Je, Watu waliokufa wana nguvu kuliko walio hai?

Je, Watu waliokufa wana nguvu kuliko walio hai?

Mwanadamu (hai)ni mwenye nguvu sana kiasi kwamba hajui kiwango Cha nguvu alizokuwa nazo.

Ulimwengu wa Roho haufanyi kazi yeyote yenye kuleta athari kwenye ulimwengu wa mwili bila kupata pass kwa mwanadamu.

Maandiko yanasema lililofungwa duniani na mbinguni lime.......?malizia wewe.

Shetani , au majini yakitaka kufanya kazi yanamuingilia mtu ndio maana kwa wakristo ili wanadamu wakombolewe ilimlazimu Yesu kuja kama mwanadamu maana pasipo kuwa hivyo angekosa uhalali wa sheria ya Mungu ambayo ameshaweka kuwa uhalali duniani unapatikana kwa mwanadamu hai mwenye mwili.

Sema kwa kuwa wanadamu hatujui mamlaka yetu ndio maana tunachezewa, ila ukitambua mamlaka yako hupati shida za kuamini mizimu kabisa.
 
Mwanadamu (hai)ni mwenye nguvu sana kiasi kwamba hajui kiwango Cha nguvu alizokuwa nazo.

Ulimwengu wa Roho haufanyi kazi yeyote yenye kuleta athari kwenye ulimwengu wa mwili bila kupata pass kwa mwanadamu.

Maandiko yanasema lililofungwa duniani na mbinguni lime.......?malizia wewe.

Shetani , au majini yakitaka kufanya kazi yanamuingilia mtu ndio maana kwa wakristo ili wanadamu wakombolewe ilimlazimu Yesu kuja kama mwanadamu maana pasipo kuwa hivyo angekosa uhalali wa sheria ya Mungu ambayo ameshaweka kuwa uhalali duniani unapatikana kwa mwanadamu hai mwenye mwili.

Sema kwa kuwa wanadamu hatujui mamlaka yetu ndio maana tunachezewa, ila ukitambua mamlaka yako hupati shida za kuamini mizimu kabisa.
Watu tunazijua nguvu zetu, tunaamini mizimu na hatuchezewi na mtu wala chochote.kila imani ina kanuni zake, cha msingi kila mtu ashike aliposhikilia.
 
Shetani aliyeuvaa mwili wa mababu waliokufa na kujipa umiliki juu ya utawala wa maisha ya ukoo husika ulio hai kupitia taswira ya babu yao aliyekufa zamani.
Hii ni kwa mujibu wa Biblia, Quran na vitabu vya elimu ya uchawi.
mzimu wenyewe ni wewe hapo ambaye ni shetani mkubwa uliyevaa umbo la mwanadamu
 
MUHUBIRI 9:5,10.

5:KWA MAANA WALIO HAI WANAJUA KWAMBA WATAKUFA,LAKINI WAFU HAWAJUI JAMBO LOLOTE KAMWE,WALA HAWANA THAWABU TENA,KWA SABABU KUMBUKUMBU LOTE KUWAHUSU LIMESAHAULIWA.

10:JAMBO LOLOTE UNALOFANYA KWA MKONO WAKO, LIFANYE KWA NGUVU ZAKO ZOTE, KWA SABABU HAKUNA KAZI WALA MIPANGO WALA UJUZI WALA HEKIMA KABURINI MAHALI UNAPOKWENDA.
 

Isikilize kwanza hii video.
 
Kama kufa ni sawa na kuwa kama hukuwahi kuwepo, basi ni bayana kwamba wafu hawana nguvu kuliko walio hai.....
 
Waafrika waliingiaje kwenye MIZIMU.
Waafrika walikuwa gizani wakimtafuta Mungu so walikuwa wakiomba wasichokielewa waliomba Milima, miti mikubwa, nk. Ndipo shetani akatake advantage kupitia mizimu akajifunua kwao kujibu kupitia vile walivyoviomba, ikiwemo kuwatokea watu kupitia sura za mababu zao wa zamani waliokufa kwa kuwapa maagizo mfano watoe sadaka za wanyama, vyakula, damu za watu, nk Ili wapate kusaidiwa.
Upo uhusiano Mkubwa Kati ya mchawi, mganga, wahenga, mizimu, majini kwa maana hawa wote wapo chini ya mmiliki mmoja ambae wao umuita mungu yaani shetani.
Thus mchawi anaouwezo wa kupatana na Mzimu wa ukoo wenu ukuondolee kinga Ili wakuloge, hii ni kwa wale wanaolindwa na mizimu.
Mchawi akikushindwa anauuita Mzimu wenu anauambia namtaka fulani then Mzimu umwambia mchawi utanipa nini mchawi uuliza Mzimu useme unataka upewe nini, Mzimu usema upewe labda, kuku, chakula, asali, maziwa, nk. Then mchawi umpa Mzimu akitakacho KISHA Mzimu ukuondolea kinga then unalogwa au uliwa na wachawi.
Mchawi, jini, mganga, nk hawana uwezo wa kuua Mzimu, Mzimu unao uwezo wa kuwauwa hao wote.
Kivipi
 
