Mwanamke ni mtu ambaye anaishi kwa akili yake binafsi. Na hakuna mwanamke asiye chepuka katika hii Dunia. Kwenye familia huwa tunaomba tu amani iwepo hayo mengine Kuyasimamia ni ngumu sana.Ukioa utafuta kauli, kuchapiwa kunauma
Kwa sababu unamjua Mungu ndo maana una hekima hii na kuwaepuka ma ex maana ndio uongoza kwa kuvunja ndoaSitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitiaπnilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.
Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.
Anafamilia yake kwa sasa na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMunguπ
Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.
Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombiniπ
Sio kila Ex ni mβbaya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusikaπ
Kikubwa sana ni kufunga na kuomba kuitafuta Amani ya moyoni na mengine yafuate.ππ, mhhm kuna walakini,
Na hakuna mwanaume asiyechepuka fulustopuMwanamke ni mtu ambaye anaishi kwa akili yake binafsi. Na hakuna mwanamke asiye chepuka katika hii Dunia. Kwenye familia huwa tunaomba tu amani iwepo hayo mengine Kuyasimamia ni ngumu sana.
YaniπKwa sababu unamjua Mungu ndo maana una hekima hii na kuwaepuka ma ex maana ndio uongoza kwa kuvunja ndoa
Sikujua Kama jnazo, leo nime prove bhanaπHeee wewe ni lini umenifahamu ukanijua sΔ±na akili?
Uku kwa washua bhnAu upo born town, Zama maeneo ya uswazi
Kuna jibu nilitamani kukupa lakini nikakumbuka hujui kuchagua mazingira ya uongee nini ,na nani,na wapiβΊοΈSikujua Kama jnazo, leo nime prove bhanaπ
β’ Correct, imani ni zuri zaidi kuomba kile unacho taka kisitokee kwa upande wako, ingawa kuna mitihani kadhaa hata uombe namna gani, Lazima utakumbana nayo tu.Kikubwa sana ni kufunga na kuomba kuitafuta Amani ya moyoni na mengine yafuate.
Hakuna walakini ndugu huo ni uhalisia lakini huwa inatokea kwa watu wachache tu.mwanamke kwa kiasi fulani ukiwa unajimudu sio mbaya unaweza kwenda kutuliza mahali tulivuπkujipooza machungu..ππukiwa sasa ndio ulikuwa unamtegemea kwa kila kituπ€£π€£hutaki kwenye huo uzio.
Lakini pia huwa inatokea pale ulipoachana na ex wako ukampata mtu mwingine sahihi,mkali zaidi ya Ex π π anamawe zaidi ya Exπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈchaeeee.
Hofu ya Mungu ni kitu kikubwa sana na ukiwa nao kuna mambo hutoweza kufanya.Hallelujah π
ππNaam, hela kuwa nazo ni muhimu sana, Maana utakula unachokitaka, na utaogelea unapotaka ( pesa ilivunja mlima)Hakuna walakini ndugu huo ni uhalisia lakini huwa inatokea kwa watu wachache tu.mwanamke kwa kiasi fulani ukiwa unajimudu sio mbaya unaweza kwenda kutuliza mahali tulivuπkujipooza machungu..ππukiwa sasa ndio ulikuwa unamtegemea kwa kila kituπ€£π€£hutaki kwenye huo uzio
Wanaume wa design hii hawapo hapa duniani, labda [ pesa anazo ila ni pre- ejaculation au Pesa hana ila ana strong dick ].Lakini pia huwa inatokea pale ulipoachana na ex wako ukampata mtu mwingine sahihi,mkali zaidi ya Ex π π anamawe zaidi ya Exπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈchaeeee
Hallelujaj Tutaonana.......Hallelujah π
Chakorii big headππ€£π€£Kuna jibu nilitamani kukupa lakini nikakumbuka hujui kuchagua mazingira ya uongee nini ,na nani,na wapiβΊοΈ
π₯
Have a nice day
ππππHuko ni ngumu kupata watu wa kausha damu.
π€£π€£π€£kichwa chako muoneβ’ Correct, imani ni zuri zaidi kuomba kile unacho taka kisitokee kwa upande wako, ingawa kuna mitihani kadhaa hata uombe namna gani, Lazima utakumbana nayo tu.
ππNaam, hela kuwa nazo ni muhimu sana, Maana utakula unachokitaka, na utaogelea unapotaka ( pesa ilivunja mlima)
Wanaume wa design hii hawapo hapa duniani, labda [ pesa anazo ila ni pre- ejaculation au Pesa hana ila ana strong dick ].
Hallelujaj Tutaonana.......
ππππNgoja aje Chakorii π