Genio the great
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 298
- 842
Hii falsafa mkuu π kama inaiingia vilee π€¨π€¨Sitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitiaπnilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.
Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.
Anafamilia yake na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMunguπ
Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.
Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombiniπ
Sio kila Ex ni mβbaya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusikaπ
Sitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia[emoji18]nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.
Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.
Anafamilia yake na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu[emoji122]
Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.
Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini[emoji122]
Sio kila Ex ni mβbaya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika[emoji4]
Umeandika ujinga kweri kweri ππKATAA NDOA!
NDOA NI UONGO
NDOA NI UJAMBAZI
NDOA NI UHARAMIA
NDOA NI RUSHWA
NDOA NI UBEPARI
NDOA NI UKABAILA
NDOA NI UCHAWI
NDOA NI NGUVU ZA GIZA
NDOA NI USHIRIKINA
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
nitagi nipigilie misumari ya motoNaangaliaga vijana wanaosema kataa ndoa.
Unajua ndoa nipana sana unaweza Ukawa unahis hujaoa kwasb tu hujaenda kanisan Wala msikitini
Ila kiukweli ulishaoa bila kujua Kwa kutokujua kwako tafsiri ya ndoa.
Ngoja Niko naandaa Uzi wa ndoa uliojaa nyama zote ukikamilika niumwage jukwaani Ili tujue nani kaoa na Nan hajaoa hadi Sasa.
Kagua email wwππDahh, Mkuu Utasababisha watu wakiludi nyumbani kwao, waaze kupekua simu za wapenzi wao
π€π€, Tupe introduction kidogo mkuuNaangaliaga vijana wanaosema kataa ndoa.
Unajua ndoa nipana sana unaweza Ukawa unahis hujaoa kwasb tu hujaenda kanisan Wala msikitini
Ila kiukweli ulishaoa bila kujua Kwa kutokujua kwako tafsiri ya ndoa.
Ngoja Niko naandaa Uzi wa ndoa uliojaa nyama zote ukikamilika niumwage jukwaani Ili tujue nani kaoa na Nan hajaoa hadi Sasa.
Na mwendo wa kavu hatuachiππ, Sema haka kaneno GONORRHEA, Kwa sasa ndo kana trend zae..
. Mkuu, vya kale vitamu sana, kuna Ex tuligombana kitambo kidogo, ila juzi kati hapo akanipa tena. ( but ni mke wa mtu)Hata wakwako uliye au utakaye muoa atakuwa hivyo hivyo, ila kusahau kupo sasa kama mtu alikuacha akaoa mwingine namrudia vipi labda niwe mbulula
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app