Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

JE, WAKATI UMEFIKA WA MISIKITI KUGEUZWA SUNDAY-SCHOOL NA GWAJIMA?

Na, Robert Heriel

Miaka mitano nyuma, naam mwaka 2015 Gwajima alionyesha dhamira yake na ndoto yake kubwa ambayo alitanabaisha kuwa anatamani Misikiti kuwa Sunday- School za watoto wa Kikristo, pamoja na masheikh na maimamu wakikimbizana kwenda mbele ya msalaba wa Bwana Yesu. Hii ilikuwa zama zile za ambapo Mzee Lowasa naye alijikita kwenye Dhana ya Ulutheri kuwa moja ya vigezo vya yeyey kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania.

Moja ya watu waliojitokeza kumpinga Askofu Gwajima, ni pamoja na Imam Bukhary ambaye yupo pichani hapo.

Imamu Bukhary pia alieleza namna Gwajima alivyopinga uwepo wa Mahakama ya Kadhi. Lakini hili hakulitilia mkazo ukilinganisha na tamko la Gwajima linalohusu ndoto yake ya kuwabatiza Masheik nchi nzima, kisha kuigeuza misikiti kuwa Sunday- School ambapo watoto wa Kikristo watajifunzia elimu ya msingi humo.

Sasa Gwajima amepewa nafasi ya kupeperusha bendera ya CCM katika ngazi ya ubunge.

Je, Waislam watakuwa tayari kuona misikiti yao kugeuzwa Sunday-school na wataamua kumchagua Askofu Gwajima atimize adhma hiyo?

Je, Askofu Gwajima aliomba msamaha kwa yale matamko aliyoyatoa 2015, hivyo Waislam wasiwe na wasiwasi na misikiti yao kugeuzwa misikiti?

Je, Masheikh na maimamu wapo tayari kubatizwa na kujisalimisha mbele ya Msalaba wa Bwana Yesu kama Gwajima alivyoeleza 2015?

Je, Gwajima aliomba radhi kwa masheikh na maimamu kwa kauli zake kuhusu kuwapiga maji viongozi hao?

Kama Gwajima hakuomba msamaha kipindi kile ili asamehewe na Waislam, Je akiomba sasa hivi haoni kwamba ataonekana ni kwa sababu anataka kura?

Je Watanzania waishio Kawe wapo tayari kumuunga mkono Gwajima na kumchagua kuwa kiongozi wao licha ya kauli zake za kibaguzi dhidi ya waislam?

Baada ya maswali hayo.

Maoni yangu;

Binafsi Taikon nisingeweza kumchagua Gwajima hata kama ningekuwa nimechanganyikiwa, hata kama ningekuwa nimelewa kwa kunywa pombe, hata kama ningeshikiwa mtutu wa Bunduki.

Mimi ni Mkristo, lakini sipendi mtu mwenye mambo ya kibaguzi ya kidini. Taifa letu nila dini zote. Kwa bahati upande wa Baba yangu karibu wote ni Waislam. Baba yangu ni muislam, mashangazi wote ni Waislma. Kuwabagua waislam ni kubagua Baba zangu. Kuwabagua Wakristo ni kuwabagua mama zangu.

Mimi nisingemuunga Mkono Gwajima hata kama ningeambiwa ninyimwe pepo, ningekuwa tayari. Gwajima hafai kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa.

Ifahamike kuwa, Gwajima ni mtu mzima, anaelimu ya kutosha, hivyo kile akisemacho anajua atahari zake, amedhamiria kwa ndani kabisa. Yeye ni mtu mzima kile akiongeacho ndicho kinachozunguka akili yake, ndicho kilichojaza moyo wake.

Gwajima atashindwa kutimiza lengo lake kwa sababu ya mipaka ya mamlaka lakini kama akiwa na nguvu zaidi anaweza kufanya kile akitakacho.

Wana KAWE Kama walivyo Watanzania wengine hawatakubali kumchagua mtu atakayeleta upuuzi ndani ya jamii. Mtu anapoongea jambo jua anaweza kulitekeleza, akishindwa ni kutokana na kutokuwa na nguvu.

Wakristo wote wenye akili kamwe hawawezi mchagua Gwajima achilia mbali ndugu zetu Waislam, na wale wasioamini katika dini.

Kuhusu msamaha.
Tunaweza kumsamehe, lakini hatutampa uongozi na kama yeye amedhamiria asamehewe basi asijisikie vibaya sisi kutompa uongozi.

Hata hivyo CCM nao wanashangaza mno, hivi wamekosa wa kumpa tiketi yao mpaka wampe Gwajima.

