Hapo kwenye kusubiri siku ya malipo isiyojulikana zaidi ni lini napagawa.WHEN I AM FEELING ABOUT DEATH, I ASK MYSELF WHY AM I LIVING UNTIL NOW? THE MOST SOMETHING I AM FEARING IS STARTING THE LIFE OF LONELINESS UNTIL THE DAY OF JUDGEMENT
Huna akili ujue?Sijaelewa.
Matiti haya haya nyonyo?
Kwa hiyo tuache kuyabusti?
Yaanguke tu mwwwah?
Mno.Alikuwa na amshaamsha sana humu
Najua wadau mtazimiss amshaamsha zake
Ova
Ulikuwa nyuma ya muda sana!dah RIP kwake nimejua leo
Mihangaiko ya dunia inanifanya niwe mbali na JFUlikuwa nyuma ya muda sana!
What?????Binafsi namchukulia warumi Kama shujaa kwasababu nimejiuliza maswali yafuatayo.
Ugonjwa wake wa Figo sio kitu kilichokuja ghafla Kama ajali ya bodaboda ulianza polepole hatua kwa hatua mpaka ulipochukua maisha yake.
Kama ndivyo Basi alivumilia Sana mateso hasa ya kujua kwamba atakufa hatapona lakini pamoja ya mateso yote hayo hakuacha kutuburudisha kwa mastori ya town.
Lala warumi mwendo umeumaliza.
mm mwenyewe nimeshangaa hiloKichwa cha uzi na ulichoandika sasa
ebu jitahidi nawe basi maana jukwaa limekaa kihuzuni sanaInasikitisha sana
Ova
sasa si unaona umaarufu wake hapa jf ndo maana alikaa vile ili awe tofautiKwa nn alijibrand mwanamke wakati ni mwanaume
Hahahah
ebu jitahidi nawe basi maana jukwaa limekaa kihuzuni sana
hasa ukiwa unajitambua na unatambua kuwa yuko MunguHali kama hio ni neema maana unapata muda wa kutubu kujisafisha mbele ya muumba hatimae unaingia zako mbinguni kiulaini mkuu
Kwani kuna ambao hawatambui uwepo wa Mungu?hasa ukiwa unajitambua na unatambua kuwa yuko Mungu
Unajua kwanini watu huomboleza baada ya mtu kufa?Sasa uzi mbona umekaa kiwaki sana? Labda niulize ni nini mantiki ya uzi wako?
Kuna asiejua kuwa atakufa?
Hawezi elewa, huyo ni ukoo wa majini.Mantiki yangu nimevaa viatu vyake nimeona nivikubwa kwangu imagine uchangamfu ule kumbe mtu anaumwa na anajua hatapona hebu vaa viatu vyake.