Je, Watoto wanaolelewa bila vipigo hawana maadili?

Wahuni kwa maana ipi?
 

Yeah!
Na lazima ujue Saikolojia ya Mtoto
Wàpo Watoto wanashida ya kumbukumbu hivyo ni vizuri kudili nao Kwa hki
 
Kwa desturi zetu za kiafrika bila kipigo kwa mtoto au kumcharaza mke hakuna kinachoenda .

Siku moja moja una wasupprise unachapa watoto mpaka mama yao haswa. Ukitoka hapo una mwambia mama yao akuwekee maji bafuni ukaoge na ukimaliza kuoga unaenda zako huko kununua nyama unaleta wapike wale waendelee kujamba jamba.

Mkijifanya mnaleta desturi za magharibi mwanaume utajikuta unakizazi cha kushiriki mapenzi ya jinsia moja na mke mjinga na wakukutia aibu isivyo kawaida.

Nb. Ni mboko tuu kwanzia mama mpaka watoto alafu unatulia unawasikilizia
 
Hawa watoto wanaolelewa hivi ndio mwisho wazazi wakipata ajali ghafla wakafa huishia kutaabika sana na dunia
Sure wanakuja kuishi maisha ya hatari na magumu mno...Niliwahi kukutana na jamaa wakati tunasoma dingi yake alikuwa balozi nchi za SADC huko ,sijajua nini kilitokea nilikuja kukutana nae amechoka balaa,amevaa sagula sagula wakati zamani alikuwa anapiga high brands ,chini amepiga yebo yebo za buku 2 mia tano,anatembea kwa mguu kama yule mtu ambae anatafuta mishe ya kufanya yeyote apate hela ya kula.
 
Acha kabisa, mimi kuna dogo mzee wake alikuwa kaimu pale TPA miaka ya 1990s ile. Jamaa alikuwa na mawe sana yani af maza alikuwa business woman. Ogopa dogo anasoma chekechea za ada laki 6 miaka ile. Mpaka kufikia 2003 story ikaflip back. Maza alidanja late 2001 na mshua 2002 kesi ikiwa ni umeme. Kama unavyojua kilovolt za miaka ile ilikuwa ni miez 6 tu watu wanafunga hesabu.

Sahizi dogo anauza sumu ya panya mende kunguni sisimizi kiroboto. Dogo alisomaga Tugusako badae Happy skillful kabisa ila game imechange.
 
Kuna nchi duniani zimeondokana na adhabu ya kuwachapa watoto iwe shuleni au nyumbani. Yaani ukimchapa mtoto ni at your own peril. Na hii inatokana na studies mbalimbali kwamba kumpiga mtoto ni ku'induce' violence kwenye hisia zake ili na yeye akikua aweze kuwa 'violent'. Ndiyo maana watoto ukiwaacha pamoja utaona baadhi yao ni wapole, lakini wengine ni violent - wanapenda kuwapiga wenzao, kunyakua vitu vyao au kuziharibu bila sababu.

Binafsi najiepusha sana kuwapiga watoto wangu, na ikitokea nimewapiga huwa najisikia vibaya sana na hata huwa nawaambia radhi kwa kuwapiga. Kwa kifupi, I hate beating children na nikimwona mtu anayepiga au anayeshabikia kupiga watoto namdharau sana. Kutumia nguvu kunanyesha kutumia akili kidogo na kutumia akili nyingi kunionyesha kutumia nguvu kidogo. Hivyo, mtu anaweza kujipima kuona je katika malezi ya watoto, anatumia akili au nguvu?
 
Mkuu, sisi ni waafrika tena watanzania, mimi nalea vile naona ni sahihi kwangu, mambo ya wageni waje watoto waanze kumwsga vyakula kisa hawapigwi hapana kwa kweli lazima mtoto ajue mipaka yake kwake na watu wanaomzunguka au hata watu wapya kwake mtoto ukimchekea lazima akuendeshe tu mnasahau nyie ndio wahenga mkasema samaki mkunje angali mbichi?
 
