Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Leo CCM imethibisha mwenyekiti wao mpya ni Samia, Ila katibu mkuu hakuwepo na hawajasema hatma ya Bashiru.
Kuna za chini chini nilizosikia kuhusu kutokuwepo Kwake leo hapo, ila kwa sasa naomba nikae Kimya huku nikiendelea Kujiridhisha nalo. Yajayo yanafurahisha / hayafurahishi Ndugu.
 
Hawaendeshwi Kimihemko na Chuki za Kipumbavu ulizonazo ( mlizonazo ) Kwangu na bahati nzuri Kiungwana na Kiustaarabu tu nimewaomba Radhi ( Msamaha ) Wahusika Afande Wilfred Mwango na Afande Frank Kolilo na walioguswa au kupatwa na Usumbufu ( JF Members mkiwemo ) wa Taarifa yangu kupitia post yangu #352 hivyo sijajua Unawashwawashwa na nini na Mimi All - Rounder ( alias ) Brainiac.
Wala comment yangu haikukuhusu mdogo wangu wewe ndio unaweza kuwa unawashwa

Wacha nikupuuze
 
FB_IMG_1616263409059.jpg
 
Kuna tatizo lolote juu ya hilo? Halafu mbona unataka Kutulazimisha sana tukujue Wewe ni TiSS Agent wakati wapo hapa ( humu ) hadi Wakuu wako na Trainers wako kule Baharini na ID's zao nazijua lakini hawashoboki hovyo na hawana huu Ulimbukeni wa Kiushoga kama ulionao na Kutuonyesha hapa? Haya sawa tumeshakujua kuwa Wewe ni Usalama wa Taifa ( TISS Agent ) je, unasemaje? Umefurahi Mimi kukupa hii Free Promo JF na sasa wanakujua na Watakuogopa?
Kila nikisoma mwandiko wako nakufananisha na dogo mmoja anaitwa MANASE
 
Acheni ujinga nyie vijana wa sasa.
Kumbe mnamiliki simu ila vichwani mko zero zero!

Kwa taarifa yenu hao ni wajiriwa serikalini na jeshini halafu ni watu wa rank za juu sio makabwela.

Isitoshe kuna wengine wataendelea kuishi chato kwa marehemu mpaka ukomo wa ajira zao yaani kustaafu.

Mishahara na allowance zao tu ni mtaji tosha.

Mleta hoja utakuwa umetokea kwenye hiki kijumba
[emoji116]
FB_IMG_1616409856423.jpg
 
Kama walifanikiwa kufika hapo sio wajinga kama unavyofikiri kwa wadhfa huo sahau kurudi mtaani kwa dhiki labda kama wastaafu na maslahi watabakinayo.
 
Kweli nimeamini kufa kufaana na kwamba Mafanikio yako kwa muda fulani yasikufanye ukawadharau wa chini yako kwani huenda nao Siku Moja wakawa juu na Wewe ukawa chini yao.

Kutesa kwa zamu na sasa ni zamu ya Walinzi Wengine waliokuwa Wakichekwa na waliokuwa Juu yao na Kutanua na Boss wao anayepanda Ngazi nao Kunenepeana kwa kula Kuku na Mibufee ya maana tu.

Binafsi nitammisi sana tu yule Bonge.
Hiyo ishakula kwao.mama anao walinzi wa kike,isitoshe timu nzima ya walinzi akiwemo bonge watarudishwa makao makuu.ndio maana bonge alilia sana,kwa 2.kwanza kuondokewa na kipenzi cha watanzania,pili ulaji umeondoka.haya ndio maisha yetu wanadamu.sote tunapita njia tu hapa duniani.
 
Mi nitammisi yule jamaa mrefu mweusi ambaye mara nyingi kwenye matukio ya Rais akiwa kwenye watu wengi daima yeye huvaa miwani meusi huku akiwa anaongea na mic ya mkononi.

Afu yule mlinzi mwingine mpemba mwenye sigda, najua anaweza akabaki na Mama Samia kwakuwa wote ni wa njia moja.
Yule mrefu ndio alikuwa presidential unit commander(puc)...hawez kubaki na mama samia tena mara nyingi team moja umrinda raisi atakapotoka uingia timu nyingine....Hawa baada ya apa wanakuwa promoted most ov them wanaenda kuwa station security officers wa balozi nje ya nchi, wanaenda kuwa mabosi kwa maana ya appreciation, promotion na kupumzika
 
Tena nimedokezwa hivi sasa anakuja na best cream ya Vijana wa CDF Mabeyo kutoka pale Sangasanga ( Kizuka ) na Ngerengere Mkoani Morogoro ila wamepata Mafunzo ya kisasa kabisa kutoka nchi zilizoiva Kimedani na Kijasusi pia.
CDF hahusiki na kitengo cha kumlinda raisi Wala jeshi...ulinzi wa raisi upo chini ya mkurugenzi wa usalama wa taifa chini ya kitengo cha psu( presidential security unit).....
 
Yule mrefu ndio alikuwa presidential unit commander(puc)...hawez kubaki na mama samia tena mara nyingi team moja umrinda raisi atakapotoka uingia timu nyingine....Hawa baada ya apa wanakuwa promoted most ov them wanaenda kuwa station security officers wa balozi nje ya nchi, wanaenda kuwa mabosi kwa maana ya appreciation, promotion na kupumzika
Bora kupumzika tu
 
Back
Top Bottom