Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

Je wajua INDIA inashikilia nafasi ya pili kwa kuwa na watumiaji wengi wa Facebook ukiachilia mbali US ambao wanashikilia nafasi ya kwanza ulimwenguni
 
Je wajua kwamba uzito wa sisimizi wote waliopo duniani wakiwekwa pamoja ni sawa na uzito wa binadamu wote waliopo duniani?

hahahahaaah,,,,,hii dogo siikubali, nipe reference...!!
 
karibu saana Kamanda .. nimejikuta najifunza mengi saana ,na hii ni elimu tosha ya kwa kila mawana JF. .. !
HARUFU.
 
Last edited by a moderator:
Je wajua linapokuja swala la luninga ZANZIBAR waliwahi sana ukilinganisha na bara

TV zilikuwa zimetapakaa kila kona ya ZNZ hadi vijiwe vya kahawa, wacheza drafti, wacheza karata nk, wameziweka nje hata mpita njia akijisikia kuangalia taarifa ya habari, mpira na mengineyo karibu

Ukija bara zilikuwa chache tena kuangalia kwa kanda sio stesheni ya moja kwa moja mfano - TVZNZ
 
Je wajua aliyekuwa rais wa Marekani Franklin D.
Roosevelt ndiye aliyekuwa rais wa kwanza kutoa hotuba live kupitia luninga(kwa kizazi cha supra namaanisha TV)? Ilikuwa tarehe 30-4-1939.

na raisi wa pekee kuwepo ofisini Kama raisi wa marekani kwa awamu nne, na alikiwa Ni kilema, alikuwa anatembelea wheelchair...
 
Wajua kuwa mapigo ya moyo ya blue whale (nyangumi) unaweza ukayasikia maili 2 ukiwa majini?[aisee hii nimeichukua
 
Back
Top Bottom