tinkanyarwele
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 2,016
- 1,946
Kwakweli nimekukubari, mfn, Kagera maji yote ni barid karibia kila konaHii hapa siyo sahii.
Mkoa wenye maji mengi hapa Tanzania ni mkoa wa Pwani.
Mkoa wenye maji baridi mengi hapa Tanzania ni mkoa wa Kagera. Kabla Geita haijamegwa kutoka Geita haijamegwa kutoka Mwanza, mkoa wa Mwanza ulikuwa na maji baridi mengi kuliko mikoa yote.
Pwani inaongoza kwa kuwa na maji mengi kwa sababu ya eneo kubwa la bahari lililopo chini yake!!!
Ole wake huyo mjamzito atembelee mjini Moshi akifikiri bado yu uingereza! Atakoma!kwa mujibu wa sheria nchini uingereza ni ruksa mwanamke mjamzito kukojoa mahali popote pale atakapo
haahhaaaaJe wajua kuwa mimi sikujua wanakojoa nini!!
Ahasante Saaana Mkuu ... Saaana Saana.1.kuna nyota nyingi kuliko mchanga duniani
2.Nchi ya Lesotho watu wake wanaitwa basotho wanaongea lugha ya sesotho
3.Farasi hawezi kuhema kwa mdomo
4.wanaanga hawawezi kulia
(Cry) nje ya dunia kwa sababu ya kani za uvutano zilizopo nje ya dunia
5.Jina la nchi ya Canada limetokana na neno kanada lenye asili ya marekani linalomaanisha kijiji kikubwa
6.asilimia 1% ya matajiri wa marekani,wanamiliki 42% ya uchumi wa nchi hiyo ukilinganisha na 70% ya watu wenye kipato cha kati ambao wanamiliki 7% tu ya uchumi wa nchi hiyo
7.Saudi arabia hubeba ngamia kutoka australia
8.Pombe huua watu wengi zaidi kuliko madawa ya kulevya
9.Twiga anaweza kukaa mda mrefu zaidi bila maji kuliko ngamia
10.uzito wa wadudu wote duniani ni mkubwa kuliko uzito wa binadamu wote
11.Mende ana uwezo wa kuishi siku kumi bila ya kichwa
11.Asali inaweza kukaa miaka 70 bila kuharibika
12.Urusi ni kubwa kuliko sayari ya pluto
Hapa kuna Tatizo kidogoje wajua mshipa wa damu wa nyangumi una upana ambao binadam anaweza akatemea kwa kulala
Nimeelewa mistari ya Mwishoni.. kwamba Simen zipo kulinda Sperm zisishambuliwa na chemical kutoka kwa mwanamke ..Seminal vesicle fluid is alkaline, resulting in human semen having a mildly alkaline pH.The alkalinity of semen helps neutralize the acidity of the vaginal tract prolonging the lifespan of sperm.
Yaani Semen zina Alkaline ya kiwango cha chini ambacho husaidia shahawa kubaki bila ya athari zozote zitokanazo na Acidity iliyopo katika kuta za Uke hivyo kurefusha maisha ya shahawa.Nimeelewa mistari ya Mwishoni.. kwamba Simen zipo kulinda Sperm zisishambuliwa na chemical kutoka kwa mwanamke ..