Je, wajua nini hutokea katika Ulimwengu wa Roho wawili wanapoungana katika NDOA Takatifu?

Je, wajua nini hutokea katika Ulimwengu wa Roho wawili wanapoungana katika NDOA Takatifu?

Kwanini zote zitumike na unadai agano jipya ndio halisi na la kale ni kivuli?

Kwanini waendelee kutumia vitu viwili wakati kimoja ndio halisi kwa madai yako?
Neno la Mungu halibadiliki toka mwanzo mpaka sasa na Kristo ni yule yule toka mwanzo mpaka sasa.

Neno la Mungu halijawahi kupitwa na wakati toka mwanzo mpaka sasa.


Tunaposema agano la kale ni kivuli cha agano jipya hatumaanishi la kale limekufa na halifai kutumika tena.

Hebu angalia mtume Paulo anavyosema.

Soma waebrania 8:1-13 yote Ila nasisitiza mstari wa 13

Waebrania 8:13
"Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu kianzacho kuwa kikuukuu na kuchakaa ki karibu na kutoweka."

Ukilisoma agano la kale kwa picha ya agano jipya utalielewa vizuri sana na Kristo utamuona vizuri humo.

Ndio maana Yesu alisema hakuja kuivunja torati Ila kuikamilisha.

Amri ya 6 ya torati inasema usizini Ila kwa agano jipya ni kwamba ukimtamani mwanamke toka moyoni umeshazini.

Amri ya 5 inasema usiue Ila kwa agano jipya yeyote anayemchukia ndugu yake ni muuaji.

zitto junior Mathanzua
 
Ukisoma vizuri injili ya Marko, wametumia neno 'ndugu'....kibibilia (hata sasa) sio lazima muwe wa tumbo moja au baba mmoja ili muitwe ndugu hata mtoto wa baba yako mmoja au mama yako mdogo ni ndugu yako vile vile.

Marko 15:39
Basi yule akida, aliyesimama hapo akimwelekea, alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema, Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.

Marko 15:40
Palikuwako na wanawake wakitazama kwa mbali; miongoni mwao alikuwamo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo mdogo na Yose, na Salome;

Huo mstari wa 40 hapo juu unatuambia hao kina Yakobo walioitwa 'ndugu' walikuwa watoto wa mama yupi, ila hautambii kama walikuwa wa Yusufu Ila wamemtaja mama yao.

Hapo utaona kuna Mariamu watatu hapo yaani Mariamu Magdalena, Mariamu mama yake Yesu na Mariamu mama yao kina Yakobo.

Hebu angalia na Yohana anasemaje....

Yohana 19:25
Na penye msalaba wake Yesu walikuwa wamesimama mamaye, na umbu la mamaye, Mariamu wa Klopa, na Mariamu Magdalene.

Yohana 19:26
Basi Yesu alipomwona mama yake, na yule mwanafunzi aliyempenda amesimama karibu, alimwambia mama yake, Mama, tazama, mwanao.

Yohana 19:27
Kisha akamwambia yule mwanafunzi, Tazama, mama yako. Na tangu saa ile mwanafunzi yule akamchukua nyumbani kwake.

Ukisoma injili ya Yohana amesema alikuwapo mama yake Yesu, Umbu la mamaye (ndugu wa mamaye), mariamu wa kleopa na mariamu Magdalena.

Hapo ukichunguza utaona yule Mariam mama yao kina Yakobo huenda akawa ni Mariam wa Kleopa ingawa Marko hakutaja jina lake.
Mkuu nimefurahi kwakuwa Umenotice kuwa Yesu alikuwa na wadogo zake/Kaka zake...

Sasa nifatilie..
Kwanza kabisa utambulisho wa Ndugu hao Unaanza kwenye Mathayo 13:55-56
Nitakuandikia kiyunani (Greek) as the original language....