Je, CCM hawajui ubaguzi alionao Gwajima?
Hawakusikia kauli zake za kugeuza misikiti kuwa sunday-school na kuwasilimisha masheikh na maimamu?
Je, wamesahau matusi yake kwa Mzee wetu wa Heshima Kadinali pengo?
Je, hawasikii skendo zake za umalaya Mpaka video za uchi? Je CCM wameamua kuuza jimbo kwa urahisi kwa HALIMA Mdee?

Je, CCM hawakusikia tuhuma za Gwajima kuhusiana na kuchochea ukabila kwa vipeperushi na audio yake akihamasisha wasukuma kuungana na kunada vikundi vya watu 2000, mpaka jeshi la polisi likamkemea na kumuonya?

Je, CCM wanafikiri watamsafisha Gwajima na watu kumuona Msafi kwa kauli zake hizo za ajabu?

Nauliza CCM wameamua kuuza Jimbo tena awamu hii?

Bora wangempa yule dogo aliyeshika namba moja kwenye kura za maoni. Lakini kwa Gwajima atapigwa mapema mno. Kabla Magari ya Mbeya hayajafika IRINGA Gwajima atakuwa ameshachezea.

Niwaombe Watanzania waishio KAWE wasimchague Gwajima, pia na majimbo mengine yenye wagombea wenye historia ya kauli za kibaguzi, iwe ubaguzi wa dini, ukabila, au ubaguzi wa namna yoyote ile.

Hii itakuwa fundisho kwa watu wa namna hii.

Kama kanisani kwake ndiko wanapenda ubaguzi apeleke huko huko.
Kama ni nyumbani kwake apeleke huko.

Asituletee mambo ya hovyo kwenye jamii yetu inayoishi kwa amani na upendo.

Kama alijichafua mwenyewe anapaswa ajisafishe, hakuna wa kumsafisha, yeye sio mtoto mdogo ili asafishwe. Angesafishwa kama angekuwa amechafuliwa. Lakini kwa mdomo wake alijichafua.

Mtu mzima haogeshwi.

HALIMA MDEE jikite kwenye sera kati ya hizi
1. Uhuru na Umoja
2. Upendo na mshikamano
3. KAWE ya watu wote
4. Sote ni ndugu n.k

Hiyo imeisha.

Katika haya Gwajima Mdomo hautakusaidia, pesa zako ni zako, jimbo nila wananchi. Kawe sio ya watu kama wewe.
Katika Hili nimejipambanua, wala sihitaji unafiki, Gwajima asiungwe Mkono, na watu wote waseme Amina.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300

 
JE, WAKATI UMEFIKA WA MISIKITI KUGEUZWA SUNDAY-SCHOOL NA GWAJIMA?

Na, Robert Heriel

Miaka mitano nyuma, naam mwaka 2015 Gwajima alionyesha dhamira yake na ndoto yake kubwa ambayo alitanabaisha kuwa anatamani Misikiti kuwa Sunday- School za watoto wa Kikristo, pamoja na masheikh na maimamu wakikimbizana kwenda mbele ya msalaba wa Bwana Yesu. Hii ilikuwa zama zile za ambapo Mzee Lowasa naye alijikita kwenye Dhana ya Ulutheri kuwa moja ya vigezo vya yeyey kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania.

Moja ya watu waliojitokeza kumpinga Askofu Gwajima, ni pamoja na Imam Bukhary ambaye yupo pichani hapo.

Imamu Bukhary pia alieleza namna Gwajima alivyopinga uwepo wa Mahakama ya Kadhi. Lakini hili hakulitilia mkazo ukilinganisha na tamko la Gwajima linalohusu ndoto yake ya kuwabatiza Masheik nchi nzima, kisha kuigeuza misikiti kuwa Sunday- School ambapo watoto wa Kikristo watajifunzia elimu ya msingi humo.

Sasa Gwajima amepewa nafasi ya kupeperusha bendera ya CCM katika ngazi ya ubunge.

Je, Waislam watakuwa tayari kuona misikiti yao kugeuzwa Sunday-school na wataamua kumchagua Askofu Gwajima atimize adhma hiyo?

Je, Askofu Gwajima aliomba msamaha kwa yale matamko aliyoyatoa 2015, hivyo Waislam wasiwe na wasiwasi na misikiti yao kugeuzwa misikiti?

Je, Masheikh na maimamu wapo tayari kubatizwa na kujisalimisha mbele ya Msalaba wa Bwana Yesu kama Gwajima alivyoeleza 2015?

