Je, wajua Tanzania inaongoza kwa nguvu za kijeshi Afrika Mashariki na kati?

Je, wajua Tanzania inaongoza kwa nguvu za kijeshi Afrika Mashariki na kati?

hivi kwanini waTz hatutaki kujisifu japo kidogo!!
tusipojikubali hakuna atakae tukubali
kila kitu chema cha Tanzania nyie kwenu kibaya!
sasa tuna sifa gani..?
wakati meingine mnaboa bwana!!!!
 
mkuu hujui historia ya TZ? tuliwashinda Waganda na Idd Amin Dada. tuna majeshi kulinda amani kama nilivyosema kwenye uzi, au hujausoma wote?
Inaonekana umelalia upande mmoja bila ya kuisoma historia kamili.
Kwanza Uganda hawajashindwa (kupigwa) na Tanzania pekee. Ndege za Uganda zimeangushwa na Muingereza pia alisaidia kusema wapi wapo wanajeshi wa Uganda na jwtz kwao ilikuwa rahisi kushambulia.
Pili kumbuka Idd Amini aliwafukuza wahindi na waEurope na waIsrael kwahio ndio wao waliofanikisha mpango mzima.
Tatu Tanzania haitegemewi kwa kulinda amani kwasababu hata jeshi la Uganda lipo Lebanon na Kenya lipo Somali. Jwtz linatumiwa kwasababu wazungu hawataki majeshi wao wafe bora watoe hela mpate kuuwana wenyewe kwa wenyewe.
 
Wewe umejuaje, kuna research umefanya au umewaza tu kwa akili yako. Source?
data na hoja nilizotoa ni research tosha kwani ni vitu vinavyojulikana wazi. mf. hiyo ndege ambayo tunayo sisi na SA ilionyeshwa live Taifa na chuo cha MONDULI kinapojea hadi waSOUTH AFRICA liko wazi mkuu.
 
gazeti la the east african la lmay 28 linasema tuna hhelicopteer 2, vifaru 30 na ndege 35. kenya helcopter 62, ndege 132 na vifaru 76. uganda vifaru 220, ndege 47 na helcopter 22.
ndugu tambua haya: wanaposema jeshi la Kenya na Uganda wana ndege kiasi hicho wasikutishe. kupima uwezo vita hatuangaalii idadi ya ndege tu bali ndege gani? wanaweza kutuzidi idadi ya ndege kumbe ni za kusafirisha askari wakati za kwetu ni za kurusha makombora(fighters). sisi tunaongoza kwa fighters na ndiyo maana kwenye maonyesho ya ndege vita kwa nchi zote tatu sisi tunaongoza kuonyesha ndege nyingi. fuatilia sherehe za uhuru za kila nchi. check hata GOOGLE
 
Inaonekana umelalia upande mmoja bila ya kuisoma historia kamili.
Kwanza Uganda hawajashindwa (kupigwa) na Tanzania pekee. Ndege za Uganda zimeangushwa na Muingereza pia alisaidia kusema wapi wapo wanajeshi wa Uganda na jwtz kwao ilikuwa rahisi kushambulia.
Pili kumbuka Idd Amini aliwafukuza wahindi na waEurope na waIsrael kwahio ndio wao waliofanikisha mpango mzima.
Tatu Tanzania haitegemewi kwa kulinda amani kwasababu hata jeshi la Uganda lipo Lebanon na Kenya lipo Somali. Jwtz linatumiwa kwasababu wazungu hawataki majeshi wao wafe bora watoe hela mpate kuuwana wenyewe kwa wenyewe.
nawe umelalia upande mmoja? mbona huelezi kuwa Waganda walisaidiwa na Libya? kama hofu yavwazungu ni kufa, mbona MAREKANI na ULAYA wako vitani dhidi ya ISIS. hata AFGHANISTAN na IRAQ ni wazunguvwanapigana?
 
d0d71add395566a35c480758ed87061a.jpg
 
ndugu tambua haya: wanaposema jeshi la Kenya na Uganda wana ndege kiasi hicho wasikutishe. kupima uwezo vita hatuangaalii idadi ya ndege tu bali ndege gani? wanaweza kutuzidi idadi ya ndege kumbe ni za kusafirisha askari wakati za kwetu ni za kurusha makombora(fighters). sisi tunaongoza kwa fighters na ndiyo maana kwenye maonyesho ya ndege vita kwa nchi zote tatu sisi tunaongoza kuonyesha ndege nyingi. fuatilia sherehe za uhuru za kila nchi. check hata GOOGLE
point yako nzuri. wamesema tuna fighters 14, ke 17 na ug 13. fixed wing attack aircraft tunazo 14, ke 17 na ug 13. za usafirishaji ndiyo nyingi.
 
point yako nzuri. wamesema tuna fighters 14, ke 17 na ug 13. fixed wing attack aircraft tunazo 14, ke 17 na ug 13. za usafirishaji ndiyo nyingi.
asante kwa data kaka. niongeze hii: hata fighters zinazidiana uwezo. ile iliyozinduliwa Taifa ambayo Afrika nzima tunamiliki sisi na SA inatupa uwezo wa pekee sn. pia ktk hoja ya uzi wangu nimeelezea udhaifu wa jeshi la sasa la Kenya kwa sababu ya vita yao na Al- Shabaab.
 
gazeti la the east african la lmay 28 linasema tuna hhelicopteer 2, vifaru 30 na ndege 35. kenya helcopter 62, ndege 132 na vifaru 76. uganda vifaru 220, ndege 47 na helcopter 22.
Akili za,kuambiwa changanya na zako
 
data nyingine: pima uwezo wa JWTZ kwa haya pia
1. JWTZ ndiyo iliongoza kikosi cha kuondoa wanajeshi waasi wa COMORO. Rais wao alikuja Bongo kushukuru, alikiri kuwa bila JWTZ Taifa lao lingeangamia.
2. UN imekiri JWTZ kufanya vizuri sana CONGO DRC. imewachapa waasi wanaolisumbua jeshi la Kabila kwa miaka mingi.
 
Nji iii hakuna inapoongoza maana hata kwenye ishu ya wafanyakazi hewa Uchina imetupiga bao. Kwenye elimu,kijeshi, michezo, uzalishaji Tanzanite ndo tumekuwa mdebwedo kabisa.
 
ndugu tambua haya: wanaposema jeshi la Kenya na Uganda wana ndege kiasi hicho wasikutishe. kupima uwezo vita hatuangaalii idadi ya ndege tu bali ndege gani? wanaweza kutuzidi idadi ya ndege kumbe ni za kusafirisha askari wakati za kwetu ni za kurusha makombora(fighters). sisi tunaongoza kwa fighters na ndiyo maana kwenye maonyesho ya ndege vita kwa nchi zote tatu sisi tunaongoza kuonyesha ndege nyingi. fuatilia sherehe za uhuru za kila nchi. check hata GOOGLE
Nile hiyo link au reference nikaisome mwenyewe.
 
Back
Top Bottom