Je, wajua Tanzania inaongoza kwa nguvu za kijeshi Afrika Mashariki na kati?

Je, wajua Tanzania inaongoza kwa nguvu za kijeshi Afrika Mashariki na kati?

jamani tukumbushane: uzi ukitolewa tunajibishana kwa hoja na vigezo sio maneno matupu
 
Rejea mada inazungumzia nini
Nilitegemea utajibu hivi na umefanya hivyo kweli na hapa ndo nazidi kuamini kuwa hata wewe umelala tena usingizi wa pono. Lakini usijali kukicha tutaamka sote na kuona majirani walikofika na hapo ndipo tutakapoenda kwenye makaburi ya waliotufanya tulale na kuyakanya kwa hasira. Wengine watatamani kuzichapa viboko maiti zao.
 
Nilitegemea utajibu hivi na umefanya hivyo kweli na hapa ndo nazidi kuamini kuwa hata wewe umelala tena usingizi wa pono. Lakini usijali kukicha tutaamka sote na kuona majirani walikofika na hapo ndipo tutakapoenda kwenye makaburi ya waliotufanya tulale na kuyakanya kwa hasira. Wengine watatamani kuzichapa viboko maiti zao.
Penda sana kukitamka kile unachokifanya ili tuone jinsi usivyojitambua
 
mkuu hujui historia ya TZ? tuliwashinda Waganda na Idd Amin Dada. tuna majeshi kulinda amani kama nilivyosema kwenye uzi, au hujausoma wote?
Mlimshinda Dada Amini sio Uganda kama nchi.
 
basi haina haja ya kubishana kama hakuna wanajeshi
kwani kila kinachohusu jeshi lazima kijulikane wanajeshi tu? najua wao wanajua zaidi ila zipo data zinazowezekana kujulikana na wenye interest nazo
 
Mlimshinda Dada Amini sio Uganda kama nchi.
tafakari vzr. unawezaje kumtenga kiongozi wa nchi kutoka ktk nchi anayoiongoza? kwani alipoondoka yeye nchi ya UG ilitufanya nini?
 
Hatuna lolote mungu atuepushe na vita
kweli atuepushe kwakuwa pamoja na kwamba wenzetu tumewazidi, tukipigana hata sie tutapata hasara fulani. ndugu kumbuka kuandika Mungu kwa herufi kubwa
 
ni kweli huwa ni siri, lakini sio kiasi cha kushindwa kufanya ulinganifu kati ya nchi na nchi kwanu kuna vitu vinavyofahamika tu. mfano nikikwambia tuna chuo kikubwa cha kijeshi MONDULI na majirani hawana chuo kama hicho tena wadi madenti kutoka bondeni SA wamo utadema ni siri? haya siri nyingine kubwa iliwekwa hadharani uwanja wa taifa mwaka jana kwenye sherehe za uhuru ndege mpya ya kisasa ambayo Afrika nzima tunamiliki sisi na SA.tu nayo utasema ni siri?

Kiongozi naipenda sana nchi yangu naelewa uwepo wa monduli.. Hata mseveni kama sikosei Kagame mmoja wao alishapata mafunzo yakijeshi hapa kwetu.

Nimeangalia mtandaoni takwimu za mwaka jana zimepingana kabisa na ulicho Sema.
African Military Power

Naomba tusaidiiane hapo maana wanasemaga no prv no right to speak
 
Umekazana kuutetea Uzi wako bila reference yoyote...unayoandika yote unatoa akili mwako...toa reliable source of your info and not otherwise!!! Ni kama unataka uaminiwe kwa kitu ambacho ni vigumu pasipo evidence.
 
mkuu hujui historia ya TZ? tuliwashinda Waganda na Idd Amin Dada. tuna majeshi kulinda amani kama nilivyosema kwenye uzi, au hujausoma wote?

Majeshi ya kulinda amani hayaendi kupigana kule jombaa acha saund cheki
 
Kiongozi naipenda sana nchi yangu naelewa uwepo wa monduli.. Hata mseveni kama sikosei Kagame mmoja wao alishapata mafunzo yakijeshi hapa kwetu.

Nimeangalia mtandaoni takwimu za mwaka jana zimepingana kabisa na ulicho Sema.




Kiongozi naipenda sana nchi yangu naelewa uwepo wa monduli.. Hata mseveni kama sikosei Kagame mmoja wao alishapata mafunzo yakijeshi hapa kwetu.

Nimeangalia mtandaoni takwimu za mwaka jana zimepingana kabisa na ulicho Sema.
African Military Power

Naomba tusaidiiane hapo maana wanasemaga no prv no right to speak
hizo takwimu nani kasema ni reliable ziadi? hujui zaweza kutumiwa na watu kwa maslahi yao? fuatilia hoja zangu kisha ipe changamoto hoja moja baada ya nyingine. mf. nimeongelea chuo cha MONDULI na nimesema majirani tunawafunza ujeshi hapo. inawrzekanaje mwanafunzi akamzidi mwl. wake?
 
Majeshi ya kulinda amani hayaendi kupigana kule jombaa acha saund cheki
yanalinda amani kwa kuangalia tu? yako kamili na vifaa vya kisasa vya kijeshi. tunapoombwa twende ni kwa sababu ya uwezo wetu mkubwa. tumeombwa sehemu nyingi na tuna uwezo. mkuu tafakari hayo usingoje website zikuambie wakati mpaka sasa kila moja ina data zake tofauti. hiyo miwebsite inatumiwa kisiasa nyie fungukeni!
 
Back
Top Bottom