Mkuu ninao marafiki zangu huwa wanatamani sana wawe kama sisi , ndio maana nchi nyingi za ulaya na America kwa sasa wanavutiwa ki mahusiano na watu kutoka Africa sababu ni hiyo ya maadili.Siku ya kwanza kwenda shule mzazi anakuambia uwe makini wasije wakakuibia .
Hapo ukiangalia unaenda boarding school π€π€π€π maadili sisi hatuna
Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na mwishoni Mungu wa Majeshi atatunyuka.Kupiga mtu yeyote yule(hasa asie na uwezo wa kukurudishia) ni hatua ya juu kabisa ya uonevu.
Jiulize, wewe ukikosea, ni nani huwa anakupiga?
Nimeishi na waarabu hawana tabia hizo za kuchapa na watoto wao wamenyooka balaa! Wajapani nao pia hawana tabia hizo ila ndio wanaongoza duniani kuwa na discipline. Mi nadhani waafrica hatutaki kutoka nje ya box kifikra kufikiria njia mbadala za malezi isiwe lazima fimbo pekee yake. Halafu pia si waafrica muda wa kukaa na watoto wetu sometimes unakuwa ni changamoto sana nadhani hii pia inachangiaHizo nchi ambazo watoto hawachapwi zina mmonyoko mkubwa wa maadili pia ,sisi tunajiona hatuna maadili ila ukitembelea kwa wenzetu utaona bado sisi tuna maadili sanaπ
πππ aelekezwe taratibu wakati ameua!Eti wazungu wakikosea mtu hachapwi wakati huo huo kuna majimbo Marekani mpka mwaka huu bado mtu akikosa ANANYONGWAβ¦ kwanini ananyongwa sasa? Si aitwe aelekezwe taratiiibu
Hahaha inaleta maana mkuu, kuna siku tulitembelea hifadhi fulani tukaona sokwe anamchapa mwanae bakora za kutoshaππNimeishi na waarabu hawana tabia hizo za kuchapa na watoto wao wamenyooka balaa! Wajapani nao pia hawana tabia hizo ila ndio wanaongoza duniani kuwa na discipline. Mi nadhani waafrica hatutaki kutoka nje ya box kifikra kufikiria njia mbadala za malezi isiwe lazima fimbo pekee yake. Halafu pia si waafrica muda wa kukaa na watoto wetu sometimes unakuwa ni changamoto sana nadhani hii pia inachangia
SahihiMkuu viboko havisaidii chochote Ila vinaleta utulivu wa muda
ππ aiseeHahaha inaleta maana mkuu, kuna siku tulitembelea hifadhi fulani tukaona sokwe anamchapa mwanae bakora za kutoshaππ
Sasa kuambiwa tu shoga ndio ukasirike!Wenzetu hao tunaowataka kuwaiga , wao wenyewe wanatamani waishi kama sisi , kukuta toto linamwambia mzazi kwamba ni shoga kwa wenzetu ni kawaida sana ,hii mambo sioni kama kwetu ina afyaπ€
Soma vizuri mkuuSasa kuambiwa tu shoga ndio ukasirike!
Waafrika wengi kutumia akili na kufikiri nje ya box ni kama kujichosha na kupoteza mudaNimeishi na waarabu hawana tabia hizo za kuchapa na watoto wao wamenyooka balaa! Wajapani nao pia hawana tabia hizo ila ndio wanaongoza duniani kuwa na discipline. Mi nadhani waafrica hatutaki kutoka nje ya box kifikra kufikiria njia mbadala za malezi isiwe lazima fimbo pekee yake. Halafu pia si waafrica muda wa kukaa na watoto wetu sometimes unakuwa ni changamoto sana nadhani hii pia inachangia
Sisi tuko mbali sana na Sokwe, we can do better.Hahaha inaleta maana mkuu, kuna siku tulitembelea hifadhi fulani tukaona sokwe anamchapa mwanae bakora za kutoshaππ
SahihiKupiga mtu yeyote yule(hasa asie na uwezo wa kukurudishia) ni hatua ya juu kabisa ya uonevu.
Jiulize, wewe ukikosea, ni nani huwa anakupiga?
Kuna watu wanachapa hadi wake zao na hawaelewi ukiwaambia mwanamke hatakiwi kuchapwa!π€£Sisi wa africa bila kunyukwa hatuendi jamii nyingi tunazotamani kuziiga nao wana mambo yao ya ajabu , sio kitu cha ajabu watoto wakizungu kuwaambia wazazi wao wanavutiwa na mahusiano ya jinsia moja na kwao ni kawaida tu.
Mda mwingne tusipuuze desturi zetu na kuiga za watu ambazo kiundani zina madhara yake pia.
Mume wako huwa anakutandika ukirudia kufanya makosa?mimi nawakanda vizuri tu na wananyooka mbona? ukimnyima mtoto mboko tarajia kituko
Sie waafrika kukuta baba amerudi nyumbani mapema anawaita watoto wake na kuwauliza wana changamoto gani wanazopitia huwa ni nadra sana! Huwa ni mwendo wa amri na vipigo tu! Kumbe sometimes kuna changamoto watoto wanapitia zinazofanya wawe na tabia za ajabu.Waafrika wengi kutumia akili na kufikiri nje ya box ni kama kujichosha na kupoteza muda
Fimbo kwa watoto ni tabia za kijima za karne ya 17, ni jambo la hovyo sana kumchapa mtoto, wanaochapa watoto wenyewe wengine ni walevi wa kupindukia, mafisadi, wachepukaji, wakwepa kodi n.kkwa hyo unataka kuniambia viongozi wa serikali wanaoiba hela za umma hawakuchapwa udogoni? Asilimia 80 ya watanzania maadili yetu ni mabovu licha ya kuchapwa sana fimbo udogoni wengi wetu ni wezi, wachepukaji. Sio wastaarabu na tabia nyinginezo za ovyo
Mi ukiniuliza km fimbo zimetusaidia kwenye suala la maadili ntakujibu zimefeli pakubwa sababu wengi wetu zimetufanya tuwe na nidhamu ya uoga. Tunaonyesha nidhamu mbele ya wazazi ila tukiwa pekee yetu tunafanya mambo ya ajabu
kwanza hua ni mwepesi wa kujishusha pale ninapojua nimekosea sasa naanzaje kupigwaMume wako huwa anakutandika ukirudia kufanya makosa?
Mbona nchi zetu tunazochapa wototo zimejaa rushwa, uongo, ufisadi, kesi za kubambikia, ukwepaji kodi, uchepukaji, uvivu n.k?!Hizo nchi ambazo watoto hawachapwi zina mmonyoko mkubwa wa maadili pia ,sisi tunajiona hatuna maadili ila ukitembelea kwa wenzetu utaona bado sisi tuna maadili sanaπ