Kwa mujibu wa Biblia na Quran tukufu.
Hakuna connection Kati ya waliohai na waliokufa, isipokuwa ni michezo ya shetani kupitia mizimu Ili apate kuwapotosha watu.
Kinachokufa ni mwili na sio roho na nafsi. Mwili uoza kaburini, nafsi na roho urudi KWA Muumba kusubiria hukumu.
Sasa huyo atakaye Kuja kuwahukumu wazima na wafu ili hali wafu hawatakuwepo maana tayari wengine watakuwa mbinguni tayari
 
Waafrika waliingiaje kwenye MIZIMU.
Waafrika walikuwa gizani wakimtafuta Mungu so walikuwa wakiomba wasichokielewa waliomba Milima, miti mikubwa, nk. Ndipo shetani akatake advantage kupitia mizimu akajifunua kwao kujibu kupitia vile walivyoviomba, ikiwemo kuwatokea watu kupitia sura za mababu zao wa zamani waliokufa kwa kuwapa maagizo mfano watoe sadaka za wanyama, vyakula, damu za watu, nk Ili wapate kusaidiwa.
Upo uhusiano Mkubwa Kati ya mchawi, mganga, wahenga, mizimu, majini kwa maana hawa wote wapo chini ya mmiliki mmoja ambae wao umuita mungu yaani shetani.
Thus mchawi anaouwezo wa kupatana na Mzimu wa ukoo wenu ukuondolee kinga Ili wakuloge, hii ni kwa wale wanaolindwa na mizimu.
Mchawi akikushindwa anauuita Mzimu wenu anauambia namtaka fulani then Mzimu umwambia mchawi utanipa nini mchawi uuliza Mzimu useme unataka upewe nini, Mzimu usema upewe labda, kuku, chakula, asali, maziwa, nk. Then mchawi umpa Mzimu akitakacho KISHA Mzimu ukuondolea kinga then unalogwa au uliwa na wachawi.
Mchawi, jini, mganga, nk hawana uwezo wa kuua Mzimu, Mzimu unao uwezo wa kuwauwa hao wote.
Jini kumbe na yeye anaweza kufa [emoji848]
 
Kwa kifupi tuanze kujadili dhana ya kifo ninayoiamini "Kifo ni kuondoka taratibu kutoka Sasa Hadi zamani. Yani kutoka kuto kuwepo na kuwepo(kuzaliwa) kutoka kuwepo na kutokuwepo Tena(kufa).
Madondoo ya miongozo ninayoiamini

-Kufa ni namna nyingine ya kuishi ya binadamu
- Mtu hafi akapotea (MTU mwema hafi akapotea mpaka pale watu watakapoacha kumkumbuka.

Je nikweli MTU akifa anakuwa na nguvu uhai kubwa kuliko mtu aliye hai.
Kwa mujibu wa FALSAFA za kiafrika nguvu uhai ipo katika mioangilio huu
MUNGU
|
WAHENGA
|
MIZIMU
|
WAGANGA
|
BINADAMU

Kama mpangilio huu upo sahihi Basi watu waliokufa wanaweza kuwa na nguvu zaidi kwakuwa wapo karibu na mwenye mamlaka mweza wa yote "MUNGU"

MAMBO YA KUYATAZAMA

1. Kwa waafrika sio ajabu kusikia watu wakiomba misaada kwa mababu wao wa zamani ambao walikwisha Kufa

2. Watu walio hai wanaogopa Sana watu walio kufa Mizimu na wahenga na watu hudhani kuwa watu waliokufa huweza kuwadhuru watu walio hai hasa Kama wakiacha laana na n.k

3. Baadhi ya dini huwaomba watu waliokufa zamani wanaosadikika kuwa na matendo mema ambao huitwa watakatifu ili wawaombee kwa Nguvu uhai kubwa kuliko zote ambayo ni Mungu

Bada ya hayo je Watu waliokufa wanayo Nguvu uhai kubwa kuliko watu walio hai?
mizimu ni majini yanayojifanya wafu
wafu hawajui chochote
 
Back
Top Bottom