Je, Watu waliokufa wana nguvu kuliko walio hai?

Je, Watu waliokufa wana nguvu kuliko walio hai?

Mizimu na kuzimu ni vitu viwili tofauti.
MZIMU uishi duniani na kuzimu kuwatawala wanadamu.mzimu ni roho.
KUZIMU ni mahali katika ulimwengu usioonekana hapahapa duniani ambapo ni makao ya mda ya shetani na wafuasi wake.Mchawi, mganga,waabudu shetani, mitume na manabii wa uongo,wasanii,nk wanaouwezo wa kuingia na kutoka kuzimu kwa kutumia password maalumu.
Kuzimu ni kubwa kuliko dunia.
So kuzimu ni sehemu na Mzimu ni roho chafu.
Ufafanuzi tafadhali tokana na kauli yako hii "Kuzimu ni kubwa kuliko dunia" kivipi?
 
Ufafanuzi tafadhali tokana na kauli yako hii "Kuzimu ni kubwa kuliko dunia" kivipi?
Kijiografia yaani yaani ukubwa.
Ili kumudu kubeba idadi ya watu wote waliokufa tangu kuumbwa kwa Dunia hadi sasa.Wanaoingia kuzimu ni wengi sana kwa idadi kuliko mbinguni.
Mfano kwa muda wa miaka 4 yaani toka 2019 waliofaulu kuingia mbinguni hawazidi watu 50.
Waliobaki wote kuzimu.
Ni watu wangapi wamekufa toka 2019.
 
Ubongo ni sehemu ya mwili au roho? Kama ni mwili nishati inatumia hardware gani kuhifadhi kumbukumbu mpaka iwe huru huku ikiwa na maamuzi? Kwa mfano wako, ukichukua roboti la computer lisilo na software ukaliwekea software linafanya kazi, ukiua hardware ile software inakuwepo bado lakini inaweza kutumika bila hardware? Kwa ufupi nauliza, Nishati zetu zina ufahamu bila ubongo?
Ubongo ni sehemu ya mwili ni hardware.. Hardware haiwezi kufanya kazi bila nishati
 
Huwa natambua Mizimu, Mapepo, Majini, Wachawi, Washirikina, Wanga, Walonzi na Waganga wa kienyeji ni Mawakala wakuu wa Shetani.

Inakuwaje Mizimu iwe na nguvu kuliko Majini na Wachawi ilihali wote chimbuko lao ni moja(Shetani)?
KWA shetani pana mfumo wa utawala unaoanzia chini kuanzia washirikina, wachawi, waganga,watemi,machifu, mizimu,hadi level za kimataifa freemason, illuminati,nk.
Hadi ngazi ya juu ya shetani, majemedari sita wa shetani hadi waziri mkuu wa shetani hadi shetani mwenyewe.
Mizimu imejikita kwenye usimamizi wa ukoo, kabila, taifa, au jamii fulani.
KWA mpangilio wa serikali ya shetani. Mzimu ni SAwa na cheo cha DC, OCD, RPC, au RC hawa wanaongoza walio wa chini yao ambao ni wachawi, waganga, majini, mapepo. Jini ni SAwa na kitendakazi au mfanyakazi anaetumwa kwenda kutenda uovu uliokusudiwa kwa kutumwa kwa makubaliano au mapatano. Wachawi na waganga wote utumia majini ,majini ndio ubeba ile nguvu ya kufanya Kazi ya mchawi au mganga kwa mapatano ya sadaka, au kafara ili kutimiza kusudi fulani.
 