"
Οὐχ οὗτός ἐστιν ὁ τοῦ τέκτονος υἱός; οὐχ ἡ μήτηρ αὐτοῦ λέγεται Μαρία καὶ οἱ ἀδελφοὶ αὐτοῦ Ἰάκωβος καὶ Ἰωσὴφ καὶ Σίμων καὶ Ἰούδας; καὶ αἱ ἀδελφαὶ αὐτοῦ οὐχὶ πᾶσαι πρὸς ἡμᾶς εἰσιν; πόθεν οὖν τούτῳ ταῦτα πάντα;

Na hivi ndivyo hutamkwa...

Ouch houtos estin ho tou tektonos huios? ouch he meter autou legetai Maria kai hoi adelphoi autou Iakobos kai Ioseph kai Simon kai Ioudas? kai hai adelphai autou ouchi pasai pros hēmas eisin? pothen oun touto panta?

Kwa mama Samia tungeandika hivi..

Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?
Na dada zake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?


neno lililotumika kama Ndugu(Kaka ) ni ἀδελφοὶ" (adelphoi) na Mara zote hutumiwa kwa Ndugu wa Damu yaani wale wa Tumbo moja...
kwa case yako kuwa Huenda lilitumika kama Ndugu wa Dada ake Mama yake..
neno ambalo lingetumika nafikiri lingekuwa ανηψιός (anepsiós)

Sasa kama utaweza bado swali liko pale pale walikuwa watoto wa nani!
 
Mkuu nimefurahi kwakuwa Umenotice kuwa Yesu alikuwa na wadogo zake/Kaka zake...

Sasa nifatilie..
Kwanza kabisa utambulisho wa Ndugu hao Unaanza kwenye Mathayo 13:55-56
Nitakuandikia kiyunani (Greek) as the original language....

"
Οὐχ οὗτός ἐστιν ὁ τοῦ τέκτονος υἱός; οὐχ ἡ μήτηρ αὐτοῦ λέγεται Μαρία καὶ οἱ ἀδελφοὶ αὐτοῦ Ἰάκωβος καὶ Ἰωσὴφ καὶ Σίμων καὶ Ἰούδας; καὶ αἱ ἀδελφαὶ αὐτοῦ οὐχὶ πᾶσαι πρὸς ἡμᾶς εἰσιν; πόθεν οὖν τούτῳ ταῦτα πάντα;

Na hivi ndivyo hutamkwa...

Ouch houtos estin ho tou tektonos huios? ouch he meter autou legetai Maria kai hoi adelphoi autou Iakobos kai Ioseph kai Simon kai Ioudas? kai hai adelphai autou ouchi pasai pros hēmas eisin? pothen oun touto panta?

Kwa mama Samia tungeandika hivi..

Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?
Na dada zake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?
neno lililotumika kama Ndugu(Kaka ) ni ἀδελφοὶ" (adelphoi) na Mara zote hutumiwa kwa Ndugu wa Damu yaani wale wa Tumbo moja...
kwa case yako kuwa Huenda lilitumika kama Ndugu wa Dada ake Mama yake..
neno ambalo lingetumika nafikiri lingekuwa ανηψιός (anepsiós)

Sasa kama utaweza bado swali liko pale pale walikuwa watoto wa nani!

Mkuu nimefurahi kwakuwa Umenotice kuwa Yesu alikuwa na wadogo zake/Kaka zake...

Sasa nifatilie..
Kwanza kabisa utambulisho wa Ndugu hao Unaanza kwenye Mathayo 13:55-56
Nitakuandikia kiyunani (Greek) as the original language....

"
Οὐχ οὗτός ἐστιν ὁ τοῦ τέκτονος υἱός; οὐχ ἡ μήτηρ αὐτοῦ λέγεται Μαρία καὶ οἱ ἀδελφοὶ αὐτοῦ Ἰάκωβος καὶ Ἰωσὴφ καὶ Σίμων καὶ Ἰούδας; καὶ αἱ ἀδελφαὶ αὐτοῦ οὐχὶ πᾶσαι πρὸς ἡμᾶς εἰσιν; πόθεν οὖν τούτῳ ταῦτα πάντα;

Na hivi ndivyo hutamkwa...

