Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

During sex, what bring about excitement to the man is the ability of the vagina to hold the penis tight
and give it that sensation at the tip. There are thousands of unseen balls in the vagina that gives it this ability of tightness.These balls
continue to burst each time a girl engages herself in sexual intercourse and the more the balls burst, the
less elastic the vagina becomes rendering it not being able to hold the penis tightly during sex.

A girl who changes guys like the way she changes her pads stands the risk loosing more balls in Her vagina.Such girls always have their vagina so loose to the extend that, guys with smaller penis are not able to satisfy them and their partners don't also enjoy them during sex making them to now play ''away matches''.

Have you ever asked yourself why most guys are fond of cheating on their partners? The truth is that they don't always get the kind of excitement they need from their partners.

A girl who tries to abstain is likely to maintain her vagina in good shape for along time and is also likely to keep her man to herself without cheating setting in.
 
Je wajua nazi ina faida nyingi sana kuanzia kifuu ambacho kinatumika kwa kuni, nazi yenyewe kwa ndani tui linatumika kwa mapishi tofauti tofauti, machicha yanatumika kwa kutengenezea mafuta(ambayo tunaita mafuta ya nazi)
 
Je wajua,kwa kawaida mkono wa kushoto wa mwanadamu ni mrefu kuliko wa kulia?
 
Je wajua ANGOLA inashika nafasi ya pili barani Afrika kwa uzalishaji wa mafuta mengi
 
Je wajua asilimia 84 ya wananchi huko Nigeria wanaishi kwa kipato cha chini ya dola mbili kwa siku
 
Je wajua kinyesi cha binadamu kinapokuwa kwenye ndoo au kopo na ikatokea kuweka kichwa chako kwenye mlango wa ndoo au kopo kuvuta pumzi kwa ndani (kunusa) - ile pumzi unayovuta inalewesha na ikitokea umetumia muda mrefu kuvuta pumzi unaweza poteza maisha
 
Je wajua gonjwa la Ebola halina chanjo wala tiba
 
Je wajua kinyesi cha binadamu kinapokuwa kwenye ndoo au kopo na ikatokea kuweka kichwa chako kwenye mlango wa ndoo au kopo kuvuta pumzi kwa ndani (kunusa) - ile pumzi unayovuta inalewesha na ikitokea umetumia muda mrefu kuvuta pumzi unaweza poteza maisha

Hahahahaaaa JF ina kila aina ya watu lol!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Je wajua Jose Mujica (Rais wa Uruguay) - ni Kiongozi asiye na makuu, pamoja na madaraka yake anamiliki trekta tatu, VW mgongo wa chura mbili(Toleo la mwaka 1987)

Na hata akiba yake benki haifikii hata dola laki nne
 
Wajua chura hanywi maji
Je wajua asali inasafisha macho

Unachotakiwa kufanya nyunyiza tone moja la asali kwa kila jicho, fanya zoezi hili japo kwa wiki mara moja, au kwa mwezi mara moja ikishindikana japo kwa mwaka mara moja.

Ila ukubali vigezo na masharti ingawa siyo magumu ni hivi - inafukuta sana, lakini kwa muda mfupi tu
 
Je wajua asali inasafisha macho

Unachotakiwa kufanya nyunyiza tone moja la asali kwa kila jicho, fanya zoezi hili japo kwa wiki mara moja, au kwa mwezi mara moja ikishindikana japo kwa mwaka mara moja.

Ila ukubali vigezo na masharti ingawa siyo magumu ni hivi - inafukuta sana, lakini kwa muda mfupi tu

Nilikuwa sijui asante
 
Back
Top Bottom