Je, Gwajima aliomba radhi kwa masheikh na maimamu kwa kauli zake kuhusu kuwapiga maji viongozi hao?

Kama Gwajima hakuomba msamaha kipindi kile ili asamehewe na Waislam, Je akiomba sasa hivi haoni kwamba ataonekana ni kwa sababu anataka kura?

Je Watanzania waishio Kawe wapo tayari kumuunga mkono Gwajima na kumchagua kuwa kiongozi wao licha ya kauli zake za kibaguzi dhidi ya waislam?

Baada ya maswali hayo.

Maoni yangu;

Binafsi Taikon nisingeweza kumchagua Gwajima hata kama ningekuwa nimechanganyikiwa, hata kama ningekuwa nimelewa kwa kunywa pombe, hata kama ningeshikiwa mtutu wa Bunduki.

Mimi ni Mkristo, lakini sipendi mtu mwenye mambo ya kibaguzi ya kidini. Taifa letu nila dini zote. Kwa bahati upande wa Baba yangu karibu wote ni Waislam. Baba yangu ni muislam, mashangazi wote ni Waislma. Kuwabagua waislam ni kubagua Baba zangu. Kuwabagua Wakristo ni kuwabagua mama zangu.

Mimi nisingemuunga Mkono Gwajima hata kama ningeambiwa ninyimwe pepo, ningekuwa tayari. Gwajima hafai kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa.

Ifahamike kuwa, Gwajima ni mtu mzima, anaelimu ya kutosha, hivyo kile akisemacho anajua atahari zake, amedhamiria kwa ndani kabisa. Yeye ni mtu mzima kile akiongeacho ndicho kinachozunguka akili yake, ndicho kilichojaza moyo wake.

Gwajima atashindwa kutimiza lengo lake kwa sababu ya mipaka ya mamlaka lakini kama akiwa na nguvu zaidi anaweza kufanya kile akitakacho.

Wana KAWE Kama walivyo Watanzania wengine hawatakubali kumchagua mtu atakayeleta upuuzi ndani ya jamii. Mtu anapoongea jambo jua anaweza kulitekeleza, akishindwa ni kutokana na kutokuwa na nguvu.

Wakristo wote wenye akili kamwe hawawezi mchagua Gwajima achilia mbali ndugu zetu Waislam, na wale wasioamini katika dini.

Kuhusu msamaha.
Tunaweza kumsamehe, lakini hatutampa uongozi na kama yeye amedhamiria asamehewe basi asijisikie vibaya sisi kutompa uongozi.

Hata hivyo CCM nao wanashangaza mno, hivi wamekosa wa kumpa tiketi yao mpaka wampe Gwajima.

Je, CCM hawajui ubaguzi alionao Gwajima?
Hawakusikia kauli zake za kugeuza misikiti kuwa sunday-school na kuwasilimisha masheikh na maimamu?
Je, wamesahau matusi yake kwa Mzee wetu wa Heshima Kadinali pengo?
Je, hawasikii skendo zake za umalaya Mpaka video za uchi? Je CCM wameamua kuuza jimbo kwa urahisi kwa HALIMA Mdee?

Je, CCM hawakusikia tuhuma za Gwajima kuhusiana na kuchochea ukabila kwa vipeperushi na audio yake akihamasisha wasukuma kuungana na kunada vikundi vya watu 2000, mpaka jeshi la polisi likamkemea na kumuonya?

Je, CCM wanafikiri watamsafisha Gwajima na watu kumuona Msafi kwa kauli zake hizo za ajabu?

Nauliza CCM wameamua kuuza Jimbo tena awamu hii?

Bora wangempa yule dogo aliyeshika namba moja kwenye kura za maoni. Lakini kwa Gwajima atapigwa mapema mno. Kabla Magari ya Mbeya hayajafika IRINGA Gwajima atakuwa ameshachezea.

Niwaombe Watanzania waishio KAWE wasimchague Gwajima, pia na majimbo mengine yenye wagombea wenye historia ya kauli za kibaguzi, iwe ubaguzi wa dini, ukabila, au ubaguzi wa namna yoyote ile.

Hii itakuwa fundisho kwa watu wa namna hii.

Kama kanisani kwake ndiko wanapenda ubaguzi apeleke huko huko.
Kama ni nyumbani kwake apeleke huko.

Asituletee mambo ya hovyo kwenye jamii yetu inayoishi kwa amani na upendo.

Kama alijichafua mwenyewe anapaswa ajisafishe, hakuna wa kumsafisha, yeye sio mtoto mdogo ili asafishwe. Angesafishwa kama angekuwa amechafuliwa. Lakini kwa mdomo wake alijichafua.