Ouch houtos estin ho tou tektonos huios? ouch he meter autou legetai Maria kai hoi adelphoi autou Iakobos kai Ioseph kai Simon kai Ioudas? kai hai adelphai autou ouchi pasai pros hēmas eisin? pothen oun touto panta?

Kwa mama Samia tungeandika hivi..

Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?
Na dada zake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?
neno lililotumika kama Ndugu(Kaka ) ni ἀδελφοὶ" (adelphoi) na Mara zote hutumiwa kwa Ndugu wa Damu yaani wale wa Tumbo moja...
kwa case yako kuwa Huenda lilitumika kama Ndugu wa Dada ake Mama yake..
neno ambalo lingetumika nafikiri lingekuwa ανηψιός (anepsiós)

Sasa kama utaweza bado swali liko pale pale walikuwa watoto wa nani!
Kristo ndio muhimu kumfahamu mkuu maana yeye ndiye aliyetuletea injili na wokovu, hao ndugu wengine ni 'minor characters' tu.
 
Yesu ndio wa muhimu mkuu na in

Kristo ndio muhimu kumfahamu mkuu maana yeye ndiye aliyetuletea injili, hao ndugu wengine ni 'minor characters' tu.
Naelewa vizuri sana mkuu na ndo maana kila siku huwa nasema hili swala..
Tusome sana Biblia tulizonazo..
Na kama wewe ni Mu-islam soma sana Quran..
Na muhindu soma sana ulichonacho...
Na sio tu Kusoma Jikite kusoma kwa Textual Critiq (Textual analysis) ili ujue muktadha wa Maandiko Usifate sana Tafsiri maana kuna vitu wanaficha sana...

Kwa mfano watu Uliowataja Hao wanaoitwa Mariam..
Ukisoma Vibaya utakuta kuna Mariam zaidi ya 7...
Mariam cleopa,Mariam magda,Mariam mamaye ,Mariamu salome etc..lakini kuna siri kati ya hao..

Eniwei ni vyema kudeal na Injili kama ulivyosema
 
Neno la Mungu halibadiliki toka mwanzo mpaka sasa na Kristo ni yule yule toka mwanzo mpaka sasa.

Neno la Mungu halijawahi kupitwa na wakati toka mwanzo mpaka sasa.


Tunaposema agano la kale ni kivuli cha agano jipya hatumaanishi la kale limekufa na halifai kutumika tena.

Hebu angalia mtume Paulo anavyosema.

Soma waebrania 8:1-13 yote Ila nasisitiza mstari wa 13

Waebrania 8:13
"Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu kianzacho kuwa kikuukuu na kuchakaa ki karibu na kutoweka."

Ukilisoma agano la kale kwa picha ya agano jipya utalielewa vizuri sana na Kristo utamuona vizuri humo.

Ndio maana Yesu alisema hakuja kuivunja torati Ila kuikamilisha.

Amri ya 6 ya torati inasema usizini Ila kwa agano jipya ni kwamba ukimtamani mwanamke toka moyoni umeshazini.

Amri ya 5 inasema usiue Ila kwa agano jipya yeyote anayemchukia ndugu yake ni muuaji.

zitto junior Mathanzua
Neno la mungu halibadiliki? Sawa.

Waamuzi 1:19​

Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja na watu wa kabila la Yuda, nao wakaiteka nchi ya milima. Lakini hawakuweza kuwashinda wenyeji wa nchi tambarare kwa sababu magari yao ya vita yalikuwa ya Chuma.

Mathayo 19:26​

Yesu akawatazama, akasema, “Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote huwezekana.”

Tuendelee kuonyesha contradiction zilizopo kwenye hekaya za kiyahudi?
 
Neno la mungu halibadiliki? Sawa.

Waamuzi 1:19​

Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja na watu wa kabila la Yuda, nao wakaiteka nchi ya milima. Lakini hawakuweza kuwashinda wenyeji wa nchi tambarare kwa sababu magari yao ya vita yalikuwa ya Chuma.

Mathayo 19:26​

Yesu akawatazama, akasema, “Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote huwezekana.”

Tuendelee kuonyesha contradiction zilizopo kwenye hekaya za kiyahudi?
Mkuu ziko nyingi sana ninao uwezo wa kuonyesha 100
 
Hili la wanawake kuwa karibu na Yesu, kinawasumbua sana wanadamu wa kale hata sasa...

Ni kwakuwa mwanamke anaimani sana, ndio maana Maria alipoambiwa kuwa utachukua mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu hakukataa...

Mariamu Makdalena naye alipoponywa tu na Yesu hakuacha kutembea naye, Biblia inasema popote alipokuwa Yesu alienda.

Ni Imani tu, hata dada yake Mariamu Makdalena Matha hakuwa na Imani, ndio maana alilalamika mbona dada yake anakuwa karibu na Yesu.

Hili tunaliona mpaka sasa ukiwa na Imani sana unaonekana kuwa unamahusiano na mtume au Nabii, ni kwakuwa ukishamjua Yesu popote neno linahubiriwa utalifuata...

Ni ngumu sana kuelewa haya kama haupo kiroho zaidi. ..
Jidanganye. Ukishamjua? Si bora uhangaike kujua ukoo wako. Yeye kumjua itakusaidia nini labda? Hivi,ni nani kwanza? Ulijuaje aliwahi kuwepo?
 
Mkuu ziko nyingi sana ninao uwezo wa kuonyesha 100

Yaani huwa nashangaa omnipotent, omniscient na omnipresent anashindwa vipi kwa madai ya kwamba wenyeji walikuwa na magari ya chuma.

Hivi mkuu huwa inasababishwa na nn mtu anaona kabisa contradiction lakini anagoma anaamua kuufyata na kujitoa akili. Ukihoji unaambiwa unafanya blasphemy.
 
Yaani huwa nashangaa omnipotent, omniscient na omnipresent anashindwa vipi kwa madai ya kwamba wenyeji walikuwa na magari ya chuma.

Hivi mkuu huwa inasababishwa na nn mtu anaona kabisa contradiction lakini anagoma anaamua kuufyata na kujitoa akili. Ukihoji unaambiwa unafanya blasphemy.
Ni tatizo la brainwashed tu mkuu na mt7 kujazwa kuamini kila kitu japo moyoni anajua kabisa hapa ni uongo ila anajikaza tu...

Kwa mfano story ya kazaliwa kwa yesu (inawezekana kweli alizaliwa) ila stiry yake imajaa vitu visivyp halisia na ukoo usio wa ukweli majina ya babu na bibi yasiyo kuwepo
 
Na watu wote ni wa Bwana pia, hata walevi, waasherati, waongo..wote ni wa Bwana...mnapofundisha watu msiwafundishe katika hali ya matananio ya kibinadamu..kuwa atapata mwenza mtakatifu, mpole, n.k..WAAMBIENI wafuasi wenu Mungu anaweza mpa mwenza, mkorofi, mlevi, mbishi, asiyeabudu, muasherati n.k na kupitia wote wawili wasaidiane madhaifu yao.wabadirishane, wafundishane..waishi maisha mema Duniani na wasaidiane kufika mbinguni.....

Na huu ndo uhalisia...au nyie wenzetu..mnaojiita walokole..mambo yeny yamenyooka na wenza wenu ni kama malaika????
Unaweza kuwa sahihi kusema Mungu ni WA wote, walevi wazinzi nk nk.

Wote ni wake sababu aliwaumba na kuwapa Pumzi Bure.

Ikiwa tayari mmeoana na hamjaokoka, au mmoja ana TABIA zisofaa, maombi yanaweza kumbadikisha akawa MWEMA mkavumiliana na maisha yakasonga.

Ninachoongelea ktk mada, ni NDOA Takatifu sawasawa na maandiko.

