Je, Warumi alijua kwamba atakufa?

What?????
Kafariki???
My goodness sijaingia if kama mwezi ndo nashangaa
 
daah warumi jamani leo mastory ya vanesa angependezesha page hii kwa mbwembwe na bashasha! r.I.p
 
Hali kama hio ni neema maana unapata muda wa kutubu kujisafisha mbele ya muumba hatimae unaingia zako mbinguni kiulaini mkuu
hasa ukiwa unajitambua na unatambua kuwa yuko Mungu
 
Mwenye picha yake tafadhali, enzi za uhai wake alikua MWIBA kwa akina jux, idris na vijana wengine wa hovyo.
 
Sasa uzi mbona umekaa kiwaki sana? Labda niulize ni nini mantiki ya uzi wako?

Kuna asiejua kuwa atakufa?
Unajua kwanini watu huomboleza baada ya mtu kufa?

Kupitia nyuzi za Mshana jr tumehabarishwa ya kuwa baadhi ya watu tunaokutana nao sehemu mbalimbali ni majini au wana tabia za majini.
 
Mantiki yangu nimevaa viatu vyake nimeona nivikubwa kwangu imagine uchangamfu ule kumbe mtu anaumwa na anajua hatapona hebu vaa viatu vyake.
Hawezi elewa, huyo ni ukoo wa majini.
 
R.i.p Warumi binamu leo ndio nimejua kwamba he is no more. Nimeumia sana Mungu akuweke mahali pema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…