Kama mnaona mboko hazifai futeni na magereza.
Swadakta ndugu... Hiki ndio mtu ambacho nawaambia Hawa wazazi wa kisasa wanaojikuta wazungu.

Kama mtoto haitaji kuchapwa au kuadhibiwa kinguvu kwa namna yoyote ile basi hakuna haja ya kuwa na vyombo vya dola kama police ambavyo vinatumia nguvu kwenye kutekeleza majukumu yao maana hata kumwelekeza mtu mtu kwa mdomo na asifanye maovu inatosha kabisa...

Na hayo magereza pia ni upotevu wa mpesa tu kwa sababu binadamu haitaji matumiz ya nguvu kumrekebisha tabia.....

Haya Hawa jamaa hoja zao zinafungua mjadala mpana sana ambao nna uhakika hawana uwezo wa kuujadili na ukafika mwisho wenye mantiki.
 

Wala sio kwamba wanapenda ni hivi kuna nguvu inawapush {hela}za mashirika ndio maana wanakaza mafuvu yao humu.
Hizo ni kampeni mkuu huanza hivi hivi badae litaenda bungeni na kuptishwa. kama wanaamini binadamu ni kuelekezwa tu bila fimbo magereza na huku nzito hadi kunyongwa za nini?
Waache tamaa za pesa
 
Ajabu sanaa hii....ila kwa Kila kinacholetwa na Hawa watu...nyuma yake kuna ajenda ambazo kwetu zitaja tugharimu tu
Lazima bila kuwa na akili zetu waafrika tutapelekwa sana. Hawa tunao amini ndo viongozi wetu na wasomi
kichwani ndo hamna kabisa.

felle gora alifungwa kisa kachapa mtoto wake na alimuibia hela nyingi kama sikosekei.
wengi wa waafrika walio zaa huko ulaya huchukua likizo ya kuja huku kukarabati tabia za watoto wao na wake zao
akija nikipigo uhakika.
 
Kinachonishangaza huyu Dkt.Gwajima na wenzake hapa wanasema zipo njia na programs mbali mbali za malezi ambazo ni Bora zaidi ya adhabu ya viboko, lakini hata hawazisemi hizo njia zenyewe.

Mimi nauliza Tena sawa tuachane na viboko, ni mbinu gani au njia gani zitumike hili kuwarudisha watoto wetu kwenye mstari pale wanapokuwa na tabia za ajabu ajabu??

Mfano kama hapa jirani Kuna katoto huwa kana tabia ya kuwatemea wageni mate na mama yake huwa anaishia kulalama tu... Sasa mtoto kama huyu ni njia ipi itumike hili kukomesha hiyo tabia yake chafu? Maana ndio anakuwa hivyo na hatujui huko ukubwani kwake atakuwaje....

Hawa wabongo a.k.a wazungu uchwara hata wanachokiiga hawakijui.
 
Kuna mwanazuoni mmoja aliwahi kuniambia kuwa hapa duniani mwafrika ni mtu ambaye ataendelea kudharuliwa na binadamu wa race zingine zote na ni haki yake kumdharauliwa..

Kwa sababu ni mtu ambaye haamini katika kufanya maamuzi kwa utashi wake mwenyewe, yeye anaamini maamuzi sahihi ni Yale ambayo ameyafanya kwa kuwaiga wengine hasa wale waliomzidi maendeleo.

Kwa kulitambua hili watu hao waliotuzidi maendeleo imekuwa ni rahisi sana kwao kupitishwa aganda zao zozote zile, maana tayari tumeshaamua kuwaamini chochote wanachokifanya wao ni sahihi na vya kwetu ni vya kipuuzi vimepitwa na wakati....

Na kwa bahati mbaya sana tunawaiga wao bila kujua kama maisha yetu hayaendani kabisa na ya kwao... Kuna mambo mengi sana wanayoifanya wao kule yanaonekana ni ya kawaida na yanawezekana kutokana na Hali zao za kiuchumi, huku Hali zetu za kiuchumi zinalimit mambo mengi sana yanayofanywa na wenzetu huko kwao.

