Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Yale majamaa ma soldiers yenye combat sijui za nchi gani nitayamiss sana
Wale jamaa hatari sana waga wapo magogoni na silaha za moto sana nahisi ni wanajeshi pekee wanaoshika silaha kila siku
 
Acha Uwongo duniani kote huwa hakuna Mwanamke Commando na hii ni kutokana na Maumbile yao na Mfumo wao Kibaiolojia. Isipokuwa huwa wanapewa tu Matunzo ya Kiwango fulani cha Ukakamavu. Ukomando ni Habari nyingine. Mtafute Mwanajeshi yoyote au Mbobezi yoyote wa Masuala ya Kimedani ( Kijeshi ) akuambie.
Marron ballet sio watu wale mzee nawajua
 
Yule alishapewa u DC
Hajapewa U DC ( Ukuu wa Wilaya kama usemavyo ) bali amekuwa ni DSO ( Afisa Usalama wa Wilaya ) katika Mkoa Mmoja wenye Watu wanaoipenda na kuijua Hela kuliko Watanzania wengine wote. Na ana Asili ya Uzanzibari ambapo hata Kitaaluma ni Msomi mzuri tu mwenye Masters Degree yake.
 
Mi nitammisi yule jamaa mrefu mweusi ambaye mara nyingi kwenye matukio ya Rais akiwa kwenye watu wengi daima yeye huvaa miwani meusi huku akiwa anaongea na mic ya mkononi.

Afu yule mlinzi mwingine mpemba mwenye sigda, najua anaweza akabaki na Mama Samia kwakuwa wote ni wa njia moja.
Si mpemba yule mwenye sigda,yule ni ndugu yetu wa Utete Rufiji. Alhaji Mbatikele
 
Ana sifa zifuatazo:

1. Kunusa Hatari ( Machale )
2. Kujua Chakula chenye Sumu
3. Shabaha kwa umbali wowote
4. Karate Bruce Lee anasubiri
5. Ngumi za Kukudedisha kwa upesi
6. Ameiva kwa Pumzi na Mazoezi
7. Kama Chatu akishiba lazima atasinzia

Kazi kweli kweli ila ana Maadili na Msiri.
namba nne chai
 
Ana sifa zifuatazo:

1. Kunusa Hatari ( Machale )
2. Kujua Chakula chenye Sumu
3. Shabaha kwa umbali wowote
4. Karate Bruce Lee anasubiri
5. Ngumi za Kukudedisha kwa upesi
6. Ameiva kwa Pumzi na Mazoezi
7. Kama Chatu akishiba lazima atasinzia

Kazi kweli kweli ila ana Maadili na Msiri.
Mtu pekee anaeweza kumkalisha marehemu bruce lee ni mimi tu
 
Kaaeni kimya ,jeshi ni pana na ina majukumu kibao,na jeshi inaongozwa kwa sheria na utii.wanaomlinda rais anachaguliwa na wanaandaliwa kweli kweli, wako ndani ya jeshi na ni makamanda wenye ujuzi na mafunzo ya hali ya juu sana,narudia mafunzo ya hali ya juu sana na wako Smart kichwani na ni watu wa kusoma hatari na kujua na kuchukua tahadhari haraka sana.
 
Kaaeni kimya ,jeshi ni pana na ina majukumu kibao,na jeshi inaongozwa kwa sheria na utii.wanaomlinda rais anachaguliwa na wanaandaliwa kweli kweli, wako ndani ya jeshi na ni makamanda wenye ujuzi na mafunzo ya hali ya juu sana,narudia mafunzo ya hali ya juu sana na wako Smart kichwani na ni watu wa kusoma hatari na kujua na kuchukua tahadhari haraka sana.
Tofautisha walinzi wa rais na wasindikizaji wa msafara wa rais! Idara ndio inamlinda rais, ndio mana kuna muda hata uwe na kombati ya rangi gani, husogei jirani na rais.
 
Back
Top Bottom