Je wakati mfalme suleman anaoa wake 700 amri 10 za mungu hazikuwepo?

Je wakati mfalme suleman anaoa wake 700 amri 10 za mungu hazikuwepo?

Amri zote zimetungwa na wajanja. Kuwa na wanawake wengi unamfurahisha Muumba, aliwaumba wanawake ili waolewe.
 
Kwa kawaida ukila pisi mbili tu kwa siku ukiona nyingine unaona kama takataka tu.
My God!😥😥 Kikawaida maanake nini hapa tunamuongelea His majesty Seleman sio nyie mnaotembea na Bahari ya mawazo
 
Siku ile mtakapojua biblia haipo kwa ajili ya mambo ya mwilini ila ya rohoni, ndio siku mtakayofunguliwa mambo mengi na Roho Mtakatifu.

"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
 
My God!😥😥 Kikawaida maanake nini hapa tunamuongelea His majesty Seleman sio nyie mnaotembea na Bahari ya mawazo
Ww endelea na mastory yenu ya vijiwen ungekuwa mwanaume ungeelewa ukisha ejaculate pisi unaiona takataka.
 
Mimi nimeuliza swali kwa waliosoma biblia yote nahitaji kujua

Sipo interested na mijadala yako
Mkuu,

Mimi nimesoma Biblia pia, pengine vizuri kuliko hao unaowafikiria.

Mimi nyumbani kwetu kote ni kanisani, kwa baba na mama. Kote ni familia za kichungaji.

Jadili hoja, usimjadili mtu.

Amri kumi, za kwenye Biblia, hazijakataza mtu kuoa wake wengi.

Hiyo ndiyo point ambayo umeshindwa kuelewa.

Huo si mjadala wangu. Hizo ni amri kumi za kwenye Biblia.

Umeelewa hoja hiyo?
 
Alikua ni His majesty yule. Akiwa amebarikiwa vingi sana hekima, busara na kila kitu.🙂🙂 unajua alipewa zaidi ya alivyoomba. Kwanini asiweze kuwahandle hao 1000. 😥
Tuzungumze kireality ,sasa ukiomba upige kwa siku wanawake buku means yeye siku yake ni zaidi ya 24hrs? Yeye round moja anaenda kwa muda gani? Na je hao wanawake wanakuwa kwenye foleni hakuna gap ya kuoga na kwenda kwa mwanamke mwingine? Maana ukioga na movement ya kwenda au kumsubiri mwingine aje kama kwa siku anapiga buku naona sio realistic.
 
Mkuu,

Mimi nimesoma Biblia pia, pengine vizuri kuliko hao unaowafikiria.

Mimi nyumbani kwetu kote ni kanisani, kwa baba na mama. Kote ni familia za kichungaji.

Jadili hoja, usimjadili mtu.

Amri kumi, za kwenye Biblia, hazijakataza mtu kuoa wake wengi.

Hiyo ndiyo point ambayo umeshindwa kuelewa.

Huo si mjadala wangu. Hizo ni amri kumi za kwenye Biblia.

Umeelewa hoja hiyo?
Ahsante sana mkuu,

Nadhani nilichotaka kukijua ndicho ulichonijibu
 
Back
Top Bottom