Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

mkuu nipe tafsri yako, kwa sababu ukipitia quote zangu tayari nimeshatolea maelezo ya perfect

Kwa maana ninayoijua mimi ni "ukamilifu",sijaelewa unahusishaje ukamilifu na kutokuumba tena!
 

Kwanza lazima tujue tofauti kati ya "soul na spirit" soul ni sehemu tu ya human councious ila spirit ndio roho yenyewe when one has communion with God tunasema ana spiritual strenght.

Na pia binadamu anajamuishwa na vitu vitatu body, soul, and spirit.
 
Kwa maana ninayoijua mimi ni "ukamilifu",sijaelewa unahusishaje ukamilifu na kutokuumba tena!

ukamilifu wa uumbaji ni kwamba vitu vyote vilivyoumbwa vilikuwa vikamilifu kwa vigezo vyote vya kidunia na vya kimbingu. kwa hali hiyo hakuna uumbaji mwingine unless kuna kiumbe ambacho uumbaji wake haukuwa "mkamilifu".

kwa hiyo dhana ya uumbaji mwingine wa wanyama na mimea uta imply kuwa havikuubwa kwa ukamilifu katika uumbaji wa kwanza. so there will be no perfection.
 
Roho ni synonym ya uhai. Tofauti ni kuwa neno Roho limekaa kiimani zaidi na uhai limekaa kisayansi zaidi. Hivo naamini kuwa viumbe vingine vina roho kama binadaam. Ndio maana hata kwenye Bible sikumbuki kifungu gani lakini ni Mwanzo inaelezea jinsi mwanadamu alipotofautishwa na viumbe wengine kwa kuongezewa utashi baaasi. So tuna roho/uhai so as viumbe wengine.
 
Soul ni roho
Spirit ni nafsi

Usichanganye hayo mawili ...!!
 

Tunatambua uwepo wa roho kupitia imani ...!!
 
fafanua kidogo utafiti

Umezungumzia wanyama kama wana roho ama la! Wao wote wanazaliwa na wanakufa so kitendo cha kufa ndio hiyo roho imeacha mwili. Wangekua hawana roho wasingekufa kama vile hatujawahi kusikia jiwe limekufa
 
Last edited by a moderator:

Kama unazungumzia ukamilifu kwa maana ya kutokuumba tena unakosea kwasababu hadi leo Mungu anaumba

Kama unadhani ukamilifu unamaana ya "kutokuongeza" kiumbe kingine kwa maana ya kuumba kiumbe cha aina nyingine tofauti na vilivyopo unaweza k uwa sahihi labda!
 

Unaanza tena; roho ndio nini?
 
Tunatambua uwepo wa roho kupitia imani ...!!

Kwa hiyo naweza kuamini kwamba hakuna roho ?maana si ni imani pia?.Kwa nn wewe imani yako umeelekeza postively?kwa nn isiwe kinyume?Huoni kwamba unalazimisha kile unachodhani kipo kiwepo?
 
Umezungumzia wanyama kama wana roho ama la! Wao wote wanazaliwa na wanakufa so kitendo cha kufa ndio hiyo roho imeacha mwili. Wangekua hawana roho wasingekufa kama vile hatujawahi kusikia jiwe limekufa

nimekupata mkuu CC Eiyer
 
Last edited by a moderator:

thibitisha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…