Kujifungia kwenye box la ukosefu wa maarifa sio kosa lako.Umekufa ila maisha yanaendelea?!!
duh huu ujinga sjui wa wapi huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujifungia kwenye box la ukosefu wa maarifa sio kosa lako.Umekufa ila maisha yanaendelea?!!
duh huu ujinga sjui wa wapi huu.
Huo ujinga kwenu ndio maarifa?!!Kujifungia kwenye box la ukosefu wa maarifa sio kosa lako.
Yesu alifufuka brother angalia maandikoKwani mizimu na watakatifu kuna tofauti gani? Je nikisema kwamba Yesu ni mzimu, Mohamed ni mzimu, Yusuphu ni mzimu, je nitakuwa nimekosea?
Hizo ni illusions ambazo mnakalilishwa weusi ili muendelee kuwaabudu na kuwatukuza wao.Yesu alifufuka brother angalia maandiko
Tupo na upumbavu na hatuuachi, wewe kula matango ya shambani.Acheni kulishana matangopori na kujazana ujinga, eti macho ya ndani!!
upumbavu mtupu.
😆Tupo na upumbavu na hatuuachi, wewe kula matango ya shambani.
OohKwa mujibu wa Biblia na Quran tukufu.
Hakuna connection Kati ya waliohai na waliokufa, isipokuwa ni michezo ya shetani kupitia mizimu Ili apate kuwapotosha watu.
Kinachokufa ni mwili na sio roho na nafsi. Mwili uoza kaburini, nafsi na roho urudi KWA Muumba kusubiria hukumu.
Ni mizimu ama uchawi ndo wenye nguvu ila si MarehamKwa kifupi tuanze kujadili dhana ya kifo ninayoiamini "Kifo ni kuondoka taratibu kutoka Sasa Hadi zamani. Yani kutoka kuto kuwepo na kuwepo(kuzaliwa) kutoka kuwepo na kutokuwepo Tena(kufa).
Madondoo ya miongozo ninayoiamini
-Kufa ni namna nyingine ya kuishi ya binadamu
- Mtu hafi akapotea (MTU mwema hafi akapotea mpaka pale watu watakapoacha kumkumbuka.
Je nikweli MTU akifa anakuwa na nguvu uhai kubwa kuliko mtu aliye hai.
Kwa mujibu wa FALSAFA za kiafrika nguvu uhai ipo katika mioangilio huu
MUNGU
|
WAHENGA
|
MIZIMU
|
WAGANGA
|
BINADAMU
Kama mpangilio huu upo sahihi Basi watu waliokufa wanaweza kuwa na nguvu zaidi kwakuwa wapo karibu na mwenye mamlaka mweza wa yote "MUNGU"
MAMBO YA KUYATAZAMA
1. Kwa waafrika sio ajabu kusikia watu wakiomba misaada kwa mababu wao wa zamani ambao walikwisha Kufa
2. Watu walio hai wanaogopa Sana watu walio kufa Mizimu na wahenga na watu hudhani kuwa watu waliokufa huweza kuwadhuru watu walio hai hasa Kama wakiacha laana na n.k
3. Baadhi ya dini huwaomba watu waliokufa zamani wanaosadikika kuwa na matendo mema ambao huitwa watakatifu ili wawaombee kwa Nguvu uhai kubwa kuliko zote ambayo ni Mungu
Bada ya hayo je Watu waliokufa wanayo Nguvu uhai kubwa kuliko watu walio hai?
Nauliza sijibiwi, wakati yesu anaomba milimani kipindi fulani alitokewa na watu watu watatu, Mussa, Elia, na mwingine nimemsahau wale walikuwa nani.Na kama yeye alikufa akafufuka alifufuka kama nani?Tafadhali mkuu mkumbushe anijibu.
Mzimu ni nini na mguvu anatoa wapi.Ni mizimu ama uchawi ndo wenye nguvu ila si Mareham
Mzimu ni shetani ama mapepoMzimu ni nini na mguvu anatoa wapi.
Kwa tafsiri ya kanisa, Shetani ni nini?pepo shetani na mzimu ni vitu vitatu vyenye tafsiri zinazojitegemea.Mzimu ni shetani ama mapepo
Shetani ni mwakilishi mkuu wa mambo yoote ya giza, pepo ni watumishi wake (wavurugaji), mizimu ni aina za majini yanayosimamia taratibu za koo,familia flani.Kwa tafsiri ya kanisa, Shetani ni nini?pepo shetani na mzimu ni vitu vitatu vyenye tafsiri zinazojitegemea.
mkifahamu shetani hasa ni nini hamtapoteza muda kukemea vitu vilivyawazunguka na kuacha kupambana na nadharia za kufikirika.Shetani ni mwakilishi mkuu wa mambo yoote ya giza, pepo ni watumishi wake (wavurugaji), mizimu ni aina za majini yanayosimamia taratibu za koo,familia flani.
Ukimfahamu aliyekuweka gundu usipate ajira ungeachana na nadharia zinazokutesamkifahamu shetani hasa ni nini hamtapoteza muda kukemea vitu vilivyawazunguka na kuacha kupambana na nadharia za kufikirika.
Mi sijawekwa gundu na siwezi kuwekwa gundu.Hayupo wa kuweza hilo.Ukimfahamu aliyekuweka gundu usipate ajira ungeachana na nadharia zinazokutesa
Acha kubishana na ukweli mimi nafahamu mengi kukuhusu na pia kukusaidiaMi sijawekwa gundu na siwezi kuwekwa gundu.Hayupo wa kuweza hilo.
Mkweli ni wewe?Acha kubishana na ukweli mimi nafahamu mengi kukuhusu na pia kukusaidia