Je, wajua Tanzania inaongoza kwa nguvu za kijeshi Afrika Mashariki na kati?

Je, wajua Tanzania inaongoza kwa nguvu za kijeshi Afrika Mashariki na kati?

Uongo mwingine bwana, eti ndege za uganda tulizingutingua kwenye vita ya amini, ndege za vita za wakati wa mkoroni miaka 60's zije zitumike miaka ya 78?,huyu mleta mada hayuko series aisee, au anafikiri sisi ni VILAZA hatuwezi kung'amua uongo kama huu?
 
gazeti la the east african la lmay 28 linasema tuna hhelicopteer 2, vifaru 30 na ndege 35. kenya helcopter 62, ndege 132 na vifaru 76. uganda vifaru 220, ndege 47 na helcopter 22.





Gazeti? Gazeti!

Idadi hiyo, ni dongo hata vifaa vya kambi ya mwanza (Kigoto) haifikii, sembuse Nchi?
 
Uongo mwingine bwana, eti ndege za uganda tulizingutingua kwenye vita ya amini, ndege za vita za wakati wa mkoroni miaka 60's zije zitumike miaka ya 78?,huyu mleta mada hayuko series aisee, au anafikiri sisi ni VILAZA hatuwezi kung'amua uongo kama huu?
hiyo isikushangaze mkuu. mbona ndege za nchi nyingi za Afrika hata bongo ni za teknolojia ya zamani sana? ndege za tangu 1970's na 1980's zinatumika vzr hadi sasa. lakini pia inawezekana Waganda walinunua au walipewa nyingine baada ya uhuru. suala la kudungua ndege zao liko wazi mkuu, fuatilia historia ya vita hiyo
 
hiyo isikushangaze mkuu. mbona ndege za nchi nyingi za Afrika hata bongo ni za teknolojia ya zamani sana? ndege za tangu 1970's na 1980's zinatumika vzr hadi sasa. lakini pia inawezekana Waganda walinunua au walipewa nyingine baada ya uhuru. suala la kudungua ndege zao liko wazi mkuu, fuatilia historia ya vita hiyo
Vita vya uganda kulikuwa na Mig 21,wakati wa utawala mkoloni miaka 50 na 60 mwanzoni Mig 21 zilikuwepo?,miaka hiyo ya 50 na 60 walikuwa wanatumia ndege za propela na sio za jet engine kama Mig 21,acha kuleta ushabiki wa kibishi kama kwenye mpira kwenye mambo seriuos kama mambo ya kijeshi buana
 
Vita vya uganda kulikuwa na Mig 21,wakati wa utawala mkoloni miaka 50 na 60 mwanzoni Mig 21 zilikuwepo?,miaka hiyo ya 50 na 60 walikuwa wanatumia ndege za propela na sio za jet engine kama Mig 21,acha kuleta ushabiki wa kibishi kama kwenye mpira kwenye mambo seriuos kama mambo ya kijeshi buana
mkuu mbona hunielewi? cjasema aina gani ya ndege ya UG iliyotunguliwa ila iko wazo JWTZ ilizishsha baadhi ya ndege za UG na LIBYA. mbona unabisha utadhani hazikuwahi kudondoshwa?
 
tz inaongoza kwa nguvu za kijeshi au nguvu za giza?
sina data halisi na nguvu za giza ila najua kuwa JWTZ ni namba one EAST AND CENTRAL AFRICA. nadhani ingekuwa vizuri kuweka data au hoja inayoelekea kwenye ushahidi badala ya maneno makavu.asante
 
Sie tumefanya kazi huko vifaa vilivo vingi vinatolewa na UN nimeona kwa UNAMID( United nations african mission in Darful)

UNMIL(United nation mission in Liberia kama hujui UN hua inaomba wanachama wake wajitolee majesh kwa ajili ya Kulinda amani Kama mna vifaa na mko fiti Why hamkuenda kule Somalia kwenye Amisom (africa Union Mission in Somalia)...???
Au angalia ishu ya Central Africa UN iliomba wajeshi South africa na Rwanda wamejitolea ile misheni ya MISCA-Mission internationale de soutien à la Centrafrique sous conduite africaine.
Kwahiyo kuhusu Jeshi letu kua poa au sio Poa haipimwi kwa misheni Za Kulinda amani.
DRC kule sioni kama walienda Kupambana mana waasi wenyewe wale sijui walikua hata 1000 hawafiki af walikua n kama unapambana na majambazi mana hawako full combat pia kulikua na Jeshi la Monusco ambalo ndo lilisupply lOgistics zote kuanzia vifaa mpka mchoro.
MONUSCO wapo DRC miaka nenda rudi na mda wote huo waasi plus Kagame wamesumbua sana, hadi watz walipotia timu, kilichowakuta wanajua wenyewe, hadi Mzee mwenyewe kama sio kutonywa wanaume walikuwa wanamtilia yimu kule kule, tufanye siasa ila hawa wanaume nyie waacheni.
 