Mtu mzima haogeshwi.

HALIMA MDEE jikite kwenye sera kati ya hizi
1. Uhuru na Umoja
2. Upendo na mshikamano
3. KAWE ya watu wote
4. Sote ni ndugu n.k

Hiyo imeisha.

Katika haya Gwajima Mdomo hautakusaidia, pesa zako ni zako, jimbo nila wananchi. Kawe sio ya watu kama wewe.
Katika Hili nimejipambanua, wala sihitaji unafiki, Gwajima asiungwe Mkono, na watu wote waseme Amina.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kweli kabisa huyu jamaa ni jipu
 
Ongelea Black Black live Matters mbona mnaua wakristo weusi
Kitu kizuri shirikiana na uwapendao. ata hii ya kwako ni hoja nzuri lakini sijapanga kuingelea hapa. Sasa tunashughulikia na dini ya shetani, kuwapa watu maarifa wakimbilie kwa Mungu. Mengine yatafuata.

Angalia hapa.



Mohamed aliwahi kufanya lini na wapi mambo mazito kama haya?

Hakuna Mungu kama Mungu YAHWEH. Peke yake ndiye anastahili kuabudiwa na kuheshimiwa. Yeye asiyetutoa kuwa mawindo ya shetani ambaye hahitaji kulindwa kwa mapanga na matusi.

Wanapofunguliwa wengine, naomba na hawa wa hapa jamii forum wajifunze na kukubali kwamba wanachokitetea sicho.


 
Misikiti kugeuzwa Sunday-school

Uzi unachochea chuki za kidini huu na kutaka kuigawa Tanzania yetu pendwa.
Ni uzi unaochochea au ni Gwajima ndiye aliyechochea?

Kauli zile za hovyo za Gwajima, ina maana zimeifurahisha sana KAMATI KUU YA CCM kiasi cha kuona huyo bwana anafaa kuliko woye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale walioteuliwa huko CCM naona kama Gwajima ndiye kiongozi anayeogopwa kuliko wooote kwani naona posti nyingi sasa zina muhusu.
watu wanatumia nguvu kubwa sana kutafuta udhaifu wake na wengine hata kuleta ushawishi wa KIDINI ambao hauna Afya kwa taifa.
Naomba tushabikie Vyama ila MAMBO YA DINI TUSIYAINGIZE HUKU
 
Kwa wale walioteuliwa huko CCM naona kama Gwajima ndiye kiongozi anayeogopwa kuliko wooote kwani naona posti nyingi sasa zina muhusu.
watu wanatumia nguvu kubwa sana kutafuta udhaifu wake na wengine hata kuleta ushawishi wa KIDINI ambao hauna Afya kwa taifa.
Naomba tushabikie Vyama ila MAMBO YA DINI TUSIYAINGIZE HUKU
Maadamu alitamka mwenyewe na wala hajawahi kuyakana, sisi hapa tutayajadili na kuyaweka wazi zaidi yaliyomo ndani ya moyo wake na kuona credilibilty yake
 
Yaan Hapo hakuna suala la dini wala nn
Suala ni kwamba amepitia ticket ya ccm na ccm sahv ina nguvu
Lazima apite 💪💪
 
Yeye mwenyewe ushahidi wa video na picha huuoni? Ukabila yeye , udini yeye , umadhehebu yeye , uropokaji yeye ,utapeli wa kiimani yeye ,ujasilia dini yeye , utafunaji Kondoo wake bwana yeye , uchezaji sinema za utupu yeye , aiseee
 
Sijui kama wote wanaojadiri issue ya huyu ndg Josephat kuwa ataondoa vituo vyote vya kufundishia watoto imani ya dini ya waislam wanaelewa au ni mijadara yenye lengo la kupoteza muda.

Ninavyofahamu ni kuwa mbunge hana mamlaka yoyote ya kuamua jambo lolote yeye kama yeye isipokuwa jambo hilo liwe limetoka kwa wananchi ambao mpaka mbunge amelichukua limepita ngazi zote za chini.

Kinachofuata ni mchakato wa kulipeleka ofisi au taasisi husika ili nao wao watoe maoni yao kwamba kituo/vituo vyao vinatakiwa kuondolewa kisheria na bunge linaenda kupitia hiyo ajenda.

Baadaye Rais wa jamhuri anatia saini kuweka muhuri kuzuia hizo kitu, so kama ni mawazo ya jf kwa wasio elewa itakuwa sawa ila kama ni kampeni dhidi ya gwajiboy mnafail sana, haina mashiko hiyo.

