Je, Watu waliokufa wana nguvu kuliko walio hai?

Je, Watu waliokufa wana nguvu kuliko walio hai?

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Kwa kifupi tuanze kujadili dhana ya kifo ninayoiamini "Kifo ni kuondoka taratibu kutoka Sasa Hadi zamani. Yani kutoka kuto kuwepo na kuwepo(kuzaliwa) kutoka kuwepo na kutokuwepo Tena(kufa).
Madondoo ya miongozo ninayoiamini

-Kufa ni namna nyingine ya kuishi ya binadamu
- Mtu hafi akapotea (MTU mwema hafi akapotea mpaka pale watu watakapoacha kumkumbuka.

Je nikweli MTU akifa anakuwa na nguvu uhai kubwa kuliko mtu aliye hai.
Kwa mujibu wa FALSAFA za kiafrika nguvu uhai ipo katika mioangilio huu
MUNGU
|
WAHENGA
|
MIZIMU
|
WAGANGA
|
BINADAMU

Kama mpangilio huu upo sahihi Basi watu waliokufa wanaweza kuwa na nguvu zaidi kwakuwa wapo karibu na mwenye mamlaka mweza wa yote "MUNGU"

MAMBO YA KUYATAZAMA

1. Kwa waafrika sio ajabu kusikia watu wakiomba misaada kwa mababu wao wa zamani ambao walikwisha Kufa

2. Watu walio hai wanaogopa Sana watu walio kufa Mizimu na wahenga na watu hudhani kuwa watu waliokufa huweza kuwadhuru watu walio hai hasa Kama wakiacha laana na n.k

3. Baadhi ya dini huwaomba watu waliokufa zamani wanaosadikika kuwa na matendo mema ambao huitwa watakatifu ili wawaombee kwa Nguvu uhai kubwa kuliko zote ambayo ni Mungu

Bada ya hayo je Watu waliokufa wanayo Nguvu uhai kubwa kuliko watu walio hai?
 
roho ya binadamu imekuwa captured na mwili hivyo ipo limited kwa walio na mwili, ila mwili ukifa unakuwa huru limitless power. Sasa hapa inategemea wakati ukiwa hai ulikuwa upande wa giza au nuru, kama ulikuwa nuru basi roho yako itaungana na nuru kuu ya ulimwengu, kama ulikuwa giza/muovu basi utaenda kujaza giza ulimwenguni
 
roho ya binadamu imekuwa captured na mwili hivyo ipo limited kwa walio na mwili, ila mwili ukifa unakuwa huru limitless power. Sasa hapa inategemea wakati ukiwa hai ulikuwa upande wa giza au nuru, kama ulikuwa nuru basi roho yako itaungana na nuru kuu ya ulimwengu, kama ulikuwa giza/muovu basi utaenda kujaza giza ulimwenguni
Kumbe
 
Kwa kifupi tuanze kujadili dhana ya kifo ninayoiamini "Kifo ni kuondoka taratibu kutoka Sasa Hadi zamani. Yani kutoka kuto kuwepo na kuwepo(kuzaliwa) kutoka kuwepo na kutokuwepo Tena(kufa).
Madondoo ya miongozo ninayoiamini

-Kufa ni namna nyingine ya kuishi ya binadamu
- Mtu hafi akapotea (MTU mwema hafi akapotea mpaka pale watu watakapoacha kumkumbuka.

Je nikweli MTU akifa anakuwa na nguvu uhai kubwa kuliko mtu aliye hai.
Kwa mujibu wa FALSAFA za kiafrika nguvu uhai ipo katika mioangilio huu
MUNGU
|
WAHENGA
|
MIZIMU
|
WAGANGA
|
BINADAMU

Kama mpangilio huu upo sahihi Basi watu waliokufa wanaweza kuwa na nguvu zaidi kwakuwa wapo karibu na mwenye mamlaka mweza wa yote "MUNGU"

MAMBO YA KUYATAZAMA

1. Kwa waafrika sio ajabu kusikia watu wakiomba misaada kwa mababu wao wa zamani ambao walikwisha Kufa

2. Watu walio hai wanaogopa Sana watu walio kufa Mizimu na wahenga na watu hudhani kuwa watu waliokufa huweza kuwadhuru watu walio hai hasa Kama wakiacha laana na n.k

3. Baadhi ya dini huwaomba watu waliokufa zamani wanaosadikika kuwa na matendo mema ambao huitwa watakatifu ili wawaombee kwa Nguvu uhai kubwa kuliko zote ambayo ni Mungu

Bada ya hayo je Watu waliokufa wanayo Nguvu uhai kubwa kuliko watu walio hai?


