DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Je mkuu Una Elimu sahihi ya malezi (parenting Education) au unatumia mfumo wa kuwa Mimi nilichapwa na Mimi nabidi kuchapa.?sio kua mtoto anapigwa kila dakika au kila kosa, kuna kosa unaona kabisa hapa bila kumkanda huyu hatutasikilizana vizuri ili iwe wakat mwnegine akikosea ukimwambia anaelewa, ukimlea mtoto akakosea ukawa unasema tu ntakupiga ntakuchapa utanitambua huyu anakua anajua huna cha kumfanya zaidi ya maneno matupu kiboko sometimes ni kizuri.
Ni vizuri ukadeal na AKILI ya mtoto na sio mwili wake.