Karibuni kwa mjadara.
 
Kwa wale walioteuliwa huko CCM naona kama Gwajima ndiye kiongozi anayeogopwa kuliko wooote kwani naona posti nyingi sasa zina muhusu.
watu wanatumia nguvu kubwa sana kutafuta udhaifu wake na wengine hata kuleta ushawishi wa KIDINI ambao hauna Afya kwa taifa.
Naomba tushabikie Vyama ila MAMBO YA DINI TUSIYAINGIZE HUKU
Ukiona thread nyingi ujue ni potential, angelikua goigoi usingeliona mashambulizi kwake
 
Yeye mwenyewe ushahidi wa video na picha huuoni? Ukabila yeye , udini yeye , umadhehebu yeye , uropokaji yeye ,utapeli wa kiimani yeye ,ujasilia dini yeye , utafunaji Kondoo wake bwana yeye , uchezaji sinema za utupu yeye , aiseeeView attachment 1544908

Hapo akiwa na Mwanakondoo akilainisha vyuma.

Ila kucheki video ya mtumishi akipizi huku alibana vile vimatako kama ngumi sio poa wazeiya.
 
JE, WAKATI UMEFIKA WA MISIKITI KUGEUZWA SUNDAY-SCHOOL NA GWAJIMA?

Na, Robert Heriel

Miaka mitano nyuma, naam mwaka 2015 Gwajima alionyesha dhamira yake na ndoto yake kubwa ambayo alitanabaisha kuwa anatamani Misikiti kuwa Sunday- School za watoto wa Kikristo, pamoja na masheikh na maimamu wakikimbizana kwenda mbele ya msalaba wa Bwana Yesu. Hii ilikuwa zama zile za ambapo Mzee Lowasa naye alijikita kwenye Dhana ya Ulutheri kuwa moja ya vigezo vya yeyey kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania.

Moja ya watu waliojitokeza kumpinga Askofu Gwajima, ni pamoja na Imam Bukhary ambaye yupo pichani hapo.

Imamu Bukhary pia alieleza namna Gwajima alivyopinga uwepo wa Mahakama ya Kadhi. Lakini hili hakulitilia mkazo ukilinganisha na tamko la Gwajima linalohusu ndoto yake ya kuwabatiza Masheik nchi nzima, kisha kuigeuza misikiti kuwa Sunday- School ambapo watoto wa Kikristo watajifunzia elimu ya msingi humo.

Sasa Gwajima amepewa nafasi ya kupeperusha bendera ya CCM katika ngazi ya ubunge.

Je, Waislam watakuwa tayari kuona misikiti yao kugeuzwa Sunday-school na wataamua kumchagua Askofu Gwajima atimize adhma hiyo?

Je, Askofu Gwajima aliomba msamaha kwa yale matamko aliyoyatoa 2015, hivyo Waislam wasiwe na wasiwasi na misikiti yao kugeuzwa misikiti?

Je, Masheikh na maimamu wapo tayari kubatizwa na kujisalimisha mbele ya Msalaba wa Bwana Yesu kama Gwajima alivyoeleza 2015?

Je, Gwajima aliomba radhi kwa masheikh na maimamu kwa kauli zake kuhusu kuwapiga maji viongozi hao?

Kama Gwajima hakuomba msamaha kipindi kile ili asamehewe na Waislam, Je akiomba sasa hivi haoni kwamba ataonekana ni kwa sababu anataka kura?

Je Watanzania waishio Kawe wapo tayari kumuunga mkono Gwajima na kumchagua kuwa kiongozi wao licha ya kauli zake za kibaguzi dhidi ya waislam?

Baada ya maswali hayo.

Maoni yangu;

Binafsi Taikon nisingeweza kumchagua Gwajima hata kama ningekuwa nimechanganyikiwa, hata kama ningekuwa nimelewa kwa kunywa pombe, hata kama ningeshikiwa mtutu wa Bunduki.

Mimi ni Mkristo, lakini sipendi mtu mwenye mambo ya kibaguzi ya kidini. Taifa letu nila dini zote. Kwa bahati upande wa Baba yangu karibu wote ni Waislam. Baba yangu ni muislam, mashangazi wote ni Waislma. Kuwabagua waislam ni kubagua Baba zangu. Kuwabagua Wakristo ni kuwabagua mama zangu.

Mimi nisingemuunga Mkono Gwajima hata kama ningeambiwa ninyimwe pepo, ningekuwa tayari. Gwajima hafai kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa.

Ifahamike kuwa, Gwajima ni mtu mzima, anaelimu ya kutosha, hivyo kile akisemacho anajua atahari zake, amedhamiria kwa ndani kabisa. Yeye ni mtu mzima kile akiongeacho ndicho kinachozunguka akili yake, ndicho kilichojaza moyo wake.

Gwajima atashindwa kutimiza lengo lake kwa sababu ya mipaka ya mamlaka lakini kama akiwa na nguvu zaidi anaweza kufanya kile akitakacho.

Wana KAWE Kama walivyo Watanzania wengine hawatakubali kumchagua mtu atakayeleta upuuzi ndani ya jamii. Mtu anapoongea jambo jua anaweza kulitekeleza, akishindwa ni kutokana na kutokuwa na nguvu.

Wakristo wote wenye akili kamwe hawawezi mchagua Gwajima achilia mbali ndugu zetu Waislam, na wale wasioamini katika dini.

Kuhusu msamaha.
Tunaweza kumsamehe, lakini hatutampa uongozi na kama yeye amedhamiria asamehewe basi asijisikie vibaya sisi kutompa uongozi.

Hata hivyo CCM nao wanashangaza mno, hivi wamekosa wa kumpa tiketi yao mpaka wampe Gwajima.

Je, CCM hawajui ubaguzi alionao Gwajima?
Hawakusikia kauli zake za kugeuza misikiti kuwa sunday-school na kuwasilimisha masheikh na maimamu?
Je, wamesahau matusi yake kwa Mzee wetu wa Heshima Kadinali pengo?
Je, hawasikii skendo zake za umalaya Mpaka video za uchi? Je CCM wameamua kuuza jimbo kwa urahisi kwa HALIMA Mdee?

Je, CCM hawakusikia tuhuma za Gwajima kuhusiana na kuchochea ukabila kwa vipeperushi na audio yake akihamasisha wasukuma kuungana na kunada vikundi vya watu 2000, mpaka jeshi la polisi likamkemea na kumuonya?

Je, CCM wanafikiri watamsafisha Gwajima na watu kumuona Msafi kwa kauli zake hizo za ajabu?

Nauliza CCM wameamua kuuza Jimbo tena awamu hii?

Bora wangempa yule dogo aliyeshika namba moja kwenye kura za maoni. Lakini kwa Gwajima atapigwa mapema mno. Kabla Magari ya Mbeya hayajafika IRINGA Gwajima atakuwa ameshachezea.

Niwaombe Watanzania waishio KAWE wasimchague Gwajima, pia na majimbo mengine yenye wagombea wenye historia ya kauli za kibaguzi, iwe ubaguzi wa dini, ukabila, au ubaguzi wa namna yoyote ile.

Hii itakuwa fundisho kwa watu wa namna hii.

Kama kanisani kwake ndiko wanapenda ubaguzi apeleke huko huko.
Kama ni nyumbani kwake apeleke huko.

Asituletee mambo ya hovyo kwenye jamii yetu inayoishi kwa amani na upendo.

Kama alijichafua mwenyewe anapaswa ajisafishe, hakuna wa kumsafisha, yeye sio mtoto mdogo ili asafishwe. Angesafishwa kama angekuwa amechafuliwa. Lakini kwa mdomo wake alijichafua.

Mtu mzima haogeshwi.

HALIMA MDEE jikite kwenye sera kati ya hizi
1. Uhuru na Umoja
2. Upendo na mshikamano
3. KAWE ya watu wote
4. Sote ni ndugu n.k

Hiyo imeisha.

Katika haya Gwajima Mdomo hautakusaidia, pesa zako ni zako, jimbo nila wananchi. Kawe sio ya watu kama wewe.
Katika Hili nimejipambanua, wala sihitaji unafiki, Gwajima asiungwe Mkono, na watu wote waseme Amina.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
HIYO HEADING YAKO INAUPOTOSHAJI MKUBWA!!!
Tangia lini mbunge akawa na madaraka ya kubadilisha mfumo wa dini katika Wilaya/Nchi ya Kidemokrasia?
USIONE WATANZANIA WOTE NI MBUMBUMBU kama wewe. Usilete ushabiki wa siasa wa kuchonganisha watu kwa Imani za DINI
 
JE, WAKATI UMEFIKA WA MISIKITI KUGEUZWA SUNDAY-SCHOOL NA GWAJIMA?