Adamu alikuwa wapi kabla Mungu hajamuumba kutokana na mavumbi?
Hakuwa popote. Hakuwa kiumbe wa roho huko mbinguni, ambaye baadaye angezaliwa akiwa mwanadamu. Hakuwa popote.

Mtu akifa, uhai wake unakoma. Kifo ni kinyume cha uhai. Kwa hiyo, mtu akifa haendelei kuishi mahali pengine, hisia na mawazo yake hupotea. Tukifa hatuwezi kuona, kusikia, wala kufikiri.
Hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima Kaburini.
Mtu akifa “mawazo yake” hupotea.
Upendo wao na chuki yao na wivu wao tayari umetoweka.
Waliokufa hawajui jambo lolote kamwe!

Roho wako! Katika makao ya roho yasiyoonekana, kuna roho wema na wabaya pia.
Roho (wabaya) si watu walioishi duniani na baadaye wakafa. Roho ni mashetani wenyewe! Mashetani wanaweza kumchunguza mtu akiwa hai; wanajua jinsi alivyokuwa akiongea, alikuwa na sura gani, alifanya mambo gani, na alijua nini. Kwa hiyo si vigumu kwao kuwaiga watu waliokufa. Mashetani ni roho walioasi, wana uwezo wa kipekee.
Hakuna mizimu bali roho wachafu katika nafasi ya wafu.
 
Adamu alikuwa wapi kabla Mungu hajamuumba kutokana na mavumbi?
Hakuwa popote. Hakuwa kiumbe wa roho huko mbinguni, ambaye baadaye angezaliwa akiwa mwanadamu. Hakuwa popote.

Mtu akifa, uhai wake unakoma. Kifo ni kinyume cha uhai. Kwa hiyo, mtu akifa haendelei kuishi mahali pengine, hisia na mawazo yake hupotea. Tukifa hatuwezi kuona, kusikia, wala kufikiri.
Hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima Kaburini.
Mtu akifa “mawazo yake” hupotea.
Upendo wao na chuki yao na wivu wao tayari umetoweka.
Waliokufa hawajui jambo lolote kamwe!

Roho wako! Katika makao ya roho yasiyoonekana, kuna roho wema na wabaya pia.
Roho (wabaya) si watu walioishi duniani na baadaye wakafa. Roho ni mashetani wenyewe! Mashetani wanaweza kumchunguza mtu akiwa hai; wanajua jinsi alivyokuwa akiongea, alikuwa na sura gani, alifanya mambo gani, na alijua nini. Kwa hiyo si vigumu kwao kuwaiga watu waliokufa. Mashetani ni roho walioasi, wana uwezo wa kipekee.
Hakuna mizimu bali roho wachafu katika nafasi ya wafu.
Nivyema unatumia rejea katika mawazo haya
 
Adamu alikuwa wapi kabla Mungu hajamuumba kutokana na mavumbi?
Hakuwa popote. Hakuwa kiumbe wa roho huko mbinguni, ambaye baadaye angezaliwa akiwa mwanadamu. Hakuwa popote.

Mtu akifa, uhai wake unakoma. Kifo ni kinyume cha uhai. Kwa hiyo, mtu akifa haendelei kuishi mahali pengine, hisia na mawazo yake hupotea. Tukifa hatuwezi kuona, kusikia, wala kufikiri.
Hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima Kaburini.
Mtu akifa “mawazo yake” hupotea.
Upendo wao na chuki yao na wivu wao tayari umetoweka.
Waliokufa hawajui jambo lolote kamwe!

Roho wako! Katika makao ya roho yasiyoonekana, kuna roho wema na wabaya pia.
Roho (wabaya) si watu walioishi duniani na baadaye wakafa. Roho ni mashetani wenyewe! Mashetani wanaweza kumchunguza mtu akiwa hai; wanajua jinsi alivyokuwa akiongea, alikuwa na sura gani, alifanya mambo gani, na alijua nini. Kwa hiyo si vigumu kwao kuwaiga watu waliokufa. Mashetani ni roho walioasi, wana uwezo wa kipekee.
Hakuna mizimu bali roho wachafu katika nafasi ya wafu.
Maandiko yanasema atakuja kuwahukumu wazima na wafu.
 
