Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Is this where JF is going? Naanza kupatwa na hofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Is this where JF is going? Naanza kupatwa na hofu
Is this where JF is going, naanza kupatwa na hofu
vyama vya upinzani wanasema kuwa ccm ni mafisadi lakini wao ndio mafisadi na viongozi wao. Hakuna wizi wala ufisadi uliofanywa na ccm bali ni mambo tu ya majungu ya chadema hapa jf.
Sasa tutakutana hapa na wana ccm kwa namba kubwa hapa kuanzia wakuu hapa kina kada, sam, zemarcopolo, mtarajiwa, mtu wa pwani, kubwajinga na wengine wengi hapa tumekuja kuigeuza jf kurudi kwa ccm. Hakuna nafasi tena ya udaku na habari zenu za wivu na chuki dhidi ya ccm.
tutaanza na viongozi wenu mafisadi kwa kuanzia na fisadi namba moja mbowe na kisha kuja kwa yule mdini lipumba na seif sharif. Hawa kina zitto na Slaa nao mambo yao yanatengenezwa.
Kazi sasa imeanza.
Shalom,He Tumeingiliwa!
vyama vya upinzani wanasema kuwa ccm ni mafisadi lakini wao ndio mafisadi na viongozi wao. Hakuna wizi wala ufisadi uliofanywa na ccm bali ni mambo tu ya majungu ya chadema hapa jf.
Sasa tutakutana hapa na wana ccm kwa namba kubwa hapa kuanzia wakuu hapa kina kada, sam, zemarcopolo, mtarajiwa, mtu wa pwani, kubwajinga na wengine wengi hapa tumekuja kuigeuza jf kurudi kwa ccm. Hakuna nafasi tena ya udaku na habari zenu za wivu na chuki dhidi ya ccm.
tutaanza na viongozi wenu mafisadi kwa kuanzia na fisadi namba moja mbowe na kisha kuja kwa yule mdini lipumba na seif sharif. Hawa kina zitto na Slaa nao mambo yao yanatengenezwa.
Kazi sasa imeanza.
Shalom,
Taratibu mkuu. Mimi bado sijaingiliwa!
BTW: Misimamo ya aina hii ipo na ndiyo maana halisi ya JAMII! Kama kuwa JF ni kuwa Upinzani then hata yeye mwanzisha mada ni mpinzani. Let's face it!
Swali la msingi ni kuwa wanaotoka CCM waingie upinzani, je wapinzani ndio watakaotuokoa?
naam kumbe hata wapinzani wanaojitia umakini na kuwatusi wenzao, wao mpaka viatu vimevuliwa nakuweka juu yakiti na kuchapa usingizi
Mbunge wa Chake Chake, Bibi Fatma Maghimbi (CUF) akifuatilia hoja za wabunge mbalimbali waliokuwa wakichangia mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2008/09 mjini Dodoma juzi usiku. Bajeti hiyo inatarajiwa kupitishwa leo. (Picha na Emmanuel Kwitema)