Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Usipokuwa makini huyo mtoto hatokuwa makini kamwe. mtoto akipoteza muulize kwa upole ilikuwaje hadi akapoteza hiyo hela?
Mtoto anakwambia alipita kwa akina fln wakaanza kucheza njiani ndo ikapotea hapo siku ya kwanza umemwambia asirudie
ya pili umemugiza kwa mangi mwendo wa dk 3 anatumia dk20 halafu unaishia tu kusema usirudie sawa mwanangu?
Toa kipigo fimbo2 zinamtosha kabisa na mwambia ukitumwa kitu nunua rudi kwanza ndo aende akacheze.
Hayo malezi yenu haya ndo watoto wetu wanaenda kukutana na watoto wenu shuleni tuna haribikiwa wote
mtoto anaibwa kila kitu huko shule mwisho wa siku nayeye anaona kumbe kuibaina ndo formula ya huku
anaiba na kufukuzwa.
MkΓ»u Kwa Sisi tuliosoma Saikolojia tunajua fimbo ni hatua ya mwisho Kabisa na ya juu Kabisa Kwa Mzazi kuitumia Kwa Mtoto.