MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Hapana mkuu, kwa upande wa majirani zetu pande zote wote wametupiga bao ila kwa kuwa tuko usingizini na tumefumba macho hatuwezi ona jamaa wakivyotuzidi. Ukweli tuko nyuma sanaexaggeration! tunapofanya vibaya tunasema na tulipo vzr tujivunie jamani! wapo wanaotuzidi lakini sio majirani zetu.