Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

For records CCM walikataa bodaboda tangu miaka ya 1990. Mswaada wa kwanza kutetea bodaboda uliletwa na Mbunge wa Bukoba Mini(CUF) W.Rwakatare(Gaidi feki), CCM waliukataa. Biashara ya Bodaboda imeinzia Bukoba ikitokea Uganda(1990s). CCM walitumia polis I kuwapiga na kuwaumiza bodaboda huko bukoba.CCM baada ya kuona na kuelewa kuwa hii ni ajira wakadandia hoja ya Rwaks.
 
Ajira za mawasiliano hazijaletwa na CCM na serikali yake, ni mabadiliko ya technolojia dunia. sawa tu na ujio wa Digitali baada ya analojia. Hivo siyo serikali ya CCM aloleta ving'amzi la hasha.
 
Ajira za mawasiliano hazijaletwa na CCM na serikali yake, ni mabadiliko ya technolojia dunia. sawa tu na ujio wa Digitali baada ya analojia. Hivo siyo serikali ya CCM aloleta ving'amzi la hasha.

Upeo wako mdogo kwa hiyo wizara ya sayansi na teknolojia haina haja kuwepo? Unafikiri teknolija zinajiingilia tu hamna sera wala sheria za kuziingiza zinazotakiwa kuwekwa na serikali?
Kama teknolojia ingekuwa inajiingilia tu mbona ile ya mtu kujiigeuza jinsia haijaingia?

UKAWA kwa kweli kwenye kujenga hoja sio siri wengi ni sifuri
 
nilifikiri kama una mkemia mkuu na tbs,unaanzisha tfda ili nafasi za ajira zipatikane,naona kazi zao zinafanana.
 
Hoja yako ni ni ya msingi. Tatizo ni pale serikali inapogeuza mapato yatokanayo na kodi wanazolipa hawa wavuja jasho kuendekeza matumizi yasiyofaa kama ajira zisisizo na tija kupitia miundo na taasisi zake serikali yenyewe! Yupo Bwana mmoja aliunda wizara 27 zenye Baraza la Mawaziri 60. Kundi moja tu kama hilo na taasisi zake , linamaliza kodi za wavuja jasho maelfu kwa maelfu!
 
Katika historia ya dunia, serikali ndiyo zinaongoza Mara dufu katika ajira.
Mataifa yote makubwa na yaliyoendelea wanategemea serikali katika kuzalishwa ajira.
A weak government creates a weak private sector, and vice versa.
 
kwa mifano uliyoitoa wewe ni mpumbavu,kwanza ajira zinazotokana na uuzaji wa pikipiki kama ulizofafanua
  • Ajira kibao za maduka ya wauza piki piki
  • ajira kibao za madereva wa pikpiki
  • ajira kibao za maduka ya spea za pikipiki
  • ajira kibao za mafundi pikpiki
  • ajira kibao za waosha pikipiki
HIZI AJIRA ZINATOKANA NA UAGIZAJI NJE,ZINGEKUWA ZA MAANA KAMA HIZO PIKIPIKI ZINGEKUWA ZINATENGENEZWA HAPA NCHINI NDO MAANA WENYE AJIRA HIZI BADO WENGI HUISHI CHINI YA DOLLA $ 1 KWA SIKU KWA HIYO HAPO BADO HUJATATUA TATIZO.

UKIRUDI KWENYE SEKTA YA MAWASILIANO,KAMA ULIVYO FAFANUA UUZAJI WA VOCHA-KUMBUKA MAKAMPUNI YA SIMU YANAYOONGOZA NCHINI YAPO CHINI YA UMILIKI WA SEKTA BINAFSI.WEWE MWENYEWE NI SHAHIDI WAFANYAKAZI WALIO WENGI WANALIPWA KIPATO KIDOGO UKILINGANISHA NA FAIDA AMBAYO MAKAMPUNI HAYO YANAPATA.

SASA AJIRA INAYOKUFANYA UISHI BADO CHINI YA DOLLAR MOJA HIYO NI AJIRA AU KUBANGAIZA MAISHA???
 
For records CCM walikataa bodaboda tangu miaka ya 1990. Mswaada wa kwanza kutetea bodaboda uliletwa na Mbunge wa Bukoba Mini(CUF) W.Rwakatare(Gaidi feki), CCM waliukataa. Biashara ya Bodaboda imeinzia Bukoba ikitokea Uganda(1990s). CCM walitumia polis I kuwapiga na kuwaumiza bodaboda huko bukoba.CCM baada ya kuona na kuelewa kuwa hii ni ajira wakadandia hoja ya Rwaks.
Kwahiyo Rwakatare ndio alio ruhusu biashara ya bodaboda?
 