KWA shetani pana mfumo wa utawala unaoanzia chini kuanzia washirikina, wachawi, waganga,watemi,machifu, mizimu,hadi level za kimataifa freemason, illuminati,nk.
Hadi ngazi ya juu ya shetani, majemedari sita wa shetani hadi waziri mkuu wa shetani hadi shetani mwenyewe.
Mizimu imejikita kwenye usimamizi wa ukoo, kabila, taifa, au jamii fulani.
KWA mpangilio wa serikali ya shetani. Mzimu ni SAwa na cheo cha DC, OCD, RPC, au RC hawa wanaongoza walio wa chini yao ambao ni wachawi, waganga, majini, mapepo. Jini ni SAwa na kitendakazi au mfanyakazi anaetumwa kwenda kutenda uovu uliokusudiwa kwa kutumwa kwa makubaliano au mapatano. Wachawi na waganga wote utumia majini ,majini ndio ubeba ile nguvu ya kufanya Kazi ya mchawi au mganga kwa mapatano ya sadaka, au kafara ili kutimiza kusudi fulani.

Duh haya mambo...
 
Kwa kifupi tuanze kujadili dhana ya kifo ninayoiamini "Kifo ni kuondoka taratibu kutoka Sasa Hadi zamani. Yani kutoka kuto kuwepo na kuwepo(kuzaliwa) kutoka kuwepo na kutokuwepo Tena(kufa).
Madondoo ya miongozo ninayoiamini

-Kufa ni namna nyingine ya kuishi ya binadamu
- Mtu hafi akapotea (MTU mwema hafi akapotea mpaka pale watu watakapoacha kumkumbuka.

Je nikweli MTU akifa anakuwa na nguvu uhai kubwa kuliko mtu aliye hai.
Kwa mujibu wa FALSAFA za kiafrika nguvu uhai ipo katika mioangilio huu
MUNGU
|
WAHENGA
|
MIZIMU
|
WAGANGA
|
BINADAMU

Kama mpangilio huu upo sahihi Basi watu waliokufa wanaweza kuwa na nguvu zaidi kwakuwa wapo karibu na mwenye mamlaka mweza wa yote "MUNGU"

MAMBO YA KUYATAZAMA

1. Kwa waafrika sio ajabu kusikia watu wakiomba misaada kwa mababu wao wa zamani ambao walikwisha Kufa

2. Watu walio hai wanaogopa Sana watu walio kufa Mizimu na wahenga na watu hudhani kuwa watu waliokufa huweza kuwadhuru watu walio hai hasa Kama wakiacha laana na n.k

3. Baadhi ya dini huwaomba watu waliokufa zamani wanaosadikika kuwa na matendo mema ambao huitwa watakatifu ili wawaombee kwa Nguvu uhai kubwa kuliko zote ambayo ni Mungu

Bada ya hayo je Watu waliokufa wanayo Nguvu uhai kubwa kuliko watu walio hai?
"Waliokufa", ukweli wanaishi katika roho, ni level nyingine na wanaweza kuwa na nguvu kutegemea kama wapo huru na ukaribu wao kwa Mungu au shetani.
 
Duh haya mambo...
Mungu hajataka kuyafunua KWA watu siri hizi Ili wasiogope.
Laiti tungeonyeshwa wayatendayo wachawi achilia viumbe vingine kutwa tunapishana navyo usingetamani kuishi.
 
Kwa elimu ya uchawi na dini upinga hili.
Mtu akifa matendo yake ndio uamua wapi aende mbinguni au kuzimu.
Thus wengine ukata roho wakitabasamu, na wengine ukata roho kwa mateso Sana yaani kama wanagoma au uhangaika sana wakati roho inaacha mwili.v

"Waliokufa", ukweli wanaishi katika roho, ni level nyingine na wanaweza kuwa na nguvu kutegemea kama wapo huru na ukaribu wao kwa Mungu au shetani.
Labda
 
Mkuu hii siri ni marehemu alikupa?
ukifungua machovya kiroho, utafunuliwa siri zote na utaona vitu anbavyo wenzio hawavioni haina haja ya kuambiwa, kusimuliwa au kuonyeshwa na mtu.
Body grows
Mind glows
but Spirit knows
 
Adamu alikuwa wapi kabla Mungu hajamuumba kutokana na mavumbi?
Hakuwa popote. Hakuwa kiumbe wa roho huko mbinguni, ambaye baadaye angezaliwa akiwa mwanadamu. Hakuwa popote.

