Je, wajua Tanzania inaongoza kwa nguvu za kijeshi Afrika Mashariki na kati?

Je, wajua Tanzania inaongoza kwa nguvu za kijeshi Afrika Mashariki na kati?

Sidhani hata tunauwezo waku fanya technical lay out yakivita tz hii mpk leo tuna makomando wa kuvunja matofari tuombe mungu tusivamiwe tutaaibika vby sana wananchi waoga hivi hii dna hata jwtz wanayo tuombe tusijaribiwe ......
Amen, Mungu aepushe.
 
39a6d32d2960a6d5620c38202ab53ce1.jpg


Inaitwa Sukhoi _SU_30, Hii ni Uganda! Zile Trilion 3 ambazo alionekana nazo Shimbo huko SA unaweza ukanunua hizi zaidi ya 15 kuliko kuendelea kutumia hizi takataka zinazotupigia kelele angani hapa Dar.
 
Mbona


umequote upuuzi waandishi hujui kuwa huandikwa kwa kupewa taarifa na mtoa taarifa kwa madhumuni Fulani?? Tanzania tupo juu sana nakubali ndio maana tuna majeshi congo na wamenyooka sana M26 kule.taarifa za idadi na aina huwa ni siri

=M23

Jamii Forums mobile app
 
Uganda wana Sukhoi_30 ambazo East na Central Afrika hakuna aliyenazo, kama sikosei ni wao pekee ndio wanazo hizi ndege Afrika nzima, na zipo 6. Tukiweka unazi pembeni ni kwamba, anaweza akapiga popote pale ndani ya Tanzania.
Tanzania imejikita zaidi kwenye kununua anti zake, sikutajii wapi zilipo.

Jamii Forums mobile app
 
kwenye Rank ya Dunia Kenya ipoo juu yetu we endelea kujifarijii apoo una nguvu.............Dunia ilipofikia Technology inahitajika kwa kiasi kikubwa Jeshini na sio Nguvu za kupasua tofali[emoji38][emoji38] msitulazimishe kufanya uchochezii usio na tija hahahah
 
kwenye Rank ya Dunia Kenya ipoo juu yetu we endelea kujifarijii apoo una nguvu.............Dunia ilipofikia Technology inahitajika kwa kiasi kikubwa Jeshini na sio Nguvu za kupasua tofali[emoji38][emoji38] msitulazimishe kufanya uchochezii usio na tija hahahah
Hakuna MTU anayeweza kuonesha nguvu yake kijeshi hadharani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom