Wale walinzi wa kike wa Gaddafi ni makomandoo hasa...Wale mabaunsa wakatafute kazi ya ulinzi kwenye makampuni ya ulinzi hasa wale wa chama. Samia atalindwa na wanaawake wenzake. Madume ya nini hata akose raha? Ajifunze toka kwa Gadaffi kuwa wadada wanaweza. Kiutendaji na uadilifu ajifunze kwa Angela Merkel.
Amenenepa sku hz haatar[emoji23]
Hii haina filter asee[emoji848][emoji848]
😂 😂 😂 Filter ipo tu kwa Mama JanetHii haina filter asee[emoji848][emoji848]
SanaaaaaaAmenenepa sku hz haatar[emoji23]
Mpambe wa rais ni lazima awe kanali, sidhani kamaYule mpambe arudi kambini.
Samia ana mpambe wake wa Kike.
Wengine waje huku mtaani waje tujumuike kwenye kujiajiri!
SheriaTaaluma yake imebezi kwenye nini mkuu
Wale walinzi wa kike wa Gaddafi ni makomandoo hasa...
Hujui Kitu Walinzi wa Raisi ni wa Raisi na Sio Makamu so transition power inahama na Walinzi wanabaki kwenye possition zao so Wa Aliyekufa wanamfuata Mother na Wale wa Mother watamfuata atakayeteuliwa Nchimbi 😉Kweli nimeamini kufa kufaana na kwamba Mafanikio yako kwa muda fulani yasikufanye Ukawadharau wa chini yako kwani huenda nao Siku Moja wakawa juu na Wewe ukawa chini yao.
Kutesa kwa zamu na sasa ni zamu ya Walinzi Wengine waliokuwa Wakichekwa na waliokuwa Juu yao na Kutanua na Boss wao anayepanda Ngazi nao Kunenepeana kwa kula Kuku na Mibufee ya maana tu.
Binafsi nitammisi sana tu yule Bonge.
Safiii kabisaTena nimedokezwa hivi sasa anakuja na best cream ya Vijana wa CDF Mabeyo kutoka pale Sangasanga ( Kizuka ) Mkoani Morogoro ila wamepata Mafunzo ya kisasa kabisa kutoka nchi zilizoiva Kimedani na Kijasusi pia.
Pakipambazuka tutajua wakati anaapishwaMpambe wa rais ni lazima awe kanali, sidhani kama
mpambe wa mama samia anacheo hicho