Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Kwa kifupi tuanze kujadili dhana ya kifo ninayoiamini "Kifo ni kuondoka taratibu kutoka Sasa Hadi zamani. Yani kutoka kuto kuwepo na kuwepo(kuzaliwa) kutoka kuwepo na kutokuwepo Tena(kufa).
Madondoo ya miongozo ninayoiamini
-Kufa ni namna nyingine ya kuishi ya binadamu
- Mtu hafi akapotea (MTU mwema hafi akapotea mpaka pale watu watakapoacha kumkumbuka.
Je nikweli MTU akifa anakuwa na nguvu uhai kubwa kuliko mtu aliye hai.
Kwa mujibu wa FALSAFA za kiafrika nguvu uhai ipo katika mioangilio huu
MUNGU
|
WAHENGA
|
MIZIMU
|
WAGANGA
|
BINADAMU
Kama mpangilio huu upo sahihi Basi watu waliokufa wanaweza kuwa na nguvu zaidi kwakuwa wapo karibu na mwenye mamlaka mweza wa yote "MUNGU"
MAMBO YA KUYATAZAMA
1. Kwa waafrika sio ajabu kusikia watu wakiomba misaada kwa mababu wao wa zamani ambao walikwisha Kufa
2. Watu walio hai wanaogopa Sana watu walio kufa Mizimu na wahenga na watu hudhani kuwa watu waliokufa huweza kuwadhuru watu walio hai hasa Kama wakiacha laana na n.k
3. Baadhi ya dini huwaomba watu waliokufa zamani wanaosadikika kuwa na matendo mema ambao huitwa watakatifu ili wawaombee kwa Nguvu uhai kubwa kuliko zote ambayo ni Mungu
Bada ya hayo je Watu waliokufa wanayo Nguvu uhai kubwa kuliko watu walio hai?
Madondoo ya miongozo ninayoiamini
-Kufa ni namna nyingine ya kuishi ya binadamu
- Mtu hafi akapotea (MTU mwema hafi akapotea mpaka pale watu watakapoacha kumkumbuka.
Je nikweli MTU akifa anakuwa na nguvu uhai kubwa kuliko mtu aliye hai.
Kwa mujibu wa FALSAFA za kiafrika nguvu uhai ipo katika mioangilio huu
MUNGU
|
WAHENGA
|
MIZIMU
|
WAGANGA
|
BINADAMU
Kama mpangilio huu upo sahihi Basi watu waliokufa wanaweza kuwa na nguvu zaidi kwakuwa wapo karibu na mwenye mamlaka mweza wa yote "MUNGU"
MAMBO YA KUYATAZAMA
1. Kwa waafrika sio ajabu kusikia watu wakiomba misaada kwa mababu wao wa zamani ambao walikwisha Kufa
2. Watu walio hai wanaogopa Sana watu walio kufa Mizimu na wahenga na watu hudhani kuwa watu waliokufa huweza kuwadhuru watu walio hai hasa Kama wakiacha laana na n.k
3. Baadhi ya dini huwaomba watu waliokufa zamani wanaosadikika kuwa na matendo mema ambao huitwa watakatifu ili wawaombee kwa Nguvu uhai kubwa kuliko zote ambayo ni Mungu
Bada ya hayo je Watu waliokufa wanayo Nguvu uhai kubwa kuliko watu walio hai?