Nakubaliana na wewe siku sio nyingi Kuna mbunge kichwa maji atapeleka muswada bungeni kwamba iwe ni marufuku mzazi kumuadhibu mtoto wake na itawekwa adhabu Kali sana kwa mzazi atakekiuka agizo Hilo la kisheria..
 
Kwa hili jibu lako tu umeonesha jinsi gani uvyaishi kwa kuiga tu tamaduni za watu na hata akili zako ni ndogo sana.... Maana umetoa jibu jepesi kwa swali ambao linahitaji tafakari ya kina

Haya na kwa mzazi ambaye Hana huo uwezo wa kufanya hiyo shopping ya mwezi mzima?? Awe anaenda dukani mwenyewe kwa kuhofia akimtuma mtoto anapoteza hela njiani akikutana na wenzie?
Nunua vitu vya jumla weka ndani acha kumtuma mtoto vitu rejaja dukani mara sukari robo, mara kiberiti kimoja, mara chumvi pakiti moja n.k
 
Wakati unampa hili pendekezo Dkt.Gwajima wa kufuta viboko mashuleni, mpe na alternativeya viboko kabisa hapa hapa na sio eti unamwambia aende akijifunze kwenye shule za watu binafsi, na vipi kama maisha wanaishi hao watoto wanasoma shule za Tibaijuka hayaendani na maisha ya watoto wengi wa kitanzania??? Je, umewaza Hilo au wewe akili yako imejikita kwenye matokeo tu unayaona kwenye hizo shule za Tibaijuka??

Nyie wabongo mnaojikuta mko civilized akili zenu ziko mbali sana na reality, yaani mnaishi kwenye Utopia.
 
Wakati unampa hili pendekezo Dkt.Gwajima wa kufuta viboko mashuleni, mpe na alternative ya hiyo njia ya viboko kabisa hapa hapa na sio eti unamwambia aende akijifunze kwenye shule za watu binafsi, na vipi kama maisha wanaishi hao watoto wanasoma shule za Tibaijuka hayaendani na maisha ya watoto wengi wa kitanzania??? Je, umewaza Hilo au wewe akili yako imejikita kwenye matokeo tu unayaona kwenye hizo shule za Tibaijuka??

Nyie wabongo mnaojikuta mko civilized akili zenu ziko mbali sana na reality, yaani mnaishi kwenye Utopia
 
Hicho unachoona wewe mateso na komwe lako Kama harage hichi nawakati umezaliwa tandale kwa tumbo jirani na mzee chilemba mwingi wa manii

Hao unaosema sema wanalea watoto wao bila kuwabomoa wanatamani kushenyeta watoto wao lakini serikali uchwara za wazungu zinasema haziruhusu na ni kosa kisheria Ila jiulize mtoto ana miaka 18 binti anakuletea mwanaume ndani unatakiwa umpongeze na umfundishe jinsi ya kunyanduana
Mtoto mvulana anakuja kukutambulisha mchumba wake ambaye naye NI jinsia ya kiume bado hutakiwi kumnyooshea hata kidole BROW KIBOKO KINALEA NA KINAKUKUZIA KIJANA VIZURI HUO UHURU UNAOSEMA WEWE ANAKOSA AKIENDA KWAKE ATAPATA UHURU NA ATAFANYA ANAVYOTAKA

NIKUPE MFANO MDOGO UKIENDA DEPO KWA AJILI YA KUJIANDA NA KUJIUNGA NA KIKOSI CHOCHOTE CHA ULINZI
WE SI UNAAKILI NA UNAJITAMBUA MBONA HAWAKWAMBII MUFANYE MAZOEZI BILA SHURUTI WALA KUSIMAMIWA KAMA NGOMBE ANAPELEKWA MALISHONI NA MIHEREDI JUU KWANINI WAKUFANYIE ET HIVO UKIPATA JIBU BAKI NALO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…