MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
You know you can fool some people for some time but not all the people for all timeMkuu Mbu wanaoambukiza magonjwa maranyingi huwa ni mbu wakike, labda ungerudi darasani kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You know you can fool some people for some time but not all the people for all timeMkuu Mbu wanaoambukiza magonjwa maranyingi huwa ni mbu wakike, labda ungerudi darasani kidogo
Acha uvivu wa kufikiri basi mkuu, inamaana pia bado haujui thread inazungumzia mbu wa jinsia gani? Na haujui Jinsia ya mbu wanaoeneza hayo magonjwa.....??? Are you serious?You know you can fool some people for some time but not all the people for all time
Kwa kuwa umeanza matusi basi ngoja nikuache na elimu uliyonayo, ila jaribu angalao Google tu utaupata ukweliAcha uvivu wa kufikiri basi mkuu, inamaana pia bado haujui thread inazungumzia mbu wa jinsia gani? Na haujui Jinsia ya mbu wanaoeneza hayo magonjwa.....??? Are you serious?
WellKwa kuwa umeanza matusi basi ngoja nikuache na elimu uliyonayo, ila jaribu angalao Google tu utaupata ukweli
[emoji23][emoji23][emoji23] tufanyeje sasa?Yaani nifah huyu jamaa mm simwelewi anatisha!
Wengine husababisha chingungunya, dengue, matende et ceteraKuna mbu wanaosababisha magonjwa mbalimbali kama vile:-
1. Malaria
2. Zika
3 . mabusha
N.k. sasa wewe unazungumzia mbu wanaosababisha ugonjwa upi?, tuanzie hapo ili tujue jinsi ya kukuelimisha kulingana na upeo wako
Mkuu STUNTER tufafanulie hapoKwahiyo ukitaka kumtambulisha mtu kwa kusema "Huyu jamaa hajaoa" unasema "Huyu jamaa ni MUHUNI?"
Huyo nyegere kwa jina atakuwa full nyege ila sio kichecheHiyo picha ya kwanza mbona kama huyo mnyama ni nyegere( honey burger) au wanafanana sana
et cetera ndio ugonjwa gani mkuu?Wenh
Wengine husababisha chingungunya, dengue, matende et cetera
raaaaaaaaaaaaDuuuh