Wengi hujiuliza hivi serikali hutengenezaje ajira mfano ikisema inataka kutengeneza ajira milioni tatu inatengenezaje?

1.Ni kwa yenyewe kuajiri.Ukiangalia mfano sasa hivi vijana polisi na wanajeshi walioajiriwa kwenye majeshi yote ni wengi mno.Ukienda ofisi za serikali nyingi unakutana na vijana wengi watu wazima ni wa kuhesabu iwe walimu,madaktari nk Serikali imeamua kuwaajiri.

2.Kwa kuleta wawekezaji wakubwa.Mfano Alivyoingia vodacom ajira kwa watu wengi mno
Zilizaliwa kama
  • Wafanyakazi wa vodacom
  • wauza vocha na Maagenti wa Mpesa angalia waliosambaa nchi nzima walivyo wengi
  • Maduka kibao ya wauza simu za mkononi
  • Ajira kibao za Mafundi simu
3.Kuweka sera ya biashara mpya: Mfano Serikali waliporuhusu biashara ya boda boda ona ajira nyingi zilivyozaliwa
  • Ajira kibao za maduka ya wauza piki piki
  • ajira kibao za madereva wa pikpiki
  • ajira kibao za maduka ya spea za pikipiki
  • ajira kibao za mafundi pikpiki
  • ajira kibao za waosha pikipiki
4.Kutengeneza miundo mbinu kama ya Barabara nk
Barabara hufungua ajira kibao.Ajira zizaliwazo upya
  • Ajira za watengeneza barabara
  • Huvutia ajira za usafirishaji ambako watu kibao huajiriwa kuendesha magari ya kupitia hizo barabara mfano madereva wa mabasi, malori
  • Viwanda,maHoteli,maduka,masoko mengi hufunguliwa pembeni mwa barabara ambayo hutoa ajira kwa watu wengi mno
Haya ni baadhi tu ya mambo ambayo serikali hutumia kuongeza ajira katika nchi.
Hii ni kuwasaidia wale ambao wakisikia serikali itaongeza ajira huwa wanabeza tu kwa kuwa hawana upeo wa mambo zaidi ya ule wa siasa za majukwaani za kumnadi mgombea.
 
Je wajua huwezi ukakojoa wakati "gogo" likwa ona da process ya kukatwa??
 
Check ilianzwa kuandikwa na mwafrika 915AD kwa tajiri mkubwa Ghana, sio kama tunavyoaminishwa na wazungu
 
Habari zenu wadau.

Wote tunaamini kua kuna mambo mengi sana ya kisiasa, elimu, sayansi, geografia, na maarifa mengine mengi tu ambapo kwa namna moja au nyingine mtu unakua hujapata fursa ya kuyashuhudia au kuyasikia kwa muda muafaka. Hii inaweza kua kipindi kilichopita au hata kwa wakati huu ulipo.

Basi kupitia Thread hii ni vyema wadau tukafahamishana haya kwa lengo moja la kuelimishana.

Hivyo niwakaribishe wote wenye nia njema kuwekea wayajuayo, kwani ukijuacho wewe naweza nisikijue na akijuacho mwenzanko unaweza usikijue.

Karibuni.
Je wajua kwamba chembechembe nyekundu za damu (erythrocytes) ambazo hutumika kusafirishia hewa safi mwilini (oxygen) ambayo inahitajika na kila chembe hai mwilini,zenyewe hazihitaji hiyo oxygen ili kuendelea kuishi..!!!
 
Je wajua?

Somalia ndiyo nchi ya kiafrika yenye coastline ndefu zaidi kuliko zote Africa ikiwa ni 3,025km ikifuatiwa na Afrika Kusini yenye 2,798km.
 
Je mwajuwa sehemu ya nje ya Jino ndo sehemu ngumu zaid kuliko zote katka mwili binadamu?
Na kwamba kila jino lina movement,yaani lina cheza mbele-nyuma,kulia-kushoto na juu - chini.
je wajua?????kuwa binadamu ana mifupa 206 kwenye mwili wake?
 
  • Thanks
Reactions: me1
Je wajua bendera ya tanzania kirangi inatakiwa ipangwe kuanzia juu kuja chini kama ifuatavyo -
1.KIJANI
2.NJANO
3.NYEUSI
4.BULUU
bendera ya Tanzania ina rangi ngapi?mbona mpangilio wako hauko sahihi?
cheki wangu
1.kijani
2.njano
3.nyeusi
4.njano
5.bluu

hapo anzia kokote uko sahihi
 
Back
Top Bottom