Je, wajua? - Special Thread

For records CCM walikataa bodaboda tangu miaka ya 1990. Mswaada wa kwanza kutetea bodaboda uliletwa na Mbunge wa Bukoba Mini(CUF) W.Rwakatare(Gaidi feki), CCM waliukataa. Biashara ya Bodaboda imeinzia Bukoba ikitokea Uganda(1990s). CCM walitumia polis I kuwapiga na kuwaumiza bodaboda huko bukoba.CCM baada ya kuona na kuelewa kuwa hii ni ajira wakadandia hoja ya Rwaks.
 
Ajira za mawasiliano hazijaletwa na CCM na serikali yake, ni mabadiliko ya technolojia dunia. sawa tu na ujio wa Digitali baada ya analojia. Hivo siyo serikali ya CCM aloleta ving'amzi la hasha.
 
Ajira za mawasiliano hazijaletwa na CCM na serikali yake, ni mabadiliko ya technolojia dunia. sawa tu na ujio wa Digitali baada ya analojia. Hivo siyo serikali ya CCM aloleta ving'amzi la hasha.

Upeo wako mdogo kwa hiyo wizara ya sayansi na teknolojia haina haja kuwepo? Unafikiri teknolija zinajiingilia tu hamna sera wala sheria za kuziingiza zinazotakiwa kuwekwa na serikali?
Kama teknolojia ingekuwa inajiingilia tu mbona ile ya mtu kujiigeuza jinsia haijaingia?

UKAWA kwa kweli kwenye kujenga hoja sio siri wengi ni sifuri
 
nilifikiri kama una mkemia mkuu na tbs,unaanzisha tfda ili nafasi za ajira zipatikane,naona kazi zao zinafanana.
 
Hoja yako ni ni ya msingi. Tatizo ni pale serikali inapogeuza mapato yatokanayo na kodi wanazolipa hawa wavuja jasho kuendekeza matumizi yasiyofaa kama ajira zisisizo na tija kupitia miundo na taasisi zake serikali yenyewe! Yupo Bwana mmoja aliunda wizara 27 zenye Baraza la Mawaziri 60. Kundi moja tu kama hilo na taasisi zake , linamaliza kodi za wavuja jasho maelfu kwa maelfu!
 
Katika historia ya dunia, serikali ndiyo zinaongoza Mara dufu katika ajira.
Mataifa yote makubwa na yaliyoendelea wanategemea serikali katika kuzalishwa ajira.
A weak government creates a weak private sector, and vice versa.
 
kwa mifano uliyoitoa wewe ni mpumbavu,kwanza ajira zinazotokana na uuzaji wa pikipiki kama ulizofafanua
  • Ajira kibao za maduka ya wauza piki piki
  • ajira kibao za madereva wa pikpiki
  • ajira kibao za maduka ya spea za pikipiki
  • ajira kibao za mafundi pikpiki
  • ajira kibao za waosha pikipiki
HIZI AJIRA ZINATOKANA NA UAGIZAJI NJE,ZINGEKUWA ZA MAANA KAMA HIZO PIKIPIKI ZINGEKUWA ZINATENGENEZWA HAPA NCHINI NDO MAANA WENYE AJIRA HIZI BADO WENGI HUISHI CHINI YA DOLLA $ 1 KWA SIKU KWA HIYO HAPO BADO HUJATATUA TATIZO.

UKIRUDI KWENYE SEKTA YA MAWASILIANO,KAMA ULIVYO FAFANUA UUZAJI WA VOCHA-KUMBUKA MAKAMPUNI YA SIMU YANAYOONGOZA NCHINI YAPO CHINI YA UMILIKI WA SEKTA BINAFSI.WEWE MWENYEWE NI SHAHIDI WAFANYAKAZI WALIO WENGI WANALIPWA KIPATO KIDOGO UKILINGANISHA NA FAIDA AMBAYO MAKAMPUNI HAYO YANAPATA.

SASA AJIRA INAYOKUFANYA UISHI BADO CHINI YA DOLLAR MOJA HIYO NI AJIRA AU KUBANGAIZA MAISHA???
 
Kwahiyo Rwakatare ndio alio ruhusu biashara ya bodaboda?
 
 
Je wajua huwezi ukakojoa wakati "gogo" likwa ona da process ya kukatwa??
 
Check ilianzwa kuandikwa na mwafrika 915AD kwa tajiri mkubwa Ghana, sio kama tunavyoaminishwa na wazungu
 
Je wajua kwamba chembechembe nyekundu za damu (erythrocytes) ambazo hutumika kusafirishia hewa safi mwilini (oxygen) ambayo inahitajika na kila chembe hai mwilini,zenyewe hazihitaji hiyo oxygen ili kuendelea kuishi..!!!
 
Je wajua?

Somalia ndiyo nchi ya kiafrika yenye coastline ndefu zaidi kuliko zote Africa ikiwa ni 3,025km ikifuatiwa na Afrika Kusini yenye 2,798km.
 
Je mwajuwa sehemu ya nje ya Jino ndo sehemu ngumu zaid kuliko zote katka mwili binadamu?
Na kwamba kila jino lina movement,yaani lina cheza mbele-nyuma,kulia-kushoto na juu - chini.
je wajua?????kuwa binadamu ana mifupa 206 kwenye mwili wake?
 
Reactions: me1
Je wajua bendera ya tanzania kirangi inatakiwa ipangwe kuanzia juu kuja chini kama ifuatavyo -
1.KIJANI
2.NJANO
3.NYEUSI
4.BULUU
bendera ya Tanzania ina rangi ngapi?mbona mpangilio wako hauko sahihi?
cheki wangu
1.kijani
2.njano
3.nyeusi
4.njano
5.bluu

hapo anzia kokote uko sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…