Je, Watu waliokufa wana nguvu kuliko walio hai?

Ufafanuzi tafadhali tokana na kauli yako hii "Kuzimu ni kubwa kuliko dunia" kivipi?
 
Ufafanuzi tafadhali tokana na kauli yako hii "Kuzimu ni kubwa kuliko dunia" kivipi?
Kijiografia yaani yaani ukubwa.
Ili kumudu kubeba idadi ya watu wote waliokufa tangu kuumbwa kwa Dunia hadi sasa.Wanaoingia kuzimu ni wengi sana kwa idadi kuliko mbinguni.
Mfano kwa muda wa miaka 4 yaani toka 2019 waliofaulu kuingia mbinguni hawazidi watu 50.
Waliobaki wote kuzimu.
Ni watu wangapi wamekufa toka 2019.
 
Ubongo ni sehemu ya mwili ni hardware.. Hardware haiwezi kufanya kazi bila nishati
 
Huwa natambua Mizimu, Mapepo, Majini, Wachawi, Washirikina, Wanga, Walonzi na Waganga wa kienyeji ni Mawakala wakuu wa Shetani.

Inakuwaje Mizimu iwe na nguvu kuliko Majini na Wachawi ilihali wote chimbuko lao ni moja(Shetani)?
KWA shetani pana mfumo wa utawala unaoanzia chini kuanzia washirikina, wachawi, waganga,watemi,machifu, mizimu,hadi level za kimataifa freemason, illuminati,nk.
Hadi ngazi ya juu ya shetani, majemedari sita wa shetani hadi waziri mkuu wa shetani hadi shetani mwenyewe.
Mizimu imejikita kwenye usimamizi wa ukoo, kabila, taifa, au jamii fulani.
KWA mpangilio wa serikali ya shetani. Mzimu ni SAwa na cheo cha DC, OCD, RPC, au RC hawa wanaongoza walio wa chini yao ambao ni wachawi, waganga, majini, mapepo. Jini ni SAwa na kitendakazi au mfanyakazi anaetumwa kwenda kutenda uovu uliokusudiwa kwa kutumwa kwa makubaliano au mapatano. Wachawi na waganga wote utumia majini ,majini ndio ubeba ile nguvu ya kufanya Kazi ya mchawi au mganga kwa mapatano ya sadaka, au kafara ili kutimiza kusudi fulani.
 

Duh haya mambo...
 
"Waliokufa", ukweli wanaishi katika roho, ni level nyingine na wanaweza kuwa na nguvu kutegemea kama wapo huru na ukaribu wao kwa Mungu au shetani.
 
Duh haya mambo...
Mungu hajataka kuyafunua KWA watu siri hizi Ili wasiogope.
Laiti tungeonyeshwa wayatendayo wachawi achilia viumbe vingine kutwa tunapishana navyo usingetamani kuishi.
 
Kwa elimu ya uchawi na dini upinga hili.
Mtu akifa matendo yake ndio uamua wapi aende mbinguni au kuzimu.
Thus wengine ukata roho wakitabasamu, na wengine ukata roho kwa mateso Sana yaani kama wanagoma au uhangaika sana wakati roho inaacha mwili.v

"Waliokufa", ukweli wanaishi katika roho, ni level nyingine na wanaweza kuwa na nguvu kutegemea kama wapo huru na ukaribu wao kwa Mungu au shetani.
Labda
 
Mkuu hii siri ni marehemu alikupa?
ukifungua machovya kiroho, utafunuliwa siri zote na utaona vitu anbavyo wenzio hawavioni haina haja ya kuambiwa, kusimuliwa au kuonyeshwa na mtu.
Body grows
Mind glows
but Spirit knows
 
Hii nadharia yako ni ngumu kumeza aisee maana pia haina uthibitisho. Au unaweza ukanithibitishia unachokiongea?
 
Shetani aliyeuvaa mwili wa mababu waliokufa na kujipa umiliki juu ya utawala wa maisha ya ukoo husika ulio hai kupitia taswira ya babu yao aliyekufa zamani.
Hii ni kwa mujibu wa Biblia, Quran na vitabu vya elimu ya uchawi.
Nioneshe kifungu cha biblia kinachotoa hayo maelezo kwanza!
 
ukifungua machovya kiroho, utafunuliwa siri zote na utaona vitu anbavyo wenzio hawavioni haina haja ya kuambiwa, kusimuliwa au kuonyeshwa na mtu.
Body grows
Mind glows
but Spirit knows
Macho ya kiroho yapo sehemu gani?
 
Uongo kasome kitabu cha samwel 2.....jinsi sauli alivyoenda kwa mganga kumuita Samuel
 
Kwani mizimu na watakatifu kuna tofauti gani? Je nikisema kwamba Yesu ni mzimu, Mohamed ni mzimu, Yusuphu ni mzimu, je nitakuwa nimekosea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…