Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,659
Bange hizo.....Je wajua mimi ndo niliecomment hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bange hizo.....Je wajua mimi ndo niliecomment hapa
Shukrani mkuu asante nawe.Ahsannt ...Memba Ubarikiwe kwa mchango wako huu...
Mkuu M hebu tupe zaidi... ni vifaa,samani au mitambo gani huhitajika kutengeza viooShukrani mkuu asante nawe.
Yaa ni mwendo wa kemia tu na naikubali mno kemia.Umenikumbusha kemia
Kama unazungumzia malighafi tayari nshazungumzia kwenye uzi.Mkuu M hebu tupe zaidi... ni vifaa,samani au mitambo gani huhitajika kutengeza vioo
Ni kweli kabisa tena inachukua sehemu kubwa sana.Kemia inaaply sana kwenye manufacturing industry
Dah Sikujua! Asante kwa Historia!Mwaka 1808 Napoleon alivamia nchi ya Ureno ivyo familia ya kifalme ya Ureno ilibidi wajihami na kukimbia ureno na kukimbilia Brazil kwa kuwa lilikuwa koloni lao.Ivyo wakawasili mjini Rio de janeiro na tangia apo Rio de janeiro ukawa mji mkuu wa Ureno nje ya Ureno.
Rio de janeiro uliendelea kuwa mji mkuu wa Brazil ata baada ya kupata uhuru mpaka mwaka 1960 serikali ya Brazil ilipoamua kuuhamisha mji mkuu kutoka pwani ya Brazil mpaka interior mwa nchi katika jiji la Brasilia kupunguza population mjini Rio.