Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Mie kamkono kwangu kepesi mno!Hapana Mama Kayumba.
Ni vile tu mtoto unamlea tangu mwanzo, mimi na mwanangu, tutacheza, tutataniana lakini kuna sura flani nikiiweka, ni heshima nyumba nzima mpaka mama yao.
Hata mama yao akikosea, onyo huwa anapewa mbele yao(sio kila kesi) na huwa anaufyata kimyaaaa
Ukikosea zaidi ni adhabu ila sio kunyanyua mkono kukupiga.
Kuna njia nyingi sana za kumuadhibu mtoto, hata mama yao pia unaeza kumuadhibu vile vile ila sio kupiga
Hiyo inawajenga watoto kuwa na heshima.