logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,242
- 5,543
Hata Kenya inaamini TZ ina nguvu kubwa za kiume mashariki na kati yote Africa. Wonders shall never end [emoji2] [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiv vitan kunakuwaga na tofali pia!Sidhani hata tunauwezo waku fanya technical lay out yakivita tz hii mpk leo tuna makomando wa kuvunja matofari tuombe mungu tusivamiwe tutaaibika vby sana wananchi waoga hivi hii dna hata jwtz wanayo tuombe tusijaribiwe ......
Amen, Mungu aepushe.Sidhani hata tunauwezo waku fanya technical lay out yakivita tz hii mpk leo tuna makomando wa kuvunja matofari tuombe mungu tusivamiwe tutaaibika vby sana wananchi waoga hivi hii dna hata jwtz wanayo tuombe tusijaribiwe ......
Ha ha ha ha ha
Hahahahahaha chukua Mirinda Nyeusi Mkuu, ntalipa!Nenda chuo chochote Tanzania, ukiwa chuoni, mnasoma utasikia sisi ndio tuna Market kuliko Vyuo vingine.. Blah blah blah.
Ukimaliza, ndo utajua sasa. Pale utakapogundua hauajiriki. Kila unapoomba Kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona
umequote upuuzi waandishi hujui kuwa huandikwa kwa kupewa taarifa na mtoa taarifa kwa madhumuni Fulani?? Tanzania tupo juu sana nakubali ndio maana tuna majeshi congo na wamenyooka sana M26 kule.taarifa za idadi na aina huwa ni siri
Tanzania imejikita zaidi kwenye kununua anti zake, sikutajii wapi zilipo.Uganda wana Sukhoi_30 ambazo East na Central Afrika hakuna aliyenazo, kama sikosei ni wao pekee ndio wanazo hizi ndege Afrika nzima, na zipo 6. Tukiweka unazi pembeni ni kwamba, anaweza akapiga popote pale ndani ya Tanzania.
Hakuna MTU anayeweza kuonesha nguvu yake kijeshi hadharanikwenye Rank ya Dunia Kenya ipoo juu yetu we endelea kujifarijii apoo una nguvu.............Dunia ilipofikia Technology inahitajika kwa kiasi kikubwa Jeshini na sio Nguvu za kupasua tofali[emoji38][emoji38] msitulazimishe kufanya uchochezii usio na tija hahahah
100% sure sikupingi hata kidogoJe wajua Tanzania inaongoza kwa UNAFIKI kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati. ?
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Vizuri kwa kulitambua hilo
so mitambo yao wanatestia kwenye mahandaki au!! At this ryt moment of tym unajifichia wapii satelites zinaonyesha kila kituu mzee....acha mawazo mgando' my point is tunatakiwa kuinvest zaidi kwenye technology.......the world has changed