Kwamba NDOA ni takatifu, ya mme na mke mmoja, vijana watunze Bikra zao na waepuke zinaa kabla ya Kuoa,

Wamuulize Mungu kupitia Maombi, awape mtu sahihi Kutoka Kwa MUNGU.

Ubarikiwe, Amen.
 
Unaweza kuwa sahihi kusema Mungu ni WA wote, walevi wazinzi nk nk.

Wote ni wake sababu aliwaumba na kuwapa Pumzi Bure.

Ikiwa tayari mmeoana na hamjaokoka, au mmoja ana TABIA zisofaa, maombi yanaweza kumbadikisha akawa MWEMA mkavumiliana na maisha yakasonga.

Ninachoongelea ktk mada, ni NDOA Takatifu sawasawa na maandiko.

Kwamba NDOA ni takatifu, ya mme na mke mmoja, vijana watunze Bikra zao na waepuke zinaa kabla ya Kuoa,

Wamuulize Mungu kupitia Maombi, awape mtu sahihi Kutoka Kwa MUNGU.

Ubarikiwe, Amen.
Ninachouliza hawa watu wenye miaka nane na hakuna ndoa na watoto wawili walimuuliza mungu?
 
Ni tatizo la brainwashed tu mkuu na mt7 kujazwa kuamini kila kitu japo moyoni anajua kabisa hapa ni uongo ila anajikaza tu...

Kwa mfano story ya kazaliwa kwa yesu (inawezekana kweli alizaliwa) ila stiry yake imajaa vitu visivyp halisia na ukoo usio wa ukweli majina ya babu na bibi yasiyo kuwepo

Mimi naonaga ni matatizo ya akili mkuu,
Yaani mtu unaaminishwa kiasi cha kuvaa mpaka mabomu na kujitoa uhai.

Kuna dada jirani akisikia unamsema t.b joshua lazima mgombane na anakuambia anafufua watu na huna kitu utamwambia akakuelewa😃
 
Kwani lazima kila mtu aoe au kuolewa bidada?

That's beyond personal freedom.

Katiba imetoa ruhusa ya miunganiko tofauti tofauti na ni ya hiyari zaidi na ndoa ni muunganiko wa hiyari

So aliyekataa kuoa ili atunze kibunda chake yuko sawa na aliyesema ataoa ili atumie kibunda na mwenzi wake wako sawa tusichukulie aliyekataa kuoa ni wakala wa shetani.
KATIBA kuu kuliko Katiba zote ni Neno la Mungu.

Inasema NDOA ni ya mke na mume mmoja.

Ikiwa hutaki Kuoa, ussizini Wala kununua MAKAHABA, Wala usijichue.

Amen
 
Mimi naonaga ni matatizo ya akili mkuu,
Yaani mtu unaaminishwa kiasi cha kuvaa mpaka mabomu na kujitoa uhai.

Kuna dada jirani akisikia unamsema t.b joshua lazima mgombane na anakuambia anafufua watu na huna kitu utamwambia akakuelewa😃
😅😅😅🤣🤣
Gwajima mwenyewe anafufua ila alipofariki mama yake alilia mpaka kuzmia Ila hakumfufua...
🤣🤣
 
Yakobo alikuwa na mke zaidi ya mmoja,Ibrahim alikuwa na wake wawili,suleiman nae hivyo hivyo kifupi manabii wengi walikuwa na wake zaidi ya mmoja...nyinyi wakristo kwanini hamtaki tuwe na wake zaidi ya mmoja?

Ukiachana na hilo dini kabla hazijafika africa mababu zetu walikuwa na wanawake zaidi ya mmoja,kwanini nyinyi wachungaji hamtaki tuoe mke zaidi ya mmoja?
Uongo na utapeli wa hizo dini.... Wanawake wanapaswa kuolewa wawili wawili na zaidi.

Hayo makanisa na vitabu vyake vya uongo khs ndoa wana ajenda zao khs ndoa na wanawake kw ujumla. Ndio maana wanapinga nakuaminisha watu mke n 1 tu
 
Back
Top Bottom