Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Jamaa alikuwa na ulinzi mkubwa kuliko wote waliotangulia, ila kifo ndio hakina mlinzi.Yale majamaa ma soldiers yenye combat sijui za nchi gani nitayamiss sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikuwa na ulinzi mkubwa kuliko wote waliotangulia, ila kifo ndio hakina mlinzi.Yale majamaa ma soldiers yenye combat sijui za nchi gani nitayamiss sana.
Umewaza vyema.Wahamie kwa makamu wakati wana Covid 19. Huyo mama yenu akae kando na cycle ya JPM atapata covid.
Hii tabia ya kufurahia mabaya ya mwenzio haikuwepo, tuombe isirudi tena, iondoke na muasisi wake. Turudi kwenye tabia ya zamani tulioizoea.Hapa ndipo wengi tunapafurahia, "wengine waje huku mtaani tujumuike kwenye kujiajiri"
Tunatamani wengine waumie ili tufurahi, dude fanya kazi.
Nyie watu [emoji1787][emoji1787][emoji16]
Mnajua yule ni commando??
Mpambe wa rais ni lazima awe kanali, sidhani kama
mpambe wa mama samia anacheo hicho
Mbona mpambe wa raisi wa zanzibari anacheo cha luteni kanali.Mpambe wa rais ni lazima awe kanali, sidhani kama
mpambe wa mama samia anacheo hicho
Acha Uwongo duniani kote huwa hakuna Mwanamke Commando na hii ni kutokana na Maumbile yao na Mfumo wao Kibaiolojia.Wale walinzi wa kike wa Gaddafi ni makomandoo hasa.
Mara nyingi hupelekwa kuwa RSO's au DSO's au Wakuu wa Idara au hata kuwa Wakufunzi au hutupwa pia kuwa tu Wasimamizi wa Ikulu ndogo za Mikoani na hukaa huko huko tu.Hao wana udambwi dambwi wa Ikulu hawawezi kuja mtaani wanapewa special task.
Kuna mijitu humu bado inatamani wenzao waishi Kama mashetani.Unaonekana ni mtu unaetaman kila mtu aishi kwa shida hiyo ni roho ya kichawi
Kiitifaki ni Rais pekee ndiyo huwa anakuwa na Mpambe ( ADC ) huyo wa Kijeshi na Makamu wa Rais yeye hupewa Mlinzi Mwandamizi tu kutoka PSU.Mpambe wa rais ni lazima awe kanali, sidhani kama
mpambe wa mama samia anacheo hicho
Huyo Jamaa ni Muongo kweli kweli Ndugu na usishangae kuna Mizuzu yenzake imemuamini kabisa.Hakuna komandoo mwanamke duniani
Absolutely Rubbish. Kaa Kimya jifunze kwa waliokuzidi Ufahamu, Maarifa na Uzoefu Hopeless mkubwa Wewe.Hujui Kitu Walinzi wa Raisi ni wa Raisi na Sio Makamu so transition power inahama na Walinzi wanabaki kwenye possition zao so Wa Aliyekufa wanamfuata Mother na Wale wa Mother watamfuata atakayeteuliwa Nchimbi 😉
Wataendelea kuwepo katika sehemu ya Ulinzi thabiti wa Mama akiapishwa. Wanatoka katika Kikosi Maalum cha Ulinzi wa Rais na hizo ndizo Uniforms zao. Siku hizi Idara nayo inazidi Kujiboresha japo huko nyuma (zamani) haikuwa hivi.Yale majamaa ma soldiers yenye combat sijui za nchi gani nitayamiss sana
Anayewafananisha hawa Walinzi wa Rais ( kutoka Kikosi Maalum JWTZ na wenye Mafunzo thabiti ya VIP's Protection kutoka PSU chini ya TISS ) na Walinzi wa KK Security si tu atakuwa ni Mpumbavu Mwandamizi bali pia ana tatizo Kubwa sana la Akili na anatakiwa hivi sasa awe Wodini Mirembe akipokea Matibabu ya Awali.Kwa hiyo mnataka kutuaminisha Hawa Ni sawa na walinzi wa kk security?
Au mabaunsa wa baa za uswazi acheni uzwazwa wazee.
Alikuwa hasinzii zile ni mbinu tuYule bonge alikuwa mwembamba wakati anaanza na Magu.
Ila ndani ya miaka 6 tu kafutuka
Kuna siku alidakwa na kamera anasinzia
Hakujawahi kuwa na Kikosi cha Ulinzi wa Rais chenye Askari kutoka Rwanda au Kwingineko. Na hii haitakuja kutokea ila tatizo lenu Watanzania mmekuwa wepesi mno Kuaminishwa Uwongo uliojaa Upumbavu kisha mnauamini 100% na kuanza Kuueneza.Wale wanyarwanda wanarejea kwao.
Kazi waliyotumwa imeshaota mbawa.
Hatuwahitaji tena, aliyewaajiri ameshakufa.
Yule alishapewa u DCMi nitammisi yule jamaa mrefu mweusi ambaye mara nyingi kwenye matukio ya Rais akiwa kwenye watu wengi daima yeye huvaa miwani meusi huku akiwa anaongea na mic ya mkononi.
Afu yule mlinzi mwingine mpemba mwenye sigda, najua anaweza akabaki na Mama Samia kwakuwa wote ni wa njia moja.
Kwenye maigizo labda ila wabongo wengi tu wanampiga hapo Kj83Namba 4...peleka masihara yako hukoo, Bruce lee hakuwa wa kawaida...[emoji848]
Komandoo wa kike duniani ni Ladyjayee tu.Wale walinzi wa kike wa Gaddafi ni makomandoo hasa...
Mbinu ndani ya Kusinzia kwakuwa ameshindilia sana Minyama ya Bufee ya Ikulu tumboni mwake au?Alikuwa hasinzii zile ni mbinu tu