The weekend
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 423
- 837
Au ndo sababu wanatumia vijiti kulia wali manake idadi ya watu inazidi idadi ya vijiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au ndo sababu wanatumia vijiti kulia wali manake idadi ya watu inazidi idadi ya vijiko
Na yeye anamaindi wanawake weupe. Mtupieni mmoja tusaidiane kufyatua.Ndio maana Mheshimiwa Magufuli anawasihi mfyatuane tu.
JUA HILI
Idadi ya raia wa China ni 1,437,268,056 na idadi ya bara lote la Afrika ni 1,340,598,140
Kwahyo utofauti wake na China inazidi bara lote la Afrika watu takribani 96,668,961
Hii inamanisha watu wote wa Afrika wanaweza ishi China na Watu wa China wakiishi wote Africa watakua wengi zaidi.
Humo wachina diaspora wapo?JUA HILI
Idadi ya raia wa China ni 1,437,268,056 na idadi ya bara lote la Afrika ni 1,340,598,140
Kwahyo utofauti wake na China inazidi bara lote la Afrika watu takribani 96,668,961
Hii inamanisha watu wote wa Afrika wanaweza ishi China na Watu wa China wakiishi wote Africa watakua wengi zaidi.
Mende ni mdudu anayeweza kuishi zaidi ya mwezi bila ya kula chakula chochote.
Ni mdudu anayeweza kuishi wiki mbili bila ya kunywa maji.
Wakati moyo wa mwanadamu ni mmoja wenye chemba nne mende ana moyo mmoja wenye chemba kumi na tatu.
Baadhi ya mende wa kike hawaitaji wanaume kuweza kuzalisha mayai hupandana wao kwa wao na kutaga mayai katika kipindi chote cha maisha yao.
Mende ana uwezo wa kukaa kwa zaidi ya dakika 40 bila ya kupumua.
Mende ana uwezo wa kuishi zaidi ya wiki mbili akiwa amekatwa kichwa.
Ana uwezo wa zaidi ya mara 15 ya binadamu wa kuzuia miale mikali ya nuklia isimdhuru na kubaki hai
Mende ni mdudu asiye na mapafu.
Ana uwezo wa kuruka maili 3 kwa saa
Aisee!Je wajua kuwa ndege jamii ya Cuckoo hutaga mayai yao kwenye viota vya ndege wengine?
Ndege jamii ya Cuckoo hutaga mayai yao kwenye viota vya ndege wengine (hasa jamii ya dunnocks, meadow pipits & reed warbles) na kuacha mayai yao yaanguliwe na ndege wengine na vifaranga kulishwa na ndege wamiliki wa viota.
rekebisha kidogo hapo 11.034meters au ni 11,034meters kuna tofauti ya nukta na colon kwenye kuandika namba maana mita 11 ni pafupi sanaje wajua?.
The deepest point on the Earth is the 11.034 meters deep Mariana Trench
Uhakika→✏Maji huwa hayaexpire, expire date ni ya Chupa.