Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

Je wajua asali inasafisha macho

Unachotakiwa kufanya nyunyiza tone moja la asali kwa kila jicho, fanya zoezi hili japo kwa wiki mara moja, au kwa mwezi mara moja ikishindikana japo kwa mwaka mara moja.

Ila ukubali vigezo na masharti ingawa siyo magumu ni hivi - inafukuta sana, lakini kwa muda mfupi tu

Kweli mkuu? Tusije tukapofuana
 
Kweli mkuu? Tusije tukapofuana
Kweli mkuu, asilimia mia moja

Ila iwe asali yenyewe sio za kuchakachua au sijui niseme za kutengeneza

Mbona asali ina faida nyingi sana katika mwili wa binaadamu, nikianza kushuka hapa patakuwa hapatoshi
 
Kweli mkuu, asilimia mia moja

Ila iwe asali yenyewe sio za kuchakachua au sijui niseme za kutengeneza

Mbona asali ina faida nyingi sana katika mwili wa binaadamu, nikianza kushuka hapa patakuwa hapatoshi

Basi ntafanya. Asaa kheri pengine itakua dawa mana macho yangu hayako fresh
 
Basi ntafanya. Asaa kheri pengine itakua dawa mana macho yangu hayako fresh
Tekeleza halafu utakuja niambia, tena kama wewe unaesumbuliwa na macho jitahidi ufanye zoezi hilo japo kila wiki mara moja

Halafu kama ni mfanyaji wa kazi za usiku nakushauri kila unapoanza usiku mkubwa matahalani kuanzia saa sita(usiku) jitahidi kupata japo gilasi moja ya maji, kila baada ya nusu saa au kila baada ya saa moja hadi kunakucha au niseme hadi muda utakaomaliza kazi zako, inasaidia sana kutosumbuliwa na macho.
 
Tekeleza halafu utakuja niambia, tena kama wewe unaesumbuliwa na macho jitahidi ufanye zoezi hilo japo kila wiki mara moja

Halafu kama ni mfanyaji wa kazi za usiku nakushauri kila unapoanza usiku mkubwa matahalani kuanzia saa sita(usiku) jitahidi kupata japo gilasi moja ya maji, kila baada ya nusu saa au kila baada ya saa moja hadi kunakucha au niseme hadi muda utakaomaliza kazi zako, inasaidia sana kutosumbuliwa na macho.

Ok thanks for sharing
 
Je wajua moyo wa nyangumi (blue whale) una ukubwa sawa na land rover?
 
Je wajua nchi 8 Latin america zimewahi kuwa na maraisi wenye asili ya kiarabu?
 
Pia mishipa yake ya damu unaweza kuogelea, na akipanua mdomo watu 100 waweza kujipanga?

Hii habari ya blue whale nimeisoma .. lakini sijaona mfanano wa habari kama hiyo ...kama unayo link tuwekee ili tusoma source yako ..
Nliposoma ,wanasema Ubongo wake ni mdogo saana .
 
Hii habari ya blue whale nimeisoma .. lakini sijaona mfanano wa habari kama hiyo ...kama unayo link tuwekee ili tusoma source yako ..
Nliposoma ,wanasema Ubongo wake ni mdogo saana .

Ndugu Mandela, mimi niliangalia zamani sana wakati David Attenborough alipokuwa anamfuatilia mnyama mkubwa duniani (blue whale) nakumbuka vizuri, au nenda kwenye Wikipedia about blue whale
 
Je wajua Maji ni tiba ya magonjwa mengi sana ikiwemo magonjwa makubwa km TB, na yanakua yananywewa kwa dozi asubuhi,kwa maelezo zaidi unaweza ku google 'Amazing water therapy'
 
Je wajua sababu ya msakata kabumbu RONALDINHO kutolewa macho au naweza sema kujulikana katika ulimwengu wa soka!

Ni pale alipokuwa akichezea timu ya vijana na timu yake ya vijana iliweza kushinda ushindi maridadi sana wa magoli 23 kwa 0 (23 - 0) na goli hizo zote 23 ziliingizwa wavuni na Ronaldinho peke yake
 
Back
Top Bottom