Na, Robert Heriel

Miaka mitano nyuma, naam mwaka 2015 Gwajima alionyesha dhamira yake na ndoto yake kubwa ambayo alitanabaisha kuwa anatamani Misikiti kuwa Sunday- School za watoto wa Kikristo, pamoja na masheikh na maimamu wakikimbizana kwenda mbele ya msalaba wa Bwana Yesu. Hii ilikuwa zama zile za ambapo Mzee Lowasa naye alijikita kwenye Dhana ya Ulutheri kuwa moja ya vigezo vya yeyey kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania.

Moja ya watu waliojitokeza kumpinga Askofu Gwajima, ni pamoja na Imam Bukhary ambaye yupo pichani hapo.

Imamu Bukhary pia alieleza namna Gwajima alivyopinga uwepo wa Mahakama ya Kadhi. Lakini hili hakulitilia mkazo ukilinganisha na tamko la Gwajima linalohusu ndoto yake ya kuwabatiza Masheik nchi nzima, kisha kuigeuza misikiti kuwa Sunday- School ambapo watoto wa Kikristo watajifunzia elimu ya msingi humo.

Sasa Gwajima amepewa nafasi ya kupeperusha bendera ya CCM katika ngazi ya ubunge.

Je, Waislam watakuwa tayari kuona misikiti yao kugeuzwa Sunday-school na wataamua kumchagua Askofu Gwajima atimize adhma hiyo?

Je, Askofu Gwajima aliomba msamaha kwa yale matamko aliyoyatoa 2015, hivyo Waislam wasiwe na wasiwasi na misikiti yao kugeuzwa misikiti?

Je, Masheikh na maimamu wapo tayari kubatizwa na kujisalimisha mbele ya Msalaba wa Bwana Yesu kama Gwajima alivyoeleza 2015?

Je, Gwajima aliomba radhi kwa masheikh na maimamu kwa kauli zake kuhusu kuwapiga maji viongozi hao?

Kama Gwajima hakuomba msamaha kipindi kile ili asamehewe na Waislam, Je akiomba sasa hivi haoni kwamba ataonekana ni kwa sababu anataka kura?

Je Watanzania waishio Kawe wapo tayari kumuunga mkono Gwajima na kumchagua kuwa kiongozi wao licha ya kauli zake za kibaguzi dhidi ya waislam?

Baada ya maswali hayo.

Maoni yangu;

Binafsi Taikon nisingeweza kumchagua Gwajima hata kama ningekuwa nimechanganyikiwa, hata kama ningekuwa nimelewa kwa kunywa pombe, hata kama ningeshikiwa mtutu wa Bunduki.

Mimi ni Mkristo, lakini sipendi mtu mwenye mambo ya kibaguzi ya kidini. Taifa letu nila dini zote. Kwa bahati upande wa Baba yangu karibu wote ni Waislam. Baba yangu ni muislam, mashangazi wote ni Waislma. Kuwabagua waislam ni kubagua Baba zangu. Kuwabagua Wakristo ni kuwabagua mama zangu.

Mimi nisingemuunga Mkono Gwajima hata kama ningeambiwa ninyimwe pepo, ningekuwa tayari. Gwajima hafai kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa.

Ifahamike kuwa, Gwajima ni mtu mzima, anaelimu ya kutosha, hivyo kile akisemacho anajua atahari zake, amedhamiria kwa ndani kabisa. Yeye ni mtu mzima kile akiongeacho ndicho kinachozunguka akili yake, ndicho kilichojaza moyo wake.

Gwajima atashindwa kutimiza lengo lake kwa sababu ya mipaka ya mamlaka lakini kama akiwa na nguvu zaidi anaweza kufanya kile akitakacho.

Wana KAWE Kama walivyo Watanzania wengine hawatakubali kumchagua mtu atakayeleta upuuzi ndani ya jamii. Mtu anapoongea jambo jua anaweza kulitekeleza, akishindwa ni kutokana na kutokuwa na nguvu.

Wakristo wote wenye akili kamwe hawawezi mchagua Gwajima achilia mbali ndugu zetu Waislam, na wale wasioamini katika dini.

Kuhusu msamaha.
Tunaweza kumsamehe, lakini hatutampa uongozi na kama yeye amedhamiria asamehewe basi asijisikie vibaya sisi kutompa uongozi.

Hata hivyo CCM nao wanashangaza mno, hivi wamekosa wa kumpa tiketi yao mpaka wampe Gwajima.

