Jaman nimegundua dunian kuna facts and Myth nyingi ambazo zilitokea ama
kusemekana kutokea dunian ambazo mtu akizijua zinaweza kumjenga kwa namna moja ama nyingine kama sio kumburudisha...
naomna kupitia uzi huu we tupia fact ama myth au fiction ambayo unaijua iwe kwenye maswala ya afya. siasa. uchumi. mapenz. na mengineyo
shart ni kuwa ukiweka tukio ama habar yoyote iwekew na tag kama ni fact, fiction ama myth.
mi naanza ma hz hapa chini
Je wajua kuwa katika miaka ile ya 1800 wakat marekan ikiwa kwenye the great depression kulikuwa
na ukata ambao haukuwah kutokea kias kuwa kuna familia
zilidiriki kuwapiga bei watoto wao walau
apate pesa ya kula kama huyo
mama alieweka
bango la kuuza watoto wake akitoa pia na mbwa kama nyongeza
View attachment 326550
hii ni fact watu waliweza kukaa hata zaid ya mwez bila kushika note ya dola moja yaan mtu anachezea kwenye coins za sumni
asanteMlendamboga
Mi nataka kujua ile miji kama Kaanan........Kapernaum........Ninawi.......Tarshish........etc......ni miji ipi kwa sasa.........?.....
Mambo ya 'Millions ways to die in the west' hayo.Jaman nimegundua dunian kuna facts and Myth nyingi ambazo zilitokea ama
kusemekana kutokea dunian ambazo mtu akizijua zinaweza kumjenga kwa namna moja ama nyingine kama sio kumburudisha...
naomna kupitia uzi huu we tupia fact ama myth au fiction ambayo unaijua iwe kwenye maswala ya afya. siasa. uchumi. mapenz. na mengineyo
shart ni kuwa ukiweka tukio ama habar yoyote iwekew na tag kama ni fact, fiction ama myth.
mi naanza ma hz hapa chini
Je wajua kuwa katika miaka ile ya 1800 wakat marekan ikiwa kwenye the great depression kulikuwa
na ukata ambao haukuwah kutokea kias kuwa kuna familia
zilidiriki kuwapiga bei watoto wao walau
apate pesa ya kula kama huyo
mama alieweka
bango la kuuza watoto wake akitoa pia na mbwa kama nyongeza
View attachment 326550
hii ni fact watu waliweza kukaa hata zaid ya mwez bila kushika note ya dola moja yaan mtu anachezea kwenye coins za sumni
Hapana, hii ina maanisha mama wa huyu mtoto alipo kwa sasa.kwa kweli hili sikulijua.
kwani mkubwa anataka kuanzisha timu, au mikakati ya kupata mameneja wa viwanda vinavyoanzisha B/moyo akitoka madarakani, bila kusahau wabunge kwenye serikali ya 3.
Na huyu wa mwisho ilikuwaje azaliwe ikulu, viongozi bwana! Inamaana Mh: Mkapa alikuwa anampa room Mh: Kikwete.
Hivi huyu Simba ni Simba wa Madagascar au?Je wajua kuwa yule Simba maarufu anatokea akinguruma kwenye movie ambazo kampun ya filamu ya MGM imetengeneza alirekodiwa kama scene ya movie
picha ya chin inaonyesha wafanyaka wa MGM wakimrekod na kumpiga picha simba huyo kutengeneza kibwagizo hicho.. jamaa walikuwa wana moyo sana View attachment 326553
Je wajua kua namba ya pages JF zinategemea umeset ionyeshe post ngapi kwa page?mimi niko page ya 24 sababu nimeweka kila page post 50.Usigandishwe.
Hivihivi ndio freshi.
Huu uzi unatembea.
Huoni kuna post za kimiyayusho zimeshafutwa na sasa tumerudi nyuma tupo ukurasa wa 39 wakati tulikuwa ukurasa wa 59.
Na hii si mara ya kwanza kufutwa kwa baadhi ya post, ni mara ya pili hii.
Kama kusingefutwa kwa baadhi ya post, huu uzi mpaka tunavyoongea hivi sasa ungeshafika kwenye ukurasa wa mia moja na kitu hivi