Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukizaa na miaka 40 bado haifai kulinganisha umri kwa kutumia watoto na wakati mwingine unaweza kujikuta unaumiza hisia za mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] .Uko sahihi lakini kumbuka mie sijazaa na miaka 16 jaman
Hata ukizaa na miaka 40 bado haifai kulinganisha umri kwa kutumia watoto na wakati mwingine unaweza kujikuta unaumiza hisia za mtu
[emoji3][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Ooops..am sorry lady..thts is just a chit chat ma'!
[emoji3][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Is she serious....[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]??
OoowJe wajua kuna kaburi la vifaa anga (spacecrafts cemetery)! Eneo hili linaitwa Point Nemo ambalo lina urefu wa mita 4,000 kusinini mwa bahari ya Pacific na lipo mbali kabisa na nchi kavu kwenye pande zote za dunia. Point Nemo imezungukwa na maji pande zote kwa ukubwa wa zaidi ya Kilometa 2,250.
Cha kushangaza zaidi aliegundua eneo hilo hajawahi kufika hapo! Ilikuwa mwaka 1992 ambapo Croatian survey engineer Hrvoje Lukatela ambapo alitumia program ya computer kutafuta ni point gani iliyo mbali zaidi kutoka point nyingine za nchi kavu. Maana halisi ya Nemo ni "no man"....eneo hili limezungukwa na mawimbi makali yanayozunguka muda wote na kufanya eneo hili lisikaliwe na viumbe wa baharini kama samaki... Kiufupi hakuna maisha.
Huu Uzi kumbe una madini kiasi hikiJe wajua kuna kimondo kinaitwa Psyche, ambacho kimeundwa kwa madini ya dhahabu, chuma, nikeli na platinum... Kinakadiriwa kuwa na thamani ya $700 quantillion! Ambapo kikiletwa duniani na kugawanywa kwa idadi ya watu wote takribani billion 7, kila mtu anakuwa billionea! Kipo kati ya Mars na Jupiter na wanasayansi wanategemea kupeleka satelaiti ifikapo 2022 na kuwasili 2026. Mpaka sasa hakuna project ya kuchimba vimondo ila inatarajiwa kufika 2030 kutakuwa na kampuni ya kufanya kazi hiyo (Asteroid mining company)...
manengelo
Hahahaha naplan liwe chimbo letu... Kichwa changu walau kiwe chepesi kwa kupunguza excess stuffs[emoji23][emoji23]Huu Uzi kumbe una madini kiasi hiki
sasa hapa kila mtu atavimbaJe wajua kuna kimondo kinaitwa Psyche, ambacho kimeundwa kwa madini ya dhahabu, chuma, nikeli na platinum... Kinakadiriwa kuwa na thamani ya $700 quantillion! Ambapo kikiletwa duniani na kugawanywa kwa idadi ya watu wote takribani billion 7, kila mtu anakuwa billionea! Kipo kati ya Mars na Jupiter na wanasayansi wanategemea kupeleka satelaiti ifikapo 2022 na kuwasili 2026. Mpaka sasa hakuna project ya kuchimba vimondo ila inatarajiwa kufika 2030 kutakuwa na kampuni ya kufanya kazi hiyo (Asteroid mining company)...
manengelo
Sure mkuu.... Sema NASA wapuuzi sana wanasema project yao ya 2022 si ya kwenda kuchukua chochote huko[emoji23][emoji23]sasa hapa kila mtu atavimba