Kuna Mada mpaka muelewa .mfano sio wrote wanakufa wanakuwa Tahari roho zoa kuondoka na zengine zinaitajika wakati umefika.
Mfano ukifa bila kutarajia mfano ukauliwa basi hiyo robot itabaki hapa maana ujafika ndio maana wauwaji Kuna mda wanalalamika kuwaona walio waua.

Na wengine wanaobaki wanakuwa wajaamua kwenda mbinguni au motoni.
 
Kuna Mada mpaka muelewa .mfano sio wrote wanakufa wanakuwa Tahari roho zoa kuondoka na zengine zinaitajika wakati umefika.
Mfano ukifa bila kutarajia mfano ukauliwa basi hiyo robot itabaki hapa maana ujafika ndio maana wauwaji Kuna mda wanalalamika kuwaona walio waua.

Na wengine wanaobaki wanakuwa wajaamua kwenda mbinguni au motoni.
Dah
 
Kwa mujibu wa Biblia na Quran tukufu.
Hakuna connection Kati ya waliohai na waliokufa, isipokuwa ni michezo ya shetani kupitia mizimu Ili apate kuwapotosha watu.
Kinachokufa ni mwili na sio roho na nafsi. Mwili uoza kaburini, nafsi na roho urudi KWA Muumba kusubiria hukumu.
 
Mizimu ni watu wema waliokufa wakiwa wametenda mema kwa jamii yao na jamii zilizozunguka.Hii ndio tafsiri ya mzimu.Sio kila mtu anakuwa mzimu usisahau.
Ni tafsiri ya wengine wanavyoamini hivyo.
Lakini elimu ya dini pia elimu ya uchawi vinapinga dhana hii.
Elimu ya uchawi na elimu ya dini vinakubaliana ya kwamba Mzimu ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu na kuwatokea jamaa husika ukoo, kabila,nk KWA kujifanya eti ni mababu wa Jamii hio.
Mzimu mmoja unao uwezo wa kuishi hadi miaka elf 6 ukisimamia Jamii husika.So Mzimu unajua family tree YAKO yaani asili na chimbuko lako vizazi na vizazi,hii hata waganga wanaweza kujua kupitia pepo la utambuzi.
Mizimu Ina nguvu kuliko wachawi na majini.
 
KWA wakatoliki kuomba watatifu Yale ni mapokeo mapokeo means mila, desturi na tamaduni za kale za Jamii iliyokuwepo maeneo hayo.
Yale si mafundisho ya Biblia.
Hakuna jina jingine lipaswalo kuabudiwa, kupitishia maombi isipokuwa jina moja tu la YESU Kristo wa Nazareth na sio yesu wa michanganyo ya mafuta, maji na chumvi anaeitwa baalyesu, au yesu wa kuzimu.
So kuomba watatifu hakuna msaada wowote ni SAwa na kuomba hewa. Maana Hakuna uhusiano wowote Kati ya waliokufa na walio hai.
 
Waafrika waliingiaje kwenye MIZIMU.
Waafrika walikuwa gizani wakimtafuta Mungu so walikuwa wakiomba wasichokielewa waliomba Milima, miti mikubwa, nk. Ndipo shetani akatake advantage kupitia mizimu akajifunua kwao kujibu kupitia vile walivyoviomba, ikiwemo kuwatokea watu kupitia sura za mababu zao wa zamani waliokufa kwa kuwapa maagizo mfano watoe sadaka za wanyama, vyakula, damu za watu, nk Ili wapate kusaidiwa.
Upo uhusiano Mkubwa Kati ya mchawi, mganga, wahenga, mizimu, majini kwa maana hawa wote wapo chini ya mmiliki mmoja ambae wao umuita mungu yaani shetani.
Thus mchawi anaouwezo wa kupatana na Mzimu wa ukoo wenu ukuondolee kinga Ili wakuloge, hii ni kwa wale wanaolindwa na mizimu.
Mchawi akikushindwa anauuita Mzimu wenu anauambia namtaka fulani then Mzimu umwambia mchawi utanipa nini mchawi uuliza Mzimu useme unataka upewe nini, Mzimu usema upewe labda, kuku, chakula, asali, maziwa, nk. Then mchawi umpa Mzimu akitakacho KISHA Mzimu ukuondolea kinga then unalogwa au uliwa na wachawi.
Mchawi, jini, mganga, nk hawana uwezo wa kuua Mzimu, Mzimu unao uwezo wa kuwauwa hao wote.
 
Back
Top Bottom