Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Kumbe wanalibeza buuuree, jionee mwenyewe!
Source: Wikipedia
Source: Wikipedia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlikuwa mnabeza majedwari.
Hilo kombe la CAF ndo lipi Hilo!?
Kwa Yanga 1998 mbona haipo?
Ni kombe la Mashood Abiola kama tulivyobeba makombe mengine ya Hedex. Nani Mtani Jembe nk.Hilo kombe la CAF ndo lipi Hilo!?
AahaaaaaaNi kombe la Mashood Abiola kama walivyobeba makombe ya Hedex. Nani Mtani Jembe nk.
Mashabiki wa simba na timu yao, wana maneno mengi kama waimba taarab.
Ndio nilitaka niseme mbn 98 siioni sema nikakausha tu mana najua kinachowafanya wakose raha ni wivu tu.Kwa Yanga 1998 mbona haipo?
Sio Simba tu, timu zote kubwa huwa ni mara chache sana kuonekana zikicheza Kombe la Shirikisho, na hii ni kote Afrika hata Ulaya (Europa Cup). Angalia Madrid, Barcelona, Manchester United, Liverpool, Juventus, AC Milan, Inter Milan, Marseilles, PSG, Bayern Munich na vigogo vingine, kisha tafuta idadi ambayo wameshiriki shirikisho. Timu kubwa ni kwa ajili ya Klabu Bingwa, ukiona inacheza shirikisho ujue either ni ndogo au kubwa iliyotolewa Klabu Bingwa mapemaJe wajua? Simba imecheza CAF Confederation Cup mara 6 wakaambulia Robo Fainali moja!
Huyo ilikuwa Champions leagueKwa Yanga 1998 mbona haipo?
Ila hizo kubwa ulizotaja za huko ulaya mara nyingi zikipelekwa Europa huwa zinafika fainali au zinabeba kabisa, nasema uongo ndugu zangu?Sio Simba tu, timu zote kubwa huwa ni mara chache sana kuonekana zikicheza Kombe la Shirikisho, na hii ni kote Afrika hata Ulaya (Europa Cup). Angalia Madrid, Barcelona, Manchester United, Liverpool, Juventus, AC Milan, Inter Milan, Marseilles, PSG, Bayern Munich na vigogo vingine, kisha tafuta idadi ambayo wameshiriki shirikisho. Timu kubwa ni kwa ajili ya Klabu Bingwa, ukiona inacheza shirikisho ujue either ni ndogo au kubwa iliyotolewa Klabu Bingwa mapema
Ndo hajaiweka kwenye jedwali...Huyo ilikuwa Champions league
AahaaaaaIla hizo kubwa ulizotaja za huko ulaya mara nyingi zikipelekwa Europa huwa zinafika fainali au zinabeba kabisa, nasema uongo ndugu zangu?
Mwaka huu hawana pa kutokea, machaka yote tunafyeka dadadekii.Aahaaaaa
Ndio yawezekana, lakini hadi uteremshwe Europa maana yake uliondolewa Champions League mapema kabisa, maana wale wanaoondolewa baadaye huwa wanasubiri nje hadi msimu ujao. Na kuondolewa mapema Champions League huwa sio sifa nzuriIla hizo kubwa ulizotaja za huko ulaya mara nyingi zikipelekwa Europa huwa zinafika fainali au zinabeba kabisa, nasema uongo ndugu zangu?
AahaaaaMwaka huu hawana pa kutokea, machaka yote tunafyeka dadadekii.
Sawa hizo timu pamoja zina shiriki mara chache hua chukua kombeSio Simba tu, timu zote kubwa huwa ni mara chache sana kuonekana zikicheza Kombe la Shirikisho, na hii ni kote Afrika hata Ulaya (Europa Cup). Angalia Madrid, Barcelona, Manchester United, Liverpool, Juventus, AC Milan, Inter Milan, Marseilles, PSG, Bayern Munich na vigogo vingine, kisha tafuta idadi ambayo wameshiriki shirikisho. Timu kubwa ni kwa ajili ya Klabu Bingwa, ukiona inacheza shirikisho ujue either ni ndogo au kubwa iliyotolewa Klabu Bingwa mapema