Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je wajua kinyesi cha binadamu kinapokuwa kwenye ndoo au kopo na ikatokea kuweka kichwa chako kwenye mlango wa ndoo au kopo kuvuta pumzi kwa ndani (kunusa) - ile pumzi unayovuta inalewesha na ikitokea umetumia muda mrefu kuvuta pumzi unaweza poteza maisha
wajua mbuni ana jicho kubwa kuliko ubongo
Ubongo wa binadamu au wake.
Je wajua asali inasafisha machoWajua chura hanywi maji
Je wajua asali inasafisha macho
Unachotakiwa kufanya nyunyiza tone moja la asali kwa kila jicho, fanya zoezi hili japo kwa wiki mara moja, au kwa mwezi mara moja ikishindikana japo kwa mwaka mara moja.
Ila ukubali vigezo na masharti ingawa siyo magumu ni hivi - inafukuta sana, lakini kwa muda mfupi tu
Karibu kiongozi, ndio maana nauvuta huu uzi mara kwa mara ili watu wafunguke zaidi ili tupate kujua mawili matatuNilikuwa sijui asante
Je wajua maji ya moto yanaganda haraka kuliko ya baridi