Mtu akifa, uhai wake unakoma. Kifo ni kinyume cha uhai. Kwa hiyo, mtu akifa haendelei kuishi mahali pengine, hisia na mawazo yake hupotea. Tukifa hatuwezi kuona, kusikia, wala kufikiri.
Hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima Kaburini.
Mtu akifa “mawazo yake” hupotea.
Upendo wao na chuki yao na wivu wao tayari umetoweka.
Waliokufa hawajui jambo lolote kamwe!

Roho wako! Katika makao ya roho yasiyoonekana, kuna roho wema na wabaya pia.
Roho (wabaya) si watu walioishi duniani na baadaye wakafa. Roho ni mashetani wenyewe! Mashetani wanaweza kumchunguza mtu akiwa hai; wanajua jinsi alivyokuwa akiongea, alikuwa na sura gani, alifanya mambo gani, na alijua nini. Kwa hiyo si vigumu kwao kuwaiga watu waliokufa. Mashetani ni roho walioasi, wana uwezo wa kipekee.
Hakuna mizimu bali roho wachafu katika nafasi ya wafu.
Hii nadharia yako ni ngumu kumeza aisee maana pia haina uthibitisho. Au unaweza ukanithibitishia unachokiongea?
 
Shetani aliyeuvaa mwili wa mababu waliokufa na kujipa umiliki juu ya utawala wa maisha ya ukoo husika ulio hai kupitia taswira ya babu yao aliyekufa zamani.
Hii ni kwa mujibu wa Biblia, Quran na vitabu vya elimu ya uchawi.
Nioneshe kifungu cha biblia kinachotoa hayo maelezo kwanza!
 
ukifungua machovya kiroho, utafunuliwa siri zote na utaona vitu anbavyo wenzio hawavioni haina haja ya kuambiwa, kusimuliwa au kuonyeshwa na mtu.
Body grows
Mind glows
but Spirit knows
Macho ya kiroho yapo sehemu gani?
 
Uongo kasome kitabu cha samwel 2.....jinsi sauli alivyoenda kwa mganga kumuita Samuel
 
Waafrika waliingiaje kwenye MIZIMU.
Waafrika walikuwa gizani wakimtafuta Mungu so walikuwa wakiomba wasichokielewa waliomba Milima, miti mikubwa, nk. Ndipo shetani akatake advantage kupitia mizimu akajifunua kwao kujibu kupitia vile walivyoviomba, ikiwemo kuwatokea watu kupitia sura za mababu zao wa zamani waliokufa kwa kuwapa maagizo mfano watoe sadaka za wanyama, vyakula, damu za watu, nk Ili wapate kusaidiwa.
Upo uhusiano Mkubwa Kati ya mchawi, mganga, wahenga, mizimu, majini kwa maana hawa wote wapo chini ya mmiliki mmoja ambae wao umuita mungu yaani shetani.
Thus mchawi anaouwezo wa kupatana na Mzimu wa ukoo wenu ukuondolee kinga Ili wakuloge, hii ni kwa wale wanaolindwa na mizimu.
Mchawi akikushindwa anauuita Mzimu wenu anauambia namtaka fulani then Mzimu umwambia mchawi utanipa nini mchawi uuliza Mzimu useme unataka upewe nini, Mzimu usema upewe labda, kuku, chakula, asali, maziwa, nk. Then mchawi umpa Mzimu akitakacho KISHA Mzimu ukuondolea kinga then unalogwa au uliwa na wachawi.
Mchawi, jini, mganga, nk hawana uwezo wa kuua Mzimu, Mzimu unao uwezo wa kuwauwa hao wote.
Kwani mizimu na watakatifu kuna tofauti gani? Je nikisema kwamba Yesu ni mzimu, Mohamed ni mzimu, Yusuphu ni mzimu, je nitakuwa nimekosea?
 
Back
Top Bottom