Tofauti na hapo, mi ntamwambia ni neno tu wanalotumia kutapeli na kuwapotosha wenye .......ndogoHawezi kuwa na jibu hilo ni gumu kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anipe,na aniconvince. Tofauti na hapo, mi ntamwambia ni neno tu wanalotumia kutapeli na kuwapotosha wenye .......ndogoHawezi kuwa na jibu hilo ni gumu kwake
Kwani lazima kila mtu aoe au kuolewa bidada?Sasa Mawakala wa shetani wamekuaja na hili la kutotaka ndoa..
Wanasema hivi...
Hakuwahubiria Makahaba alimkarimu kahaba ambaye ni Mariam Magdalene kasome tena biblia...Nawe hujui ya kuwa Yesu aliwahubiria MAKAHABA ,wakaacha ukahaba wakawa wanafunzi watiifu wa Yesu?
Mungu anawapenda wote, ila tu waache UOVU na kumrudia Mungu.
Amen
Hana uwezo huo 😅😅Anipe,na aniconvince. Tofauti na hapo, mi ntamwambia ni neno tu wanalotumia kutapeli na kuwapotosha wenye .......ndogo
Hilo 🙄ndilo swali lako!!Mkuu,
Kuna jamaa alikutana na binti wa kinyaturu bar alikuwa bamedi baada ya kuzoeana wakaanza mahusiano.
Hivi sasa ni mwaka wa nane na wana watoto wawili.
Hawa walijazwa roho mtakatifu?
Yesu ni Mungu, Kuoa isingewezekana.Ndoa ni Taasisi ngumu sana ndio Maana manabii waliokuja kufanya matengenezo kwenye nyakati Katika ulimwengu Wa Roho hawakuoa...
Nawe u uzao Ule wa nyoka aliyelaaniwa.Hakuwahubiria Makahaba alimkarimu kahaba ambaye ni Mariam Magdalene kasome tena biblia...
Na ndo ukienda kwenye Injili ya magdalene (The apokrifa) unakuta alikuwa ni mke wake
😅😅😅Nawe u uzao Ule wa nyoka aliyelaaniwa.
Yesu ni Mungu, hakuoa mwanadamu.
Toka babu zake waongo mpaka leo nae muongo,na wanae watakua waongo kama yeye. Eti Yesu atarudi. Ohh karibiaba anakuja. Bora wangesema inaafunguliwa Bar mtaa jirani hapo sawaHana uwezo huo 😅😅
SI KWELIMatatizo mengi ya NDOA na magomvi ni sababu ya Kuoa au Kuolewa na mtu asiye chaguo Kutoka Kwa MUNGU.
SI KWELIKila mtu aliyezaliwa Huwa anae mtu mmoja ambaye Huwa ndiye ubavu wake. Na hao kukutana, ni Hadi wamwombe Mungu
SI KWELIMwanaume anapofikia uamuzi wa Kuoa, shetani huleta wanawake wengi karibu Yako,
Kwani lazima kila mtu aoe au kuolewa bidada?
That's beyond personal freedom.
Katiba imetoa ruhusa ya miunganiko tofauti tofauti na ni ya hiyari zaidi na ndoa ni muunganiko wa hiyarKizazi Cha nyoka utoe wapi HOJA zaidi ya makufuru?😅😅😅
Hili nilishakuambia kule kwenye mada yako nikakupa hoja nikakuambia upinge hata moja ila cha ajabu hola 😅😅😅
Danganyaneni tu. Hakuna cha kahaba wala nini. Tunachosikiaga,japo uhakika hatuna. Nae alikuwa anasubiri giza liigie ndo aende kuwashughulikia Maria na Marita. Sasa leo hii unamsifia na kumsafisha kwa lipi?Nawe u uzao Ule wa nyoka aliyelaaniwa.
Yesu ni Mungu, hakuoa mwanadamu.
Yesu hakuoa na Paulo hakuoa halafu hao wote wameshikilia kidete Mambo ya ndoaKama NDOA ni kitu Chema mbona Yesu hakuoa ?
HAUTOKI KWENYE RELI Msimamo ni ule ule
KATAA NDOA
TUNZA PESA
Sasa We jiulize walikochukua Dini kwa Wayahudi wanatifautiana kwa 70% kitheolojia unategemea nani atakuwa mkweli kati yao Yule wa kwanza au wa pili...Toka babu zake waongo mpaka leo nae muongo,na wanae watakua waongo kama yeye. Eti Yesu atarudi. Ohh karibiaba anakuja. Bora wangesema inaafunguliwa Bar mtaa jirani hapo sawa
Poleni sana.Danganyaneni tu. Hakuna cha kahaba wala nini. Tunachosikiaga,japo uhakika hatuna. Nae alikuwa anasubiri giza liigie ndo aende kuwashughulikia Maria na Marita. Sasa leo hii unamsifia na kumsafisha kwa lipi?
Paulo si alikuwa Hanithi mzeeYesu hakuoa na Paulo hakuoa halafu hao wote wameshikilia kidete Mambo ya ndoa