Je, CCM hawajui ubaguzi alionao Gwajima?
Hawakusikia kauli zake za kugeuza misikiti kuwa sunday-school na kuwasilimisha masheikh na maimamu?
Je, wamesahau matusi yake kwa Mzee wetu wa Heshima Kadinali pengo?
Je, hawasikii skendo zake za umalaya Mpaka video za uchi? Je CCM wameamua kuuza jimbo kwa urahisi kwa HALIMA Mdee?

Je, CCM hawakusikia tuhuma za Gwajima kuhusiana na kuchochea ukabila kwa vipeperushi na audio yake akihamasisha wasukuma kuungana na kunada vikundi vya watu 2000, mpaka jeshi la polisi likamkemea na kumuonya?

Je, CCM wanafikiri watamsafisha Gwajima na watu kumuona Msafi kwa kauli zake hizo za ajabu?

Nauliza CCM wameamua kuuza Jimbo tena awamu hii?

Bora wangempa yule dogo aliyeshika namba moja kwenye kura za maoni. Lakini kwa Gwajima atapigwa mapema mno. Kabla Magari ya Mbeya hayajafika IRINGA Gwajima atakuwa ameshachezea.

Niwaombe Watanzania waishio KAWE wasimchague Gwajima, pia na majimbo mengine yenye wagombea wenye historia ya kauli za kibaguzi, iwe ubaguzi wa dini, ukabila, au ubaguzi wa namna yoyote ile.

Hii itakuwa fundisho kwa watu wa namna hii.

Kama kanisani kwake ndiko wanapenda ubaguzi apeleke huko huko.
Kama ni nyumbani kwake apeleke huko.

Asituletee mambo ya hovyo kwenye jamii yetu inayoishi kwa amani na upendo.

Kama alijichafua mwenyewe anapaswa ajisafishe, hakuna wa kumsafisha, yeye sio mtoto mdogo ili asafishwe. Angesafishwa kama angekuwa amechafuliwa. Lakini kwa mdomo wake alijichafua.

Mtu mzima haogeshwi.

HALIMA MDEE jikite kwenye sera kati ya hizi
1. Uhuru na Umoja
2. Upendo na mshikamano
3. KAWE ya watu wote
4. Sote ni ndugu n.k

Hiyo imeisha.

Katika haya Gwajima Mdomo hautakusaidia, pesa zako ni zako, jimbo nila wananchi. Kawe sio ya watu kama wewe.
Katika Hili nimejipambanua, wala sihitaji unafiki, Gwajima asiungwe Mkono, na watu wote waseme Amina.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300

Duh...!.
Japo siungi mkono kauli hizi za Gwajima kumtukana Pengo, ila
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa ni mimi ni kada, na mgombea aliyepitishwa na chama chetu kwa jimbo la Kawe ni Gwajima, naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Gwajima 100% kwa 100% nikalikomboe jimbo, tulirejeshe CCM!.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
 
Duh...!.
Japo siungi mkono kauli hizi za Gwajima kumtukana Pengo, ila
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa ni mimi ni kada, na mgombea aliyepitishwa na chama chetu kwa jimbo la Kawe ni Gwajima, naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Gwajima 100% kwa 100% nikalikomboe jimbo, tulirejeshe CCM!.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P


Gwajima hatapita Mkuu unapoteza muda wako.

Mkuu, ngoja uone itakavyokuwa,

Maneno ya Gwajima hayakuwa ya kisiasa, yalikuwa ya kidini, takibaguzi.

Kwenye dini adui yupo wa kudumu.

Shetani ni shetani, shetani ni adui wakudumu
Gwajima kwa kauli zake za kishetani hawezi akapita Taikon ningalipo, kama Mungu aishivyo.

Utaona, kama huniamini subiri wakati utakuaminisha
 
HIYO HEADING YAKO INAUPOTOSHAJI MKUBWA!!!
Tangia lini mbunge akawa na madaraka ya kubadilisha mfumo wa dini katika Wilaya/Nchi ya Kidemokrasia?
USIONE WATANZANIA WOTE NI MBUMBUMBU kama wewe. Usilete ushabiki wa siasa wa kuchonganisha watu kwa Imani za DINI


Yeye ndio ungemuuliza maana sio maneno yangu? Mimi nilichouliza ni suala la muda wa hiyo misikiti kugeuzwa sunday school?

Huelewi nini hapo?
 
Yeye ndio ungemuuliza maana sio maneno yangu? Mimi nilichouliza ni suala la muda wa hiyo misikiti kugeuzwa sunday school?

Huelewi nini hapo?

Post yako ina ukakasi sawa na kuwa kumbusha watu matapishi ya mtu flani; kuwa alikuwa amekula chakula gani? Think before you post!!!
"Kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest'
 
Back
Top Bottom