OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Wakuu habari,
Je wakati mfalme suleman anao wake 700 na kuwa na mademu 300, amri za mungu hazikuwepo?
Kwanini anakumbukwa kama mwana wa mungu licha ya kuwa mzinzi?
Je ni ipi tofauti kati ya mfalme suleman na king muswati ? Mwenye wake 100
Je wakati mfalme suleman anao wake 700 na kuwa na mademu 300, amri za mungu hazikuwepo?
Kwanini anakumbukwa kama mwana wa mungu licha ya kuwa mzinzi?
Je ni ipi tofauti kati ya mfalme suleman na king muswati ? Mwenye wake 100