Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

Jewajua..

→✏ Nyanya ndo tunda Maarufu zaidi Duniani. Ndizi sio tunda ni mtishamba{Herbs}.
→✏ Kila Bara linaishia na Herufi iliyoanza nayo mwanzo, mfano: Africa, Europe, Asia.. [Kwa Kingereza lakini]
→✏ Maji huwa hayaexpire, expire date ni ya Chupa.
→✏ Asali ndo Chakula Pekee Kisichoharibika.
→✏ Unaweza kupunguza Uchachu wa embe kwa Kuliloweka dakika 10 kwenye Maji ya Uvuguvugu.
→✏ 96% ya Mishumaa hununuliwa na Wanawake.
→✏ Uking’oa kucha zote za vidole vya mkono, itakuchukua miezi 6 Mpaka ziote na Zikomae tena.
→✏ Kuna Radi takribani 2,000 kwa kila dakika Duniani.
→✏ Gesi haina Harufu, bali harufu huwekwa ili Kutaarifu kama Gesi ikivuja.
→✏ Katika Alfabeti zote, herufi ‘e’ ndo hutumika Zaidi.
→✏ Mabegi ya kuburuta Matairi yalianza Kutumika tangu 1971.
→✏ Watoto wadogo chini ya miezi 3, hawawezi kutetemeka kwa baridi.
→✏ Duniani kuna wastani wa Watu 6 ambao Unafanana nao kila Kitu kasoro Jina tu, na una 9% ya Kukutana nao!
→✏ Mahusiano mengi Duniani huzaliwa siku ya Jumatano.
→✏ 97%ya watu wakipewa Kalamu Mpya, basi wataijaribu ubora wake kwa kuandika Majina yao ama kuweka alama ya Sahihi.
→✏ Ukiwa unaandika namba zako za Siri, ukahisi Umekosea hata moja huwa Unafuta Zote na kuanza Upya.
→✏ 3% ya watu wote Duniani ni Mapacha. *Mapacha wanaweza Kuwa na Baba tofauti.
→✏ Watoto 255 huzaliwa kila dakika, taarifa: UNICEF.
→✏ Kama Umezaliwa 1999, Basi jua Umeishi ndani ya Miongo 3, Karne 2 na Millennium 2.
→✏ Kujinyonga India, kumeua Watu wengi Kuliko Ukijumulisha ajari na magonjwa kwa Pamoja
→✏ Pweza ana Bongo 9, Mioyo 3 na damu ya bluu. Maziwa ya Kiboko ni ya Pink.
→✏ Huwezi kupiga Chafya bila kufumba Macho.
→✏ Ukidownload file “PDF” inayoishia na ‘exe’ ifute io ni Virus.
→✏ 74% ya Watumiaji wa facebook huiangalia Kila siku, Mtu mmoja hutumia angalau dk 35 kwa Siku.
→✏ Video Billion 8 Hutazamwa fb kila Siku. Marekani ina idadi kubwa ya watumiaji fb. fb profile feki Duniani zinakadiliwa Kufika Million 270.
→✏ Account Million 391 za twitter hazina follower. Watu million 500 hutembelea Twitter kila mwezi bila kulog in.
→✏ Kombe la Dunia lilianzishwa rasmi 1930,Uruguay akiwa Mdhamini, na ndo aliyechukua Kombe kwa Mara ya kwanza.
→✏ Sehemu nyeupe ya Kucha yako inaitwa ‘lunula’.
→✏ Kama jicho lingekua Camera lingekua na MegaPixel [576MP].
→✏ Mende ana Uwezo wa Kuishi kwa Wiki kadhaa akiwa hana Kichwa.
→✏ Ukihesabu kwa Maneno ya kingereza 1-1,000 hutopata herufi ‘a’. Mpaka ufike 0ne thous‘a’nd ndo utaipata.
→✏ Kwa Siku, ni Bora Ukulala Mara mbili kwa Masaa 4, kuliko Kulala Masaa 8 kwa Pamoja.🙏

Wako Emmanuel Kasomi
Wewe kiboko vingi unachapi vingine ukweli
 
Hapa ni rekodi ya mtu aliyekaa na nyuki muda mrefu na mwingine aliyekaa na nyuki wenye uzito zaidi.
 
Wakuu huu ni uzi maalumu kwa ajili ya kuweka rekodi mbalimbali za dunia na nje ya dunia.
Hii ni zaidi ya je, wajua hapa utafahamu mengi.
 
Back
Top Bottom