I AM NO ONE
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 389
- 576
kujianika huko mkuu unaweza shangaa unapigwa kidole cha mku *uJua linaua fangas na wadudu wengineo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kujianika huko mkuu unaweza shangaa unapigwa kidole cha mku *uJua linaua fangas na wadudu wengineo
Dah hiki ni kifo cha mende kabisaMara nyingi ukiwa mbugani unaweza kuona Simba kalala kama hivi hata zaidi ya dk 10 lengo inakuwa ni kuzipasha joto hizo sehemu za chini huko zipate ile miale ya jua na kusaidia kuondoa wale parasite ambao wanawasumbua.. View attachment 1542720
Dah dudu lote hilo lina kibamia aisee Mungu huyu!!!Mara nyingi ukiwa mbugani unaweza kuona Simba kalala kama hivi hata zaidi ya dk 10 lengo inakuwa ni kuzipasha joto hizo sehemu za chini huko zipate ile miale ya jua na kusaidia kuondoa wale parasite ambao wanawasumbua.. View attachment 1542720
Si kweli. Uzito wa nyangumi mmoja ni sawa na tembo ishirini. Ulimi wa nyangumi ambao hufikia tano tano ni sawa na uzito wa tembo moja aliyekomaa.Je wajua uzito wa tembo unalingana au umepishana kidogo sana na uzito wa mnyama nyangumi?? wajua hilo??
[emoji23][emoji23]bora awe dingi sasa..Kwahiyo niende jela kwa kosa la dingi?
Tii sheria bila shuruti muraa.[emoji23][emoji23]bora awe dingi sasa..
Kwa sabbu ya Babu!
Hii Inatakiwa.. ili ukiona dingi au babu analeta masihara hata bakora unamuweka ..asije akafanya watu waelekee jela kabla hata hawajazaliwa.Kwahiyo niende jela kwa kosa la dingi?
mitama ya Adamu mchomvu itahusika aiseeKwahiyo niende jela kwa kosa la dingi?
Hivi Manake ni nini?
KudadekiNchini korea kuna aina ya kifungo kinaitwa "THREE GENERATION " Yaani kifungo cha vizazi vitatu.
.
.
Vizazi vitatu ni kuanzia wewe hadi wajukuu zako.
.
Kwahyo Mtu aliyefanya kosa hupelekwa jela na familia yake na hukaa huko hadi kizazi cha 3 ndo wanaachiwa huru.
.
.
Chanzo cha habari hii hakijaeleza aina ya makosa yenye adhabu hiyo.
Source: BlowingFacts.org
NAWASILISHAView attachment 1544194
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii Inatakiwa.. ili ukiona dingi au babu analeta masihara hata bakora unamuweka ..asije akafanya watu waelekee jela kabla hata hawajazaliwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]kwani huko mtaani hawaoni paka wenzake
Hii tena iwe kwa makosa ya wizi wa mali ya Umma. Matumizi mabaya ya ofisi, Utekelezaji mbovu wa miradi yasirikali. Yaani tukikupa barabara ukajenga utumbo tunakufilisi wewe mpaka vitukuu, kila wakipata hela tunatimba kukwapua[emoji1241][emoji3590][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii tena iwe kwa makosa ya wizi wa mali ya Umma. Matumizi mabaya ya ofisi, Utekelezaji mbovu wa miradi yasirikali. Yaani tukikupa barabara ukajenga utumbo tunakufilisi wewe mpaka vitukuu, kila wakipata hela tunatimba kukwapua[emoji1241][emoji3590][emoji1787][emoji1787]