Umekazana kuutetea Uzi wako bila reference yoyote...unayoandika yote unatoa akili mwako...toa reliable source of your info and not otherwise!!! Ni kama unataka uaminiwe kwa kitu ambacho ni vigumu pasipo evidence.
[emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: B40
Kiongozi naipenda sana nchi yangu naelewa uwepo wa monduli.. Hata mseveni kama sikosei Kagame mmoja wao alishapata mafunzo yakijeshi hapa kwetu.

Nimeangalia mtandaoni takwimu za mwaka jana zimepingana kabisa na ulicho Sema.




Kiongozi naipenda sana nchi yangu naelewa uwepo wa monduli.. Hata mseveni kama sikosei Kagame mmoja wao alishapata mafunzo yakijeshi hapa kwetu.

Nimeangalia mtandaoni takwimu za mwaka jana zimepingana kabisa na ulicho Sema.
African Military Power

Naomba tusaidiiane hapo maana wanasemaga no prv no right to speak
35 Most Badass Elite Special Forces From Around The World
hapo vipi
 
Mkubwa you know nothing about jeshi la Tanzania. Kaa kimya kuficha ujinga wako.
Kwanza huwezi kusemea vita ya mwaka 1979 kuwa inatufanya tuwe na jeshi imara au ndege iliyozinduliwa uwanja wa taifa kuwa ni tz na south africa tu ndio wanazo. Uelewa wako wa mambo ya kijeshi ni mdogo sana zaidi ya sisimizi. Hatavjina la ndege hujui.
Vita ni mbinu sio vifaru unavyosema vipo vingi na magari. Nchi yeyote haiwezi kuweka hadharani silaha zake wala uwezo wake. Kumbuka kongo ni kulinda amani na sio vita. Sijui unaelewa tofauti. Japo kwa bahati mbaya wanajeshi wetu walipoteza maisha. Mungu azilaze roho zao mahali pema.
Commoro haikuwa vita, na hakuna mtu aliyekufa kwa ile kazi. Ndi vita hiyo?
Jeshi lia he lilivyo. Usiwe msemaji wake kwani hujui lolote. Weka akiba ya maneno. Utakosa cha kuongea baadaye
 
Mkubwa you know nothing about jeshi la Tanzania. Kaa kimya kuficha ujinga wako.
Kwanza huwezi kusemea vita ya mwaka 1979 kuwa inatufanya tuwe na jeshi imara au ndege iliyozinduliwa uwanja wa taifa kuwa ni tz na south africa tu ndio wanazo. Uelewa wako wa mambo ya kijeshi ni mdogo sana zaidi ya sisimizi. Hatavjina la ndege hujui.
Vita ni mbinu sio vifaru unavyosema vipo vingi na magari. Nchi yeyote haiwezi kuweka hadharani silaha zake wala uwezo wake. Kumbuka kongo ni kulinda amani na sio vita. Sijui unaelewa tofauti. Japo kwa bahati mbaya wanajeshi wetu walipoteza maisha. Mungu azilaze roho zao mahali pema.
Commoro haikuwa vita, na hakuna mtu aliyekufa kwa ile kazi. Ndi vita hiyo?
Jeshi lia he lilivyo. Usiwe msemaji wake kwani hujui lolote. Weka akiba ya maneno. Utakosa cha kuongea baadaye
asante kwa maoni yako ila tambua:
1. vita ya na IDD AMIN imetupa uzoefu. hili si jambo la kupuuzia
2. ndege iliyozinduliwa taifa kuwa ipo Bongo na SA pekee, alisema afisa mwandamizi wa jeshi cku hiyohiyo
3. vita sio tu mbinu bali na vifaa. huwezi kuwa na zana au vifaa vya kisasa halafu usiwe na mbinu
4. umesema nchi yoyote haiwezi kuweka silaha zake hadharani. nauliza: siku za uhuru JWTZ inaonyeshaga magari ya kubeba watu au ya kivita? ndege zinazorushwa cku hiyo ni ndege za fastjet na precision au ni fighters, bombers military planes?
5. huko CONGO hiyo amani wanailinda kwa fimbo au bunduki na vifaru? we ndugu umejibu bila kutafakari, tafuta hoja nyingine, JWTZ.ni namba moja EAST AND CENTRAL AFRICA